Ukabila TFF: Jamal Malinzi jibu/fafanua hili kabla sumu haijaenea

Yah hii ndio TZ!! Waislam tunalalamikia mfumo wa chi yetu (serkalini) kujazana Wakristo. Wachaga wanalalamikia mfumo wa uongozi wa TFF kujazana Wahaya. Huku Wahaya nawao wakilalamikia Uhamiaji kujazana Wachaga. Hii nihatari nisawa na bomu lililo walipukia wa Sudani kusini madhara yake kilammoja watu anayaona. Lakini tutafika tu yetu.
 

Mtakufa na roho mbaya zenu.
 

suluhisho la uovu siyo uovu bali ni wema, kwa hiyo unaona ni sawa malinzi kujaza ndugu zake TFF tena wasio na sifa?
 
Hivi haiwezekani kutoa hoja na kueleweka bila kuweka matusi ndani yake? Nyie ndio mnasababisha sie wengine tuiogope JF siku hizi

Hiyo ndo njia ya kuwaeleza watu wasioelewa. Kama unapaogopa nini kimekuita humu.
 
Nchi hii nizadi tuijuavyo. Tangu nizaliwe mpaka nakua sijawahi kusikia kiongozi ktk sekta yeyete (iwe ya serkalini au binafsi) anaewakilisha kabila langu (wandengereko). Nahoja yakusema hatukusoma kwasasa haina nguvu tena kwakua kila jamii kwasasa ina wasomi. Lakini husikii Mkumba, Rwambo wala Mteta, nchi hii kweli inawenyewe.
 
Nisingemjua kuwa ni mwizi nisingemsema, lakini kwavile namjua yeye na genge lake ndio maana nikatoa tahadhali ambayo mburula kama wewe unafikiria ni wivu!!! Katerelo imekuharibu wewe mbwiga!!!

Unataka ufanyiwe wewe hiyo kate. Unaota ndoto kwamba malinzi kapatia utajiri tff ambako hata mishahara mitatu hajaipokea. Nawa miguu uendelee kukoroma.
 

Naona umeamua kumdhalilisha RPC Rwambo. Pamoja na kuwa RPC pia alikuwa kiongozi TFF na ni kutoka kabila lako.
 

Jitahidini kuwapeleka vijana shule kuna wakati wenu nao utafika
 
TENGA , mchaga alikaa pale na kuifanya TFF kuwa ya kisasa na kitaifa zaidi sasa imekuwa ya kanyigo

Eti tenga mchaga my foot,gt back to ur senses ww crocodilo madona,hv ww huyo tenga wako kafnya nni cha maana timu yako ya taifa? ina nni zaidi ya mavi na uharo..hvi tenga kachagua wahaya tu?ama wivu wenu umewapeleka kuwaona wahaya tu?nyinyi na eddo kumwembe wenu wote wafa maji..watu hawanaa hata siku mbili ofsin mshagaaka..hvi wahaya aturusiwi kua viongozi nchi hii?nenda pale tumaini university uone kama kina staff kabila jingne tofaut na wachagga..wachaga mmelaaniwa ndo maana kijiua hakuishi nyie ni wakaizari ya mungu tuachieni sisi..wahaya ndo sisi wengine mafisi..
 
Kwakweli Wahaya wana tabia ya ajabu sana,hawa jamaa hawana aibu ktk kupendelea kabila lao.Huwezi kuweka kabila lako tupu kwenye uongozi kiasi hiki BILA HATA UOGA,HII INALETA CHUKI?Tenga aliona mapema hizi vurugu.

Mhaya akiwa rais wa nchi unapata picha gani hapo.
 
Naona umeamua kumdhalilisha RPC Rwambo. Pamoja na kuwa RPC pia alikuwa kiongozi TFF na ni kutoka kabila lako.
Dah! Umeonyesha dharau kweli, ikiwa Wachaga washaanza kuuchoka Uwaziri (kila serkali lazima mchaga awepo kwenye jopo la Uwaziri) sasa wanahamu na Urais. Wewe unaniambia cheo cha RPC sijui TFF, vyeo hivyo vinamsaada gani kwa Mndengereko?
 
Jitahidini kuwapeleka vijana shule kuna wakati wenu nao utafika
Tunajitahidi sana kuwapeleka Mashuleni, tatizo ni Mfumo. Mfumo unatukandamiza sana Wandengereko.Kwanza tunasoma ktk mazingira magumu, pata picha shule nyingi za mkoa wa pwani walimu ni wachache sana tena niwale wenye ufaulu wa chini ndio wanao tupwa kwetu, huwezi amini zipo baadhi ya shule zina walimu mmoja mmoja, we unafikiri kitazaliwa nini hapo? Wenzetu munapigania shule za mikoa yenu ziwe na maabara wakati kijijini kwangu mtoto mpaka anamaliza la saba hajawahi kalia dawati kilasiku ni kulima shamba la mwalimu tu, je hapa utazalisha wasomi kweli? Kunamengi sana ndani ya nchi hii lakini watu tuko kimya tu. Wasiwasi wangu kuna bomu mbeleyetu linakaribia kulipuka, hivyo tusishangae tukijikuta tumeungana na Sudani kusini ktk kulizima bomu hilo.
 

mimi nilisoma mojawapo ya shule nzuri sana za mikoa ya pwani, wadengereko tuliokuwa nao wengi walikuwa mabishoo na shule kwao ilikuwa ni ziada , wakaishia kupata zero mimi na wengine wanaojua elimu tukaruka na one zetu kali . kuna tatizo kubwa zaidi ya hili unalotaka kutuaminisha. Hivi wadengereko mngekuwa sawa na wachaga waliobaguliwa kujiunga na shule za kitaifa za serikali ili wafanane na makabila mengine kielimu mngesemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…