Yombayomba
JF-Expert Member
- Aug 23, 2006
- 818
- 214
KUNA MAMBO TUNATAKIWA KUJIULIZA KWANZA.
je Jamali malinzi ndio muajiri pekee tff?
Utaratibu gani unafatwa katika kuajiri?
Ni wangapi walijitokeza kuomba nafasi na wenye sifa wakanyimwa?
Waliopewa ajira wana sifa au hawana?
even if mkuu, lakini sio fair kabisa, alitakiwa kumix tu ili kuondoa dhana za upendeleo
kwa hali ilivyo, wala usijifunjie heshima kumtetea malinzi, hii ni aibu ya ajabu saana. Sana sana tungejiuliza hamna sheria au kipengele cha ku preach malinzi. Maana kwa hali hii tuendako ni afadhali enzi ya ndolanga.
aiseeee alitakiwa kumix?imekuwa pilau hiyo?
Hivi kuna wenye sifa walinyimwa? Hivi jamali ndio anafanya usaili?
mkuu kama hutojali jibu maswali yangu, mimi si mtetei kama jambo alikufuata utaratibu.
Nauliza swali lingine. Jamali malinzi anafanyia watu usaili?
Vigezo uwe mla SENENE finito,NSSF Jamaa kajaza waislam ndio kigezo cha kwanza na hakuna aliyemkemea , PPF pia interview ni kanyabwoya imekuwaa personal company hakemewi.....!! TFF ndio mmeiona.angalia timu nzima ya wajumbe na vigezo.
Malinzi ana pesa yake hata kabla ya wewe kumjua.
Eti tenga mchaga my foot,gt back to ur senses ww crocodilo madona,hv ww huyo tenga wako kafnya nni cha maana timu yako ya taifa? ina nni zaidi ya mavi na uharo..hvi tenga kachagua wahaya tu?ama wivu wenu umewapeleka kuwaona wahaya tu?nyinyi na eddo kumwembe wenu wote wafa maji..watu hawanaa hata siku mbili ofsin mshagaaka..hvi wahaya aturusiwi kua viongozi nchi hii?nenda pale tumaini university uone kama kina staff kabila jingne tofaut na wachagga..wachaga mmelaaniwa ndo maana kijiua hakuishi nyie ni wakaizari ya mungu tuachieni sisi..wahaya ndo sisi wengine mafisi..
Jamal Malinzi ana pesa???
Hebu acha kudhalilisha fedha wewe. Hata kaka yake mwenye cargo star ambapo Jamal ni mwajiriwa bado huwezi kusema ana pesa.
Mamndenyi unamjua Jamal Malinzi au unasikia stori za vijiweni?
Wewe jiulize,hivi kwa akili yako ni Wahaya tuuuu, ndo wana uwezo? na ndio pekee walioomba? Mimi nadhani ungekaa kimia lakini na wewe umemuona ni jabali kwa kuingiza ukabila bila hata aibu.
Pesa unazihesabuje. Usichokijua kitakusumbua. Haaaa Merry xmas.
Wewe jiulize,hivi kwa akili yako ni Wahaya tuuuu, ndo wana uwezo? na ndio pekee walioomba? Mimi nadhani ungekaa kimia lakini na wewe umemuona ni jabali kwa kuingiza ukabila bila hata aibu.
Unafiki huo alipoingia alikuchefua na nini au ulipata mimba.
Kama Malinzi ana hela, basi Tz matajiri tuko wengi hakyamama. Hakuna nisichokijua, trust we you.