Ukabila TFF: Jamal Malinzi jibu/fafanua hili kabla sumu haijaenea


Nachelea kuongelea watu ambao walishatumikia shirikisho,kwa uteuzi uliofanywa na kamati ya utendaji,trust me,ulikuwa ni uteuzi sahihi.
 
Last edited by a moderator:
Nachelea kuongelea watu ambao walishatumikia shirikisho,kwa uteuzi uliofanywa na kamati ya utendaji,trust me,ulikuwa ni uteuzi sahihi.

Hilo swala litakuletea shida,nakubaliana na uteuzi wa Mtawala kazi aliyoifanya Simba imeonekana licha ya kuwa na umri mdogo na elimu yake imekidhi vigezo but hapa kwa Mwesigwa kuna shida.Inakuwaje qualification inataka masters then mnampa kazi mtu ambaye hana masters

 
Rutta, kwa mfano Katibu mkuu alitakiwa awe na Masters degree ambayo Mwesigwa hana. Kwa hapo tu unasemaje?

Asprin MSc haikuwa sifa pekee,i wish ningekuonyesha orodha ya walioomba na sifa zao,ethics haziruhusu.Nikikwambia nafasi ya Technical Director ilikosa mwenye sifa utaamini?
 
Last edited by a moderator:

Hata ufanyeje au usemeje huwezi kukwepa tuhuma ya ukabila. Gia uliyoanza nayo ya ukabila itakutesa sana kipindi chote cha uongozi wako. TFF ni tofauti na taasisi nyingine: siyo ya ccm wala cdm. Wewe ni mhuni tu
 
Mie sizani Kama atakuwa na ukabila, kazi zengine Kama mafundi wa mpira nje akienda ligi ya uengereza anaenda na watu wake na kazi Inaenda Mie sioni tabu Akiwa amejaza wahaya watupu au wachagga, Muhimu kazi inatendeka hata Yanga ilianza na wazaramo watupu na ikafanya vizuri na na utu wao wakishirikiana na wengine ikazidi Kuwa nzuri japo sishabikii Yanga ila tusiangalie sana ukabila tunaponyoosheana mkono kwa ukabila ndio sie tutakuwa na ukabila. Tumsaidie tu ushauri wa mengine.
 
Jamal Malinzi ana pesa???

Hebu acha kudhalilisha fedha wewe. Hata kaka yake mwenye cargo star ambapo Jamal ni mwajiriwa bado huwezi kusema ana pesa.

Mamndenyi unamjua Jamal Malinzi au unasikia stori za vijiweni?

Asprin give me a break, mimi ni muajiriwa wa Cargostars ltd? Hii kampuni unaijua vizuri kuliko mimi mwanzilishi ninavyoijua?
 
Last edited by a moderator:
Nipe muda

Nipe Muda ni maneno tuloyazoea sana haya,hili la Uhaya sitak kulizungumzia kwa hapo TFF,maana wahaya na wachanga wanatajwatajwa sana kwa ukabila kwenye ofisi,ziwe binafsi ziwe za umma,ila pia huwa wanaqualify kwa kigezo cha elim,na hata utendaji,hata udsm,kuna idad kubwa sana ya wahadhiri wahaya,ila wana vigezo,
bt next time hili uliangalie maana humu mitandaon limejadiliwa sana,japo kwenye magazet hawajaliandika andika bt it sound, ukiliangalia sana,
HIVI TIBAIGANA YUPO BADO TFF????yule mzee wa suspender aka Jumapili hatumtak,anakula pesa za bure tu
 
Hata ufanyeje au usemeje huwezi kukwepa tuhuma ya ukabila. Gia uliyoanza nayo ya ukabila itakutesa sana kipindi chote cha uongozi wako. TFF ni tofauti na taasisi nyingine: siyo ya ccm wala cdm. Wewe ni mhuni tu

hii ndo JF,,,,za uso nje nje via keybards
 
Mbona mnamuonea Mh. Malinzi, mchezo wa ukabila, udini, udugu na urafiki umeanzia juu. Kwahiyo yeye amefanya kuiga. Baba ukija nyumbani umelewa chakali ujue kesho mtoto naye atakuja amelewa balaa! Aluta Continua Malinzi, Wahaya hoyeeee!
 
Mbona mnamuonea Mh. Malinzi, mchezo wa ukabila, udini, udugu na urafiki umeanzia juu. Kwahiyo yeye amefanya kuiga. Baba ukija nyumbani umelewa chakali ujue kesho mtoto naye atakuja amelewa balaa! Aluta Continua Malinzi, Wahaya hoyeeee!

hahahahaa,,,,,,so Jah Mali Maali-inzi anaendeleza sera ya taifa????
 
Asprin MSc haikuwa sifa pekee,i wish ningekuonyesha orodha ya walioomba na sifa zao,ethics haziruhusu.Nikikwambia nafasi ya Technical Director ilikosa mwenye sifa utaamini?

hivi Rage mnamuogopa eeenh,,,maana namskia anavyowajibu mbofu mbofu tu,
 
Last edited by a moderator:
Mkuu naomba umualike huyo so called KUMWEMBE kwenye huu mjadala.

hivi huu ujinga alio uandika ndio una huita uchambuzi?hivi katika hili amechambua nini?
Kusema wote wahaya ndio uchambuzi?
Sikujua huyo Mwembe kama ni mjinga kiasi hiki.

Ruttashobolwa unaweza kukaanga mbuyu ukawaachia wenzio wale,duniani hakuna kitu rahisi kama kukosoa.
 
Last edited by a moderator:

Belo time will tell,i believe the appointment is right.
 
Last edited by a moderator:

Belo don't even bother to waste your breath,ajira ya katibu wa TFF si ajenda kwangu,its done and sealed,ukitaka tuzungumze let us talk about football devwlopment,youth programmes,women football,Afcon qualifiers strategy,reclaiming of open spaces for sports use....hapo nitakuelewa,lakini kuongelea makabila,dini,jinsia,ukanda wa wajiriwa TFF forget it kwangu hayo hayanikoseshi usingizi kamwe,its well beneath me.
 
Last edited by a moderator:

Belo don't even bother to waste your breath,ajira ya katibu wa TFF si ajenda kwangu,its done and sealed,ukitaka tuzungumze let us talk about football devwlopment,youth programmes,women football,Afcon qualifiers strategy,reclaiming of open spaces for sports use....hapo nitakuelewa,lakini kuongelea makabila,dini,jinsia,ukanda wa wajiriwa TFF forget it kwangu hayo hayanikoseshi usingizi kamwe,its well beneath me.
 
Last edited by a moderator:
Sijazungumzia ukabila,nimehoji how mnaweka vigezo kwenye nafasi halafu mtu anayepewa hiyo nafasi hajakidhi vigezo?
Utaongeleaje football development wakati unaweka watendaji ambao hawajakidhi vigezo ambao umeviweka mwenyewe
 

Usiwe arrogant! Panapokuwa na obvious ukabila lazima tutazungumzia tu! Arrogance ktk uendeshaji wa tff itakusumbua! And that is typical of you Hayas!
 
Last edited by a moderator:
Sijazungumzia ukabila,nimehoji how mnaweka vigezo kwenye nafasi halafu mtu anayepewa hiyo nafasi hajakidhi vigezo?
Utaongeleaje football development wakati unaweka watendaji ambao hawajakidhi vigezo ambao umeviweka mwenyewe

Hadi sasa hao wateule unawaonaje? Kuna lililoharibika so far?
 

MALINZI, comments zako za mwanzoni nilikuwa naelekea kuwa pamoja nawe lakini kwa hii comment ninayoreply juu umeonyesha UJUHA sana. Kauli uliyotumia ni ile ya kusema kufanya nafanya na lolote likitokea poa sijali/upepo tu utapita/ watasema mchana usiku watalala. Huwezi sema kwangu its done and sealed wakati bado inaleta mzozo mkubwa wa ukabila.La msingi kujibu hoja za watanzania wenye kupinga ukabila unaofanywa na wahaya sio tu kny soka hata maofisi mengi na hii tabia ni hatarashi itatupelekea kny mzozo mzito kama sio mapigano. Muugwano akikosea anaomba msamaha sio kuleta ubishi/sifa za kihaya km ulivyojibu juu hapo. Hapa umeonyesha uhaya typically, acha kujiona uko juu ya watnz wengine. TFF mali ya watnz kumbuka hilo usijisahau na kauli zako ukajiona ni Success yenu. ukitaka beba ushauri au acha lkn umonyesha dharau kwa kauli yako.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…