tatizo ni nini kama wana sifa?
Well done Jamal Malinzi...Katibu
mpya wa TFF ni Mhaya, Mkurugenzi
wa sheria na utawala ni Mhaya,
Mshauri wa masuala ya kiufundi ni
Mhaya, Mwenyekiti mpya wa kamati
ya maadili ni Mhaya, Mwenyekiti
mpya wa kamati ya Uchaguzi ni
Mhaya..na wewe Big Boss wetu ni
Mhaya...Asante sana. World cup here
we go..2018.
Source: facebook page ya.Edo Kumwembe
Usituletee utoto hapa. Hv unapata wap muda wa kuuliza makabila ya watu badala ya ksueulizia sifa km zinakidhi???
Rais -muhaya
Katibu -mkuu muhaya
Mkurugenzi wa sheria na utawala-muhaya
Mshauri maswala ya ufundi-muhaya
Mwenyekiti kamati ya maadili -muhaya
Mwenyekiti kamati ya maadili- muhaya
Nafasi nyingine hazijapatiwa watu sabb walioomba hawajakidhi vigezo na walioomba hawatakiwi kuomba tena
Kaenda bukoba kula xmass akirudi nafasi hizo kujazwa na wahaya
Kumbe Bishanga ndio Jamal Malinzi?
Well done Jamal Malinzi...Katibu
mpya wa TFF ni Mhaya, Mkurugenzi
wa sheria na utawala ni Mhaya,
Mshauri wa masuala ya kiufundi ni
Mhaya, Mwenyekiti mpya wa kamati
ya maadili ni Mhaya, Mwenyekiti
mpya wa kamati ya Uchaguzi ni
Mhaya..na wewe Big Boss wetu ni
Mhaya...Asante sana. World cup here
we go..2018.
Source: facebook page ya.Edo Kumwembe
kati ya hao mhaya ni mmoja!TFF Secretariat is the organ which implements the decisions passed by Executive Committee. It is headed by General Secretary. The General Secretary and Heads of Departments are employed by the Executive Committee.The General Secretary is assisted by five Heads of Departments of Technical, Administration and Membership, Finance,Competitions,Marketing and Events, and the Information Officer who is charged with handling all matters regarding to Mass media and event management. He/she is also a chief adviser on all matters pertaining to Public Relations.
· General Secretary- Selestin Mwesigwa
· Director of Finance - Danny Msangi (Acting)
· Director of Administration & Membership -
· Technical Director – Salum Madadi (Acting)
· Marketng and Event management Director-James Kabwe
· Competitions Director - Idd Mshangama (Acting)
· Information Officer-Boniface Wambura
Hata mimi nimekuwa nikijiuliza, lakini sikupata muda wa kuibua hoja hii humu JF.