Siku zote naamini Tanzania itaanza kusonga mbele kwa kasi pindi makabila viongozi wakitambua wajibu wao kuchukua jukumu la uongozi ktk sekta zote muhimu za nchi hii.
Namuunga mkono Jamal. Piga chini wazee wa majungu.
Duhhhh!!!!!
Kazi kwelikweli.
Hebu tupewe sifa zao, tuzijadili hapa!!!!!!
even if Mkuu, lakini sio fair kabisa, alitakiwa kumix tu ili kuondoa dhana za upendeleo
Hadi Shafii kampa rungu?mie Simpend shafiii Dauda
Well done Jamal Malinzi...Katibu
mpya wa TFF ni Mhaya, Mkurugenzi
wa sheria na utawala ni Mhaya,
Mshauri wa masuala ya kiufundi ni
Mhaya, Mwenyekiti mpya wa kamati
ya maadili ni Mhaya, Mwenyekiti
mpya wa kamati ya Uchaguzi ni
Mhaya..na wewe Big Boss wetu ni
Mhaya...Asante sana. World cup here
we go..2018.
Source: facebook page ya.Edo Kumwembe
Mwalimu Nyerere aliweka kabila fulani jeshini na kwenye mambo mengi ya ulinzi kwani hakuona yeye alijali ufanisi zaidi
Tusiendekeze malumbano ya kidini na kikabila; kikubwa ni sifa za wahusika(competence); Kama wanazo sifa za nafasi hizo,vema tukifumba midomo; Lah kama hawana sifa kuna mjadala.Je hawana sifa na vigezo vya hizo nafasi?
Tusiendekeze malumbano ya kidini na kikabila; kikubwa ni sifa za wahusika(competence); Kama wanazo sifa za nafasi hizo,vema tukifumba midomo; Lah kama hawana sifa kuna mjadala.Je hawana sifa na vigezo vya hizo nafasi?
Chukulia kuwa ndio waliopatikana mkuu!Kwahio kati.yq watz milion 45 wenye.sifa ndio hao wahaya tu.
Kwahio kati.yq watz milion 45 wenye.sifa ndio hao wahaya tu.
kwa kuwa mkuu mwenyewe yupo humo atakuja kukujibu tu..Unaweza kuwa na hoja mkuu ila binafsi nina tatizo na jinsi unavyowasilisha hoja zako. Watanzania tuko 45mil ila kati hao, wanaofaa au wenye uelewa wa mambo ya mpira wa miguu kwa kiwango cha kuchukua uongozi wa juu katika level ya kitaifa hawawezi kufika hata 1000 (please correct me if I am wrong). Kwa hiyo hatuwezi kuangalia walioteuliwa kwa population ya watanzania wote 45mil.
Hoja ambazo zingetusaidia sisi wengine tunaofuatilia mjadala huu ni kama hizi hapa:
1. Je nafasi husika zilitanganzwa kwa umma?
2. Watu wangapi na wenye sifa zipi waliomba hizo nafasi (tuwekee sifa za waliopata + waliokosa)
3. Kazi ya kutangaza nafasi, kuchuja majina, kufanya usaili na uteuzi ilifanywa na nani?
4. Je, wale waliofanya kazi hiyo walikuwa huru au waliingiliwa na wakubwa wa TFF kwa maslahi binafsi?
5. Je, taratibu za ajira katika nafasi za utendaji ndani ya TFF zinasemaje?
6. Kuna ukiukwaji wa taratibu umefanyika katika hatua yoyote?
7.
8.
Hata hivyo, ikitokea nafasi kuu za juu katika taasisi moja kujazwa na watu wenye haiba/dini/kabila moja hata kama wana sifa za kutosha siyo jambo zuri.
Ila kwa sasa ningeomba tupewe uchambuzi wa hoja badala ya kuwamwagia watu tuhuma bila uchambuzi wa kutosha kusupport allegations zinazotolewa.
Pia naamini Ndugu Jamal Malinzi atakuja kutupatia ufafanuzi zaidi,
kwa kuwa mkuu mwenyewe yupo humo atakuja kukujibu tu..