FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Si uji lockdown wewe, ulikatazwa?Sawa mkuu!
not everyone is willing to take the risk!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si uji lockdown wewe, ulikatazwa?Sawa mkuu!
not everyone is willing to take the risk!
Hiyo logic inafanya kazi tu kama hutoi takwimu sahini walau kila baada ya siku tatu, wagonjwa wapya, waliofariki na walioponaMkuu mwanzo nilipingana na Magu jinsi alivyolihandle janga la corona, lkin sasa nipo nae. Huyu kooona haishi leo ama kesho ni kumzoea tu na tuishi nae.
Hao wanaojifanya kufunga mipaka sjui lockdown pumzi itawakatikia wakati corona haijaisha.
Wewe kama unajiona mwerevu sana jifungie ndani kwako, hujakatazwa. We endelea kukaa ndani
Ni vita ya kiuchumi [emoji16][emoji16].
Uganda kwako wenye corona ni madereva tu.
Kwanini madereva?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeelewa vizuri hoja zangu? Ni wapi nimezungumzia lockdown. Halafu kwa nini unapenda kujibishana na vijana wadogo?Si uji lockdown wewe, ulikatazwa?
Wewe ni mpumbavu na unajisahaulisha kuwa umehoji vyuo vikifunguliwa wanafunzi raia wa kigeni watakujaje?Wewe ni mpumbavu, kwenye hoja zangu ni wapi umeona na zungumzia swala la lockdown?
Napata mashaka sana na njia iliyo tumika kuzariwa kwako.Isije ikawa ulikulia kwenye chupa mama yako akaficha kukwambia ukweli.
not everyone is willing to take the risk!
Basi endelea kukaa ndani.Yeye ndio kipimo changu maana ana taarifa nzuri zaidi namtumia kama yardstick yangu.
Akirudi mjini, ntajua mambo yapo shwari, vinginevyo ndani pananihusu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Au revoir
Umeshindwa kujenga hoja, bila shaka utakuwa na matatizo ya down syndrome.Wewe ni mpumbavu na unajisahaulisha kuwa umehoji vyuo vikifunguliwa wanafunzi raia wa kigeni watakujaje? Panua akili yako kama unavyopanua mnduku wako unapokuwa chooni.
Haki nakwambia we hasara tupu mamako aliambulia utamu tu kitandani.
Hiyo pia ni logic sana kama daktari anaweza kuvaaa mavazi na asipate corona. Kwa nn maiti isivalishwe hayo mavazi ili isiambukize watuKwa mawazo yako wewe unafikiri vyuo na shule vingefunguliwa baada ya Corona kuisha, unajua Corona inasha lini?
Ikiendelea kuwepo miaka mitatu mbele na vyuo vitaendelea kufungwa miaka mitatu?
Huko China, ujerumani etc. Shule zimefunguliwa, lockdown imelecezwa, Corona imeisha?
Mwanzo nilikua napanic Sana nikimsikia JPM na misimamo yake lakini Sasa nimeanza kumuelewa, ninapopingana naye tu ni yeye kuwaingilia wataalamu wanaotaka kuwe na utaratibu wa kiafya katika kuwazika waliokufa na Corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unadanganya! Hao majirani hawajasema maambukizi Tanzania ni mengi, japo kuna madreva kadhaa wasiofika 100 walikutwa na maambukizi. Ukilinganisha kiwango cha maambukizi duniani hao ni wachache sana!Habari ya mda huu wanajanvi!
Bila kupoteza mda, kutokana na kauli iliyo tolewa na muheshimiwa Rais juu ya maendeleo ya ugonjwa wa Corona hapa nchini.
Kwa mtu mwenye mtazamo mpana kimsingi ni kauli inayo pelekea mtu ajiulize maswali mengi na pengine yasiwe na majibu:-
Ikiwa Rais yeye mwenyewe kwa kinywa chake alikili kuwa mashine za kupimia virusi vya Covid-19 zina matatizo, imewezekanaje akazipata takwimu hizo za wagonjwa wa Corona?
Amewezaje kuziamini takwimu hizo kama ni sahihi?
Ikiwa maendeleo dhidi ya udhibiti wa ugonjwa wa Corona nchini ni mazuli, inakuwaje madereva wa magari ya mizigo kutokea upande wa Tanzania wakutwe na maambukizi ya virusi vya Covid-19?
Inamaana Kenya, Uganda, Rwanda, Zambia wanahuhadaa ulimwengu kuwa idadi kubwa ya watanzania wameathirika na virusi vya Covid-19. Wanafanya hivyo kwa faida ya nani?
Muheshimiwa Rais anapofikilia kutoa maamuzi juu ya ufunguzi wa vyuo nchini, anahuakika gani kuwa maambukizi yameisha mitaani. Ametumia mbinu gani kuwapima wananchi wote nakuthibitisha hilo?
Linapo kuja swala la kufunguwa vyuo hapa nchini Rais atambue kwamba kuna wanafunzi wanaotokea nnje ya nchi na wanasoma hapa nchini.
Kimsingi Rais anatowa maamzi kwa kupaniki na bila ya kushirikisha akili yake. Rais anataka kila mtu akubaliane na mawazo yake.
Kuwa Rais hakukufanyi wewe uonekane una akili nyingi na mitazamo mipana kuliko wananchi wote unao waongoza. Hata mtu wa mwisho darasani kwenye mitihani anaweza akapewa dhamana ya kuwa kiongozi.
Kalibuni kwa maoni...
Not everyone is willing to take the risk!
Hivi wewe kama ulikuwa unaumwa, ukipona huwezi kujua kama umepona?Na amesema mtoto wake aliugua corona na sasa amepona. Je, tuamini kwamba kweli aliugua? Kwani rais haamini vipimo vya corona vilivyopo au alipimwa Kenya?
Hayo unayajua wewe, tunachojua sisi ni kwamba Corona imepungua makali yake hapa nchini na muda sio mrefu shughuli zote zitarudi kama kawaida.