Ukakasi wa taarifa ya Rais Magufuli juu ya maendeleo ya ugonjwa wa COVID-19 nchini

Ukakasi wa taarifa ya Rais Magufuli juu ya maendeleo ya ugonjwa wa COVID-19 nchini

a3845cd6-4aa3-48b6-9ebb-f5977f10a1af.jpg
bfb55edb-8999-4dc0-bb27-e023b3de5dbd.jpg



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mpumbavu babako na mamako waliokuzaa wewe punguani usiye na akili. Wewe ni nani hata useme Rais hatumii akili? Angekuwa babako mzazi ungesema hatumii akili? Mtu umri wa babako unasema hana akili na kiongozi wa nchi. Jifunze kuwa na adabu kwanza. Acha kujitia mjuaji sana. Swine we.
Unaona unavyo dhihirisha upumbavu wako?
Umeshindwa kujenga hoja juu ya wanafunzi wa kigeni wanaosoma hapa nchini. Hivi wewe ulizaliwa muda gani !? Unakuwa mpumbavu, kiasi kwamba uwezo wako wa kufikiri ni mudogo.

not everyone is willing to take the risk!
 
kwaiyo ww ulitaka tuendelee kukaa nyumban? umeahaambiwa ya kwamba huu ugonjwa hauishi leo wala kesho kikubwa ni kuzingatia ushaur wa wataalam bas, sasa ww unatakaje? kama na ww ni mwanachuo na unaogopa bas ghailisha mwaka acha sisi tukomae na shule tumeshachoka kukaa kiboya boya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mwanzo nilipingana na Magu jinsi alivyolihandle janga la corona, lkin sasa nipo nae. Huyu kooona haishi leo ama kesho ni kumzoea tu na tuishi nae.

Hao wanaojifanya kufunga mipaka sjui lockdown pumzi itawakatikia wakati corona haijaisha.

Point yako nzuri sana kwa wanaomkosoa Rais. Sijui kama hata umegundua hilo. Unachosema hapa ni kuwa tumekubali kuiona corona kama ni sehemu ya maisha yetu kwa sababu tumechagua kutoathiri uchumi wetu.

Unasema pia waliofunga wakitaka kuukwepa wanachoka kwa sababu uchumi ulioharibika utawafanya wawe hatimaye kama sisi.

Mara zote nimekuwa nikiwaeleza sababu za kufunga uchumi ni za kitabibu (public health) lakini za kutofunga au kufungulia ni both za kiuchumi na public health.

Rais alichagua kulinda uchumi akiamini njia nyingine za kujikinga zitapunguza idadi ya maambukizi na vifo kufikia idadi ya vifo itakauokubalika.
 
Tunapoteza uelekeo kujadili mtu badala ya Corona. Sijawahi kumsikia mh.Rais akizuia kujifungia unao uhuru wa kujifungia kama utaona inakusaidia lakini pia tafakari haya:-The number of deaths in the world in the last two months of 2020

14,687 : Corona virus

69,602 : Common cold

140,584 : Malaria

153,696 : suicide

193,479 : road accidents

240,950 : HIV loss

358,471 : alcohol

716,498 : smoking

1,177,141 : Cancer

Then do you think Corona is dangerous?

Or

is the purpose of the media campaign to settle the trade war between China and America

or

to reduce financial markets to prepare the stage of financial markets for mergers and acquisitions

or

to sell US Treasury bonds to cover the fiscal deficit in them

Or

Is it a Panic created by Pharma companies to sell their products like sanitizer, masks, medicine etc.

Do not Panic & don't kill urself with unecessary fear:I am posting this to balance your newsfeed from posts that caused fear and panic.



338,724 People are sick with Coronavirus at the moment, of which 81,093 are in China. With a population of over 1.1 billion. This means that if you are not in or haven't recently visited China, this should eliminate 94% of your concern.

If you do contract Coronavirus, this still is not a cause for panic because:

81% of the Cases are MILD

14% of the Cases are MODERATE

Only 5% of the Cases are CRITICAL

Which means that even if you do get the virus, you are most likely to recover from it.

Some have said, “but this is worse than SARS!”. SARS had a fatality rate of 10% while COVID-19 has a fatality rate of 2%

Moreover, looking at the ages of those who are dying of this virus, the death rate for the people UNDER 50 years of age is only 0.2%

This means that: if you are under 50 years of age and don't live in China - you are more likely to win the lottery (which has a 1 in 45,000,000 chance)

Sunday 22nd March in Italy 793 died.

Let’s take one of the worst days so far, the 10th of February, when 108 people in CHINA died of Coronavirus.

On the same day:

26,283 people died of Cancer

24,641 people died of Heart Disease

4,300 people died of Diabetes

Suicide took 28 times more lives than the virus did.

Mosquitoes kill 2,740 people every day, HUMANS kill 1,300 fellow humans every day, and Snakes kill 137 people every day. (Sharks kill 2 people a year)

TAKE MULTI VITAMINS AND DO THE DAILY THINGS TO SUPPORT YOUR IMMUNE SYSTEM , PROPER HYGIENE AND DO NOT LIVE IN FEAR.


Sent using Jamii Forums mobile app
Source please for acknowledgement

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda mm nimemwelewa vibaya JPM ila nazani anachotaka ni watu waendelee kuishi na Corona..
Corona bado ipo na inaongezeka kila siku je asipofungua vyuo na shugr zingine ziendelee unazani tutaishi hivi hadi lini kama chanjo haitopatikana?
Maisha lazima yaendelee kikubwa ni kuchukua tahadhal.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kipimo changu kuwa Corona imeisha au imepungua ni yeye kurudi mjengoni kuendelea na kazi, hilo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ya mda huu wanajanvi!

Bila kupoteza mda, kutokana na kauli iliyo tolewa na muheshimiwa Rais juu ya maendeleo ya ugonjwa wa Corona hapa nchini.

Kwa mtu mwenye mtazamo mpana kimsingi ni kauli inayo pelekea mtu ajiulize maswali mengi na pengine yasiwe na majibu:-

Ikiwa Rais yeye mwenyewe kwa kinywa chake alikili kuwa mashine za kupimia virusi vya Covid-19 zina matatizo, imewezekanaje akazipata takwimu hizo za wagonjwa wa Corona?
Amewezaje kuziamini takwimu hizo kama ni sahihi?

Ikiwa maendeleo dhidi ya udhibiti wa ugonjwa wa Corona nchini ni mazuli, inakuwaje madereva wa magari ya mizigo kutokea upande wa Tanzania wakutwe na maambukizi ya virusi vya Covid-19?

Inamaana Kenya, Uganda, Rwanda, Zambia wanahuhadaa ulimwengu kuwa idadi kubwa ya watanzania wameathirika na virusi vya Covid-19. Wanafanya hivyo kwa faida ya nani?

Muheshimiwa Rais anapofikilia kutoa maamuzi juu ya ufunguzi wa vyuo nchini, anahuakika gani kuwa maambukizi yameisha mitaani. Ametumia mbinu gani kuwapima wananchi wote nakuthibitisha hilo?

Linapo kuja swala la kufunguwa vyuo hapa nchini Rais atambue kwamba kuna wanafunzi wanaotokea nnje ya nchi na wanasoma hapa nchini.

Kimsingi Rais anatowa maamzi kwa kupaniki na bila ya kushirikisha akili yake. Rais anataka kila mtu akubaliane na mawazo yake.

Kuwa Rais hakukufanyi wewe uonekane una akili nyingi na mitazamo mipana kuliko wananchi wote unao waongoza. Hata mtu wa mwisho darasani kwenye mitihani anaweza akapewa dhamana ya kuwa kiongozi.

Kalibuni kwa maoni...

Not everyone is willing to take the risk!
Kazi tunayo, kiama kinatukabili ,mara hatupimi mara taarifa ya watu kupungua ,tunajidanganya sana huko mbele si kuzuri
 
Unaona unavyo dhihirisha upumbavu wako?
Umeshindwa kujenga hoja juu ya wanafunzi wa kigeni wanaosoma hapa nchini. Hivi wewe ulizaliwa muda gani !? Unakuwa mpumbavu, kiasi kwamba uwezo wako wa kufikiri ni mudogo.

not everyone is willing to take the risk!
Wewe kama unajiona mwerevu sana jifungie ndani kwako, hujakatazwa.
Hivi Tz kuna wanafunzi wangapi raia wa kigeni mpaka watuzuie sisi kufanya yetu? Wanafunzi wengi ni majirani zetu......wapande mabus waje. We endelea kukaa ndani mpuuzi we
 
Back
Top Bottom