Ukakasi wa taarifa ya Rais Magufuli juu ya maendeleo ya ugonjwa wa COVID-19 nchini

Ukakasi wa taarifa ya Rais Magufuli juu ya maendeleo ya ugonjwa wa COVID-19 nchini

Qioted:
Ikiwa Rais yeye mwenyewe kwa kinywa chake alikili kuwa mashine za kupimia virusi vya Covid-19 zina matatizo, imewezekanaje akazipata takwimu hizo za wagonjwa wa Corona?
Amewezaje kuziamini takwimu hizo kama ni sahihi?

Ikiwa maendeleo dhidi ya udhibiti wa ugonjwa wa Corona nchini ni mazuli, inakuwaje madereva wa magari ya mizigo kutokea upande wa Tanzania wakutwe na maambukizi ya virusi vya Covid-19?
 
Inawezekana pia.
Kwanini madereva tu ndo wawe wataambukizwa corona?.
Vipi raia wao wa kawaida?

Sent using Jamii Forums mobile app
Madereva ni sehemu ya watu waliopimwa mpakani kabla ya kuvuka. Na gari inaruhusiwa kupita na dereva tu. Kama na mautingo wakipimwa itakuwa aibu kubwa. Kifupi hatuna uwezo wa kupima watu wetu na wachache waliokuwa wakipimwa vipimo vimesimamishwa. Takwimu yoyote baada ya hapo ni batili. Na kwa mtifuano wa fukuzafukuza wizara ya afya, ni wanajeshi tu wanaweza kustahimili teuzi za enzi hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumieni hata akili za ukoo mzima kumtafakari na kumchambua Rais, sitojifungia ndani kama nilivyofanya wiki mbil za mwisho wa mwezi wa 3 na mbili za mwezi wa 4 kwa kuongozwa na kina BBC na akina Kigogo. Nimetoka na nitatoka hadi niambiwe tofauti na Rais wangu!. Kujitia hofu zisizo na sababu kwa maslahi ya Mpumbavu mmoja au kikundi NO.
Waache wazungu na vibaraka wao wajifungie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo Rais katutangazia kwamba ugonjwa wa corona una pungua Tanzania na kutoa data. Pia amesema mtoto wake aliugua na sasa amepona.

Juzi juzi alituambia wapimaji wana tumiwa na mabeberu na mashine zina pima hata sample za mbuzi na kutoa majibu ya positive. Na sasa maabara iko kwenye uchunguzi.

Sasa nauliza, hivi matokeo ya vipimo amepimia maabara hiyo hiyo au?
 
Mwambie basi arudi ikulu.. utapoteza ndugu zako kwa uiinga wakati yeye na familia yake wanakunywa chai ya jasho lako.

Kaburini hakuna mjadala, ukitoka imetoka.

Kumbuka kwa sasa

1. Hakuna kupima corona
2. Mtu akifa hakuna kupima corona
3. Ukifa utazikwa na ndugu zako na sababu ya kifo utajua wewe na ndugu zako.
4. Hakuna kulazwa hospitali kwa mgonjwa yeyote mwenye dalili za corona.

Chunga maisha yako na ndugu zako. Kaburini hakuna ukada wala ccm.
Waenezaji wa hofu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ya mda huu wanajanvi!

Bila kupoteza mda, kutokana na kauli iliyo tolewa na muheshimiwa Rais juu ya maendeleo ya ugonjwa wa Corona hapa nchini.

Kwa mtu mwenye mtazamo mpana kimsingi ni kauli inayo pelekea mtu ajiulize maswali mengi na pengine yasiwe na majibu:-

Ikiwa Rais yeye mwenyewe kwa kinywa chake alikili kuwa mashine za kupimia virusi vya Covid-19 zina matatizo, imewezekanaje akazipata takwimu hizo za wagonjwa wa Corona?
Amewezaje kuziamini takwimu hizo kama ni sahihi?

Ikiwa maendeleo dhidi ya udhibiti wa ugonjwa wa Corona nchini ni mazuli, inakuwaje madereva wa magari ya mizigo kutokea upande wa Tanzania wakutwe na maambukizi ya virusi vya Covid-19?

Inamaana Kenya, Uganda, Rwanda, Zambia wanahuhadaa ulimwengu kuwa idadi kubwa ya watanzania wameathirika na virusi vya Covid-19. Wanafanya hivyo kwa faida ya nani?

Muheshimiwa Rais anapofikilia kutoa maamuzi juu ya ufunguzi wa vyuo nchini, anahuakika gani kuwa maambukizi yameisha mitaani. Ametumia mbinu gani kuwapima wananchi wote nakuthibitisha hilo?

Linapo kuja swala la kufunguwa vyuo hapa nchini Rais atambue kwamba kuna wanafunzi wanaotokea nnje ya nchi na wanasoma hapa nchini.

Kimsingi Rais anatowa maamzi kwa kupaniki na bila ya kushirikisha akili yake. Rais anataka kila mtu akubaliane na mawazo yake.

Kuwa Rais hakukufanyi wewe uonekane una akili nyingi na mitazamo mipana kuliko wananchi wote unao waongoza. Hata mtu wa mwisho darasani kwenye mitihani anaweza akapewa dhamana ya kuwa kiongozi.

Kalibuni kwa maoni...

Not everyone is willing to take the risk!
 
Nafkiri tumuunge mkono Rais wetu, yuko sahihi, kwanza kaanza na vyuo akiamini hawa ni watu wazima na wana uwezo wa kufuata masharti na maelekezo ya madaktari, pia kufungua milango ya Utalii si jambo baya, ila nashauri watalii na wanavyuo kutumia tiba mbadala kujikinga na kutibu Covid 19, Pale uwanja Wa ndege ziwekwe,NIMRI Caf za kutosha kuuziwa watalii na ni lazima wanunue na kutumia,ikiwezekana iwe katika package ya price ya Utalii, wanafunzi pia wapewe za kutosha,huu ugonjwa ni Mafua tu tunayamudu,Mungu ibariki Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo Rais katutangazia kwamba ugonjwa wa corona una pungua Tanzania na kutoa data. Pia amesema mtoto wake aliugua na sasa amepona.

Juzi juzi alituambia wapimaji wana tumiwa na mabeberu na mashine zina pima hata sample za mbuzi na kutoa majibu ya positive. Na sasa maabara iko kwenye uchunguzi.

Sasa nauliza, hivi matokeo ya vipimo amepimia maabara hiyo hiyo au?
Mkuu wakikujibu nitagi.

not everyone is willing to take the risk!
 
Na raia wao
Madereva ni sehemu ya watu waliopimwa mpakani kabla ya kuvuka. Na gari inaruhusiwa kupita na dereva tu. Kama na mautingo wakipimwa itakuwa aibu kubwa. Kifupi hatuna uwezo wa kupima watu wetu na wachache waliokuwa wakipimwa vipimo vimesimamishwa. Takwimu yoyote baada ya hapo ni batili. Na kwa mtifuano wa fukuzafukuza wizara ya afya, ni wanajeshi tu wanaweza kustahimili teuzi za enzi hii.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ya mda huu wanajanvi!

Bila kupoteza mda, kutokana na kauli iliyo tolewa na muheshimiwa Rais juu ya maendeleo ya ugonjwa wa Corona hapa nchini.

Kwa mtu mwenye mtazamo mpana kimsingi ni kauli inayo pelekea mtu ajiulize maswali mengi na pengine yasiwe na majibu:-

Ikiwa Rais yeye mwenyewe kwa kinywa chake alikili kuwa mashine za kupimia virusi vya Covid-19 zina matatizo, imewezekanaje akazipata takwimu hizo za wagonjwa wa Corona?
Amewezaje kuziamini takwimu hizo kama ni sahihi?

Ikiwa maendeleo dhidi ya udhibiti wa ugonjwa wa Corona nchini ni mazuli, inakuwaje madereva wa magari ya mizigo kutokea upande wa Tanzania wakutwe na maambukizi ya virusi vya Covid-19?

Inamaana Kenya, Uganda, Rwanda, Zambia wanahuhadaa ulimwengu kuwa idadi kubwa ya watanzania wameathirika na virusi vya Covid-19. Wanafanya hivyo kwa faida ya nani?

Muheshimiwa Rais anapofikilia kutoa maamuzi juu ya ufunguzi wa vyuo nchini, anahuakika gani kuwa maambukizi yameisha mitaani. Ametumia mbinu gani kuwapima wananchi wote nakuthibitisha hilo?

Linapo kuja swala la kufunguwa vyuo hapa nchini Rais atambue kwamba kuna wanafunzi wanaotokea nnje ya nchi na wanasoma hapa nchini.

Kimsingi Rais anatowa maamzi kwa kupaniki na bila ya kushirikisha akili yake. Rais anataka kila mtu akubaliane na mawazo yake.

Kuwa Rais hakukufanyi wewe uonekane una akili nyingi na mitazamo mipana kuliko wananchi wote unao waongoza. Hata mtu wa mwisho darasani kwenye mitihani anaweza akapewa dhamana ya kuwa kiongozi.

Kalibuni kwa maoni...

Not everyone is willing to take the risk!
Kijana, Raisi wa nchi sio mtu mmoja ni taasisi kubwa sana na yenye nguvu na uwezo. Taasisi ya uraisi inautaalamu wa kila aina, ina uwezo wa kupata taarifa zote muhimu ya jambo lolote kwa wakati wowote. Endelea kujifunza utaelewa nina maana gani.
 
Tunapoteza uelekeo kujadili mtu badala ya Corona. Sijawahi kumsikia mh.Rais akizuia kujifungia unao uhuru wa kujifungia kama utaona inakusaidia lakini pia tafakari haya:-The number of deaths in the world in the last two months of 2020

14,687 : Corona virus

69,602 : Common cold

140,584 : Malaria

153,696 : suicide

193,479 : road accidents

240,950 : HIV loss

358,471 : alcohol

716,498 : smoking

1,177,141 : Cancer

Then do you think Corona is dangerous?

Or

is the purpose of the media campaign to settle the trade war between China and America

or

to reduce financial markets to prepare the stage of financial markets for mergers and acquisitions

or

to sell US Treasury bonds to cover the fiscal deficit in them

Or

Is it a Panic created by Pharma companies to sell their products like sanitizer, masks, medicine etc.

Do not Panic & don't kill urself with unecessary fear:I am posting this to balance your newsfeed from posts that caused fear and panic.



338,724 People are sick with Coronavirus at the moment, of which 81,093 are in China. With a population of over 1.1 billion. This means that if you are not in or haven't recently visited China, this should eliminate 94% of your concern.

If you do contract Coronavirus, this still is not a cause for panic because:

81% of the Cases are MILD

14% of the Cases are MODERATE

Only 5% of the Cases are CRITICAL

Which means that even if you do get the virus, you are most likely to recover from it.

Some have said, “but this is worse than SARS!”. SARS had a fatality rate of 10% while COVID-19 has a fatality rate of 2%

Moreover, looking at the ages of those who are dying of this virus, the death rate for the people UNDER 50 years of age is only 0.2%

This means that: if you are under 50 years of age and don't live in China - you are more likely to win the lottery (which has a 1 in 45,000,000 chance)

Sunday 22nd March in Italy 793 died.

Let’s take one of the worst days so far, the 10th of February, when 108 people in CHINA died of Coronavirus.

On the same day:

26,283 people died of Cancer

24,641 people died of Heart Disease

4,300 people died of Diabetes

Suicide took 28 times more lives than the virus did.

Mosquitoes kill 2,740 people every day, HUMANS kill 1,300 fellow humans every day, and Snakes kill 137 people every day. (Sharks kill 2 people a year)

TAKE MULTI VITAMINS AND DO THE DAILY THINGS TO SUPPORT YOUR IMMUNE SYSTEM , PROPER HYGIENE AND DO NOT LIVE IN FEAR.


Sent using Jamii Forums mobile app
Thank you
 
Back
Top Bottom