Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Kupitia ukurasa rasmi wa Dstv huko Instagram, wananchi wengi ambao ni wateja wa Dstv wameomba kupunguziwa gharama hasa kwenye vifurushi kutokana na ukali wa maisha.
Wengine wakaenda nbali zaidi, kuwa wanatumia king'amuzi cha Canal hivyo hawako tayari kunyonywa na gharama kubwa za Dstv.
Wakati hayo yakiendelea, chini ya kapeti kuanzia septemba 1 kutakuwa na mabadiliko ya bei mpya za vifurushi kutoka Dstv ambapo nimedokezwa kuwa gharama zitapanda kidogo.
Kwahyo mjiandae kwa maumivu zaidi.
Wengine wakaenda nbali zaidi, kuwa wanatumia king'amuzi cha Canal hivyo hawako tayari kunyonywa na gharama kubwa za Dstv.
Wakati hayo yakiendelea, chini ya kapeti kuanzia septemba 1 kutakuwa na mabadiliko ya bei mpya za vifurushi kutoka Dstv ambapo nimedokezwa kuwa gharama zitapanda kidogo.
Kwahyo mjiandae kwa maumivu zaidi.