Ukali wa Maisha: Wananchi waiomba Dstv ipunguze vifurushi vyake

Ukali wa Maisha: Wananchi waiomba Dstv ipunguze vifurushi vyake

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Kupitia ukurasa rasmi wa Dstv huko Instagram, wananchi wengi ambao ni wateja wa Dstv wameomba kupunguziwa gharama hasa kwenye vifurushi kutokana na ukali wa maisha.

Wengine wakaenda nbali zaidi, kuwa wanatumia king'amuzi cha Canal hivyo hawako tayari kunyonywa na gharama kubwa za Dstv.

Wakati hayo yakiendelea, chini ya kapeti kuanzia septemba 1 kutakuwa na mabadiliko ya bei mpya za vifurushi kutoka Dstv ambapo nimedokezwa kuwa gharama zitapanda kidogo.
Kwahyo mjiandae kwa maumivu zaidi.

FBB2B258-FFE8-4B94-A004-5CD0AA3929A5.jpeg
BD07DE40-DA3D-46C6-9E2C-22D55C366792.jpeg
7D70FEED-0364-404D-AFB4-C386245857DF.jpeg
46043D5A-2DAE-4978-9548-34C754D75D53.jpeg
 
Kupitia ukurasa rasmi wa Dstv huko Instagram, wananchi wengi ambao ni wateja wa Dstv wameomba kupunguziwa gharama hasa kwenye vifurushi kutokana na ukali wa maisha.

Wengine wakaenda nbali zaidi, kuwa wanatumia king'amuzi cha Canal hivyo hawako tayari kunyonywa na gharama kubwa za Dstv.

Wakati hayo yakiendelea, chini ya kapeti kuanzia septemba 1 kutakuwa na mabadiliko ya bei mpya za vifurushi kutoka Dstv ambapo nimedokezwa kuwa gharama zitapanda kidogo.
Kwahyo mjiandae kwa maumivu zaidi.

View attachment 2312409View attachment 2312410View attachment 2312411View attachment 2312412
Wa kulaumiwa ni serikali ambayo inaongeza tozo kila mahali wao ni wakusanyajj tu au umesahau kuwa walipanga kuweka tozo kwrnye ving'amuzi mkuu.
 
Kupitia ukurasa rasmi wa Dstv huko Instagram, wananchi wengi ambao ni wateja wa Dstv wameomba kupunguziwa gharama hasa kwenye vifurushi kutokana na ukali wa maisha.

Wengine wakaenda nbali zaidi, kuwa wanatumia king'amuzi cha Canal hivyo hawako tayari kunyonywa na gharama kubwa za Dstv.

Wakati hayo yakiendelea, chini ya kapeti kuanzia septemba 1 kutakuwa na mabadiliko ya bei mpya za vifurushi kutoka Dstv ambapo nimedokezwa kuwa gharama zitapanda kidogo.
Kwahyo mjiandae kwa maumivu zaidi.

View attachment 2312409View attachment 2312410View attachment 2312411View attachment 2312412
Kama kawaida tuko bise na vitu visivyo kuwa na maana, Hizo Dstv ndo vitu muhimu kwao?
 
Back
Top Bottom