Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Inapatikana tu mkuu...Kwa Dar inapatikana? nasikia hata malipo yake mpaka ulipie kule mpakani Kigoma AU Rwanda na Burundi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inapatikana tu mkuu...Kwa Dar inapatikana? nasikia hata malipo yake mpaka ulipie kule mpakani Kigoma AU Rwanda na Burundi
Azam ana umiliki wa asilimia kubwa ya hiyo chaneli na anaitumia kwa mgongo wa serikali kupata haki za matangazo za bure na bei nafuuYa serikali ya zanzibar hiyo,azam tv uwa anatumia opportunity ya tv za serikali kuonyesha kupitia hiyo zbc 2
Kakune naziKama kawaida tuko bise na vitu visivyo kuwa na maana, Hizo Dstv ndo vitu muhimu kwao?
Huna unalojuaYa serikali ya zanzibar hiyo,azam tv uwa anatumia opportunity ya tv za serikali kuonyesha kupitia hiyo zbc 2
Subiria bei mpya septemba. Compact inaweza ikafika 69,000/=Nilitaka ninunue DStv Leo ili nijiandae na World Cup, itabidi nisikilizie kwanza bei mpya ya ving'amuzi.
Coverage huwa ni moja tu ambayo FIFA ndo wanasambaza kwa vituo vyote . Kwahiyo nachokiona mimi wa DStv ndo hicho hicho ataona wa StartimesNunua tu, huwa wana coverage nzuri ya World Cup
Ndicho ninachojua,azam ametumia fursa hapoAzam ana umiliki wa asilimia kubwa ya hiyo chaneli na anaitumia kwa mgongo wa serikali kupata haki za matangazo za bure na bei nafuu
Bado sisi wenye dstv wembe ni ule ule unless kununua king'amuzi kingineWorld cup nadhani tv station za serikali uwa zinaruhusiwa kasoro kwetu tbc sijui uwa wana shida gani,so unaweza kuangalia world cup azam tv kwa kupitia ubc,kbs nadhani hata tv za malawi na rwanda uwa wanaonyesha pia
Gharama ya Canal+ ipoje?mwendo wa Canal+ tu. Hadi tutajua kifaransa. Sisi watu wa betting hatuna shobo na Dstv ni mwendo wa link tu. Nataka niangalie mechi ya Como na Palermo serie B ili niibetie sasa dstv itanisaidia nini hapo.
Kwa mabando yapi?
Kumbe jibu unalijuaCoverage huwa ni moja tu ambayo FIFA ndo wanasambaza kwa vituo vyote . Kwahiyo nachokiona mimi wa DStv ndo hicho hicho ataona wa Startimes
Labda zile pre game, half time na post game analysis ndo kila broadcaster anafanya kivyake... kwa hilo wako vizuri sana
Mnyonge lazima anyongwe tuUkiwa South Africa kile kifurushi top Cha DStv(Premium) unalipia Rand 809(Tsh. 113,000) wkt kifurushi hicho kwa DStv hao hao hapa TZ utalipa Tsh.169,000
Uhuru wa soko huria upo wapi hawa makaburu wamehodhi matangazo ya mpira ligi za Ulaya, kuhodhi huku mbona hakupo Ulaya, Uarabuni,marekani na hata Naijeria, Nape inabidi uje huku hawa wa ving'amuzi pamoja na makampuni ya simu yantunyonya sana.Kupitia ukurasa rasmi wa Dstv huko Instagram, wananchi wengi ambao ni wateja wa Dstv wameomba kupunguziwa gharama hasa kwenye vifurushi kutokana na ukali wa maisha.
Wengine wakaenda nbali zaidi, kuwa wanatumia king'amuzi cha Canal hivyo hawako tayari kunyonywa na gharama kubwa za Dstv.
Wakati hayo yakiendelea, chini ya kapeti kuanzia septemba 1 kutakuwa na mabadiliko ya bei mpya za vifurushi kutoka Dstv ambapo nimedokezwa kuwa gharama zitapanda kidogo.
Kwahyo mjiandae kwa maumivu zaidi.
View attachment 2312409View attachment 2312410View attachment 2312411View attachment 2312412
Unakuta Simba SC inacheza na Zamalek hapo kwa Mkapa, KBC au NTV za Kenya wanaoesha mechi hiyo huku TBC kuna kipindi cha Bakita.
Na ZBC ya Zanzibar unakuta wanaonesha hiyo mechi
Inapatikana tu mkuu...