Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli aisee,balozi Ami anaupiga mpk anapitiliza.Nyumbani kwanza siku zote
ZBC2 ni ya AzamTvUnakuta Simba SC inacheza na Zamalek hapo kwa Mkapa, KBC au NTV za Kenya wanaoesha mechi hiyo huku TBC kuna kipindi cha Bakita.
Na ZBC ya Zanzibar unakuta wanaonesha hiyo mechi
Nunua tu, huwa wana coverage nzuri ya World CupNilitaka ninunue DStv Leo ili nijiandae na World Cup, itabidi nisikilizie kwanza bei mpya ya ving'amuzi.
[emoji38][emoji38][emoji38] Vipindi vya Tunatekeleza na anaupiga mwingi watamuachia nani ?Kwani tbc hawataonyesha world cup?
Kwa maana ya kuwa ipo kwenye king'amuzi cha Azam au kwa maana ya kuwa inamilikiwa na Azam na sio SMZ?ZBC2 ni ya AzamTv
Hawaogeshagi mipira yote. Maskini kashasha hayupo dahKwani tbc hawataonyesha world cup?
Wanazingua kichizi, soon nitawahama nibaki na CANAL+ SPORTS japo wanapatikana kwa mbindeKupitia ukurasa rasmi wa Dstv huko Instagram, wananchi wengi ambao ni wateja wa Dstv wameomba kupunguziwa gharama hasa kwenye vifurushi kutokana na ukali wa maisha.
Wengine wakaenda nbali zaidi, kuwa wanatumia king'amuzi cha Canal hivyo hawako tayari kunyonywa na gharama kubwa za Dstv.
Wakati hayo yakiendelea, chini ya kapeti kuanzia septemba 1 kutakuwa na mabadiliko ya bei mpya za vifurushi kutoka Dstv ambapo nimedokezwa kuwa gharama zitapanda kidogo.
Kwahyo mjiandae kwa maumivu zaidi.
View attachment 2312409View attachment 2312410View attachment 2312411View attachment 2312412
Mmiliki ni Said Salim BakhressaKwa maana ya kuwa ipo kwenye king'amuzi cha Azam au kwa maana ya kuwa inamilikiwa na Azam na sio SMZ?
Mbona inashika vizuri tuuWanazingua kichizi, soon nitawahama nibaki na CANAL+ SPORTS japo wanapatikana kwa mbinde
Kwa mabando yapi?Kwani internet si zipo, unastream mechi unazopenda tu...
Kwa Dar inapatikana? nasikia hata malipo yake mpaka ulipie kule mpakani Kigoma AU Rwanda na BurundiMbona inashika vizuri tuu
mwendo wa Canal+ tu. Hadi tutajua kifaransa. Sisi watu wa betting hatuna shobo na Dstv ni mwendo wa link tu. Nataka niangalie mechi ya Como na Palermo serie B ili niibetie sasa dstv itanisaidia nini hapo.
Canal + cable yatosha
World cup nadhani tv station za serikali uwa zinaruhusiwa kasoro kwetu tbc sijui uwa wana shida gani,so unaweza kuangalia world cup azam tv kwa kupitia ubc,kbs nadhani hata tv za malawi na rwanda uwa wanaonyesha piaWorld cup ndo tutanyooshwa maana wanajua lazima tununue.
Ya serikali ya zanzibar hiyo,azam tv uwa anatumia opportunity ya tv za serikali kuonyesha kupitia hiyo zbc 2ZBC2 ni ya AzamTv
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ombea tuu usikae karibu na mtu mwenye kunuka kikwapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]