Ukali wa Maisha: Wananchi waiomba Dstv ipunguze vifurushi vyake

Ukali wa Maisha: Wananchi waiomba Dstv ipunguze vifurushi vyake

Nilitaka ninunue DStv Leo ili nijiandae na World Cup, itabidi nisikilizie kwanza bei mpya ya ving'amuzi.
 
Kupitia ukurasa rasmi wa Dstv huko Instagram, wananchi wengi ambao ni wateja wa Dstv wameomba kupunguziwa gharama hasa kwenye vifurushi kutokana na ukali wa maisha.

Wengine wakaenda nbali zaidi, kuwa wanatumia king'amuzi cha Canal hivyo hawako tayari kunyonywa na gharama kubwa za Dstv.

Wakati hayo yakiendelea, chini ya kapeti kuanzia septemba 1 kutakuwa na mabadiliko ya bei mpya za vifurushi kutoka Dstv ambapo nimedokezwa kuwa gharama zitapanda kidogo.
Kwahyo mjiandae kwa maumivu zaidi.

View attachment 2312409View attachment 2312410View attachment 2312411View attachment 2312412
Wanazingua kichizi, soon nitawahama nibaki na CANAL+ SPORTS japo wanapatikana kwa mbinde
 
Hahaaaa jamaa Nouma kati ya hao waliotoa malalamiko nami nimo
 
mwendo wa Canal+ tu. Hadi tutajua kifaransa. Sisi watu wa betting hatuna shobo na Dstv ni mwendo wa link tu. Nataka niangalie mechi ya Como na Palermo serie B ili niibetie sasa dstv itanisaidia nini hapo.

Hii canal naipataje mkuu
 
World cup ndo tutanyooshwa maana wanajua lazima tununue.
World cup nadhani tv station za serikali uwa zinaruhusiwa kasoro kwetu tbc sijui uwa wana shida gani,so unaweza kuangalia world cup azam tv kwa kupitia ubc,kbs nadhani hata tv za malawi na rwanda uwa wanaonyesha pia
 
Back
Top Bottom