Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Ila world cup huwa ni michuano isiyo na level ya premium, ndio maana ni rahisi kwa tv nyingi kuionesha. Yaani world cup wataiweka kwenye kifurushi cha chini kabisa, maana ni kama michuano FTA tuWorld cup ndo tutanyooshwa maana wanajua lazima tununue.
Kwani tbc hawataonyesha world cup?World cup ndo tutanyooshwa maana wanajua lazima tununue.
Tbc hawawezi mkuu, uwezo wao kiteknlojia, kimawazo na kibiashara ni mdogo sanaKwani tbc hawataonyesha world cup?
Wa kulaumiwa ni serikali ambayo inaongeza tozo kila mahali wao ni wakusanyajj tu au umesahau kuwa walipanga kuweka tozo kwrnye ving'amuzi mkuu.Kupitia ukurasa rasmi wa Dstv huko Instagram, wananchi wengi ambao ni wateja wa Dstv wameomba kupunguziwa gharama hasa kwenye vifurushi kutokana na ukali wa maisha.
Wengine wakaenda nbali zaidi, kuwa wanatumia king'amuzi cha Canal hivyo hawako tayari kunyonywa na gharama kubwa za Dstv.
Wakati hayo yakiendelea, chini ya kapeti kuanzia septemba 1 kutakuwa na mabadiliko ya bei mpya za vifurushi kutoka Dstv ambapo nimedokezwa kuwa gharama zitapanda kidogo.
Kwahyo mjiandae kwa maumivu zaidi.
View attachment 2312409View attachment 2312410View attachment 2312411View attachment 2312412
Dah kwa kweli tutakomeshwa....sasa si kushinda vibanda umiza tuuTbc hawawezi mkuu, uwezo wao kiteknlojia, kimawazo na kibiashara ni mdogo sana
Unakuta Simba SC inacheza na Zamalek hapo kwa Mkapa, KBC au NTV za Kenya wanaoesha mechi hiyo huku TBC kuna kipindi cha Bakita.Dah kwa kweli tutakomeshwa....sasa si kushinda vibanda umiza tuu
Kama kawaida tuko bise na vitu visivyo kuwa na maana, Hizo Dstv ndo vitu muhimu kwao?Kupitia ukurasa rasmi wa Dstv huko Instagram, wananchi wengi ambao ni wateja wa Dstv wameomba kupunguziwa gharama hasa kwenye vifurushi kutokana na ukali wa maisha.
Wengine wakaenda nbali zaidi, kuwa wanatumia king'amuzi cha Canal hivyo hawako tayari kunyonywa na gharama kubwa za Dstv.
Wakati hayo yakiendelea, chini ya kapeti kuanzia septemba 1 kutakuwa na mabadiliko ya bei mpya za vifurushi kutoka Dstv ambapo nimedokezwa kuwa gharama zitapanda kidogo.
Kwahyo mjiandae kwa maumivu zaidi.
View attachment 2312409View attachment 2312410View attachment 2312411View attachment 2312412
Hawa jamaa hawapo serious kabisaUnakuta Simba SC inacheza na Zamalek hapo kwa Mkapa, KBC au NTV za Kenya wanaoesha mechi hiyo huku TBC kuna kipindi cha Bakita.
Na ZBC ya Zanzibar unakuta wanaonesha hiyo mechi
Huko ndio kwenye vibeDah kwa kweli tutakomeshwa....sasa si kushinda vibanda umiza tuu
Nyumbani kwanza siku zoteUkiwa South Africa kile kifurushi top Cha DStv(Premium) unalipia Rand 809(Tsh. 113,000) wkt kifurushi hicho kwa DStv hao hao hapa TZ utalipa Tsh.169,000
Ombea tuu usikae karibu na mtu mwenye kunuka kikwapa🤣🤣🤣🤣Huko ndio kwenye vibe