Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Oh my God dahMkuu inauma sana! Wanajeshi tayri wamefika eneo la tukio lakini sasa hivi wanatoa watu waliofariki, inasemekana watu wanaokisiwa kufikia 30 ndo waliokolewa wakiwa wazima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oh my God dahMkuu inauma sana! Wanajeshi tayri wamefika eneo la tukio lakini sasa hivi wanatoa watu waliofariki, inasemekana watu wanaokisiwa kufikia 30 ndo waliokolewa wakiwa wazima.
Waliopo eneo la tukio wanasema sio zaid ya 100m
Rais si alikuwa huko juzi na tBC1 Live na akawalipa wafanyakazi wote madeni yao na akawakataza wasi over load?
Vipi tena.
Tuna shetani maafa yatatuandamaMagufuli alisema AMECHOKA KUTOA RAMBI RAMBI, sijui safari hii atakaa kimya. Na hata akikaa kimya bado sifahamu kama ataelekeza ilio kwa ma-trafik au K Lugola au SUMATRA. Tusubiri.
Mimi natoa pole kwa wote waliofiwa na ndugu na jamaa.
ni serikali ndugu sio ya mtu binafsi, sasa utamfunga nani hapoMmiliki korokoroni inamhusu
Cc: massabuni
Jamani Mungu wangu nahisi kuganda, jamani jamani Roho za Watanzania wenzetu zimo zinateketea bila hatia, kifo cha maji kinaua vibaya sana maana baada ya muda mfupi tu MTU anajua kuwa anaenda kufa. Mungu asaidie wakolewe walau ambao bado hawajapoteza maisha.Mkuu inauma sana! Wanajeshi tayri wamefika eneo la tukio lakini sasa hivi wanatoa watu waliofariki, inasemekana watu wanaokisiwa kufikia 30 ndo waliokolewa wakiwa wazima.
kwa Mazingira ya tukio sioKama hapazidi mita 100 wakara wenzangu inakuaje washindwe kujiokoa?....maana enzi zetu hizo mita mia ilikua ni kichanga cha pili au cha tatu na ukiishia hapo nikwamba hujui kuogelea
Kwa taarifa yako ziwa Victoria Lina visiwa 95 Ko madaraja mangapi yenye urefu upi yakajengwaHee.., mbona unatutisha wa huku Kigamboni? ,ndio maana nasema pajengwe daraja pale, hamsikii..
...ivi samaki wanakula miili ya binadamuueeee.....nawaza vitoweoo SANGARA n SATO
Wapo serious kweli? Hawajui idadi ya walioingia kwenye kivuko? Manifest hawana?Amesema bado hawajapata idadi kamili ya waliokuwemo kwenye kivuko hicho.
Hii yote sababu ya jiwe, kauli huumbaBaki mirembe milele walahi
u k wa mama yakoMtakuwa ww na familia yako mlileta hii ajali kulalamika sana nako ni u k
Hawa jamaa washenzi kweli ina maana hawana kitabu/mashine ya tiketi? Watu wanapanda kama daladala asehhhWapo serious kweli? Hawajui idadi ya walioingia kwenye kivuko? Manifest hawana?
Unaambiwa wamezama halafu unasema Mungu awanusu
Kwani kivuko kikizama lazima wafe wote?