Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasimama upande wako Bongolala, mamilioni yanatumika kununua wabunge na madiwani wa upinzani na kulazimika kurudia chaguzi kwa gharama kubwa, Pole kwa wote waliohusika katika kadhia hiyo, Mungu awalinde ambao bado wako hai.Ukerewe wanahitaji meli kubwa bajeti ya kurudia uchaguzi ielekezwe huko katika miundombinu
AmenMwenyezi Mungu awanusuru
Utasikia mimi sikuahidi Ajali wakati wa kampeni yanguUtasikia Serikali haikuleta hii ajali.
Poleni sana mliofikwa na hilo janga!
Nishawahi kupanda "Meli" za kati ya Mwanza na Ukerewe, ni hatari tupu.Ukerewe wanahitaji meli kubwa bajeti ya kurudia uchaguzi ielekezwe huko katika miundombinu
Kuna umbali gani kutoka eneo la ajali mpaka nchi kavu?, maana watu wamesimama hapa karibu[emoji26] View attachment 872335
Nami nilipanda ile inayoanzia mwanza mpaka Nansio, ni shida sana kwani haina utulivu majini.Nishawahi kupanda "Meli" za kati ya Mwanza na Ukerewe, ni hatari tupu.
Inabidi kuchukua hatua na sio kusubiri mpaka maafa yatokee
Waliopo eneo la tukio wanasema sio zaid ya 100mKuna umbali gani kutoka eneo la ajali mpaka nchi kavu?, maana watu wamesimama hapa karibu
wapinzani wakipiga kelele wanaambiwa sio wazalendo, ni kweli mkuu, na mie niko upande wa bongolalaNasimama upande wako Bongolala, mamilioni yanatumika kununua wabunge na madiwani wa upinzani na kulazimika kurudia chaguzi kwa gharama kubwa, Pole kwa wote waliohusika katika kadhia hiyo, Mungu awalinde ambao bado wako hai.
Mkuu naona ilani ya CCM itakuwa inasema kufanya uchaguzi za marudio mara nyingi iwezekanavyo baada ya kuwanunua wapinzani..Ukerewe wanahitaji meli kubwa bajeti ya kurudia uchaguzi ielekezwe huko katika miundombinu
wanasema kwanza watu walikuwa wanatoka gulioni kununua mahitaji pale bugorola, na leo ni siku ya mnada, hivyo wanafunzi ambao shule zimefunguliwa kutoka midterm wengi walikuwa hapo kupata mahitaji yao, na vile vile kile kisiwa sasa unapelekwa umeme, hivyo kulikuwa na mabando ya nyama za umeme ambayo huwa ni mazito sana, na gari zikawa zimepakiwa na watu lukuki, nahisi wengine watakufa kwa sababu ya kukandamizwa na hizo nyaya na yale magari,Waliopo eneo la tukio wanasema sio zaid ya 100m
naomba tu hiyo idadi ya watu usiwe wengi kama inavyodhamiwa maana itakuwa msiba wa taifa, so sad.
hatari yake ni ipi mkuu, wakati nyehunge ndio mkombozi wetuNishawahi kupanda "Meli" za kati ya Mwanza na Ukerewe, ni hatari tupu.
Inabidi kuchukua hatua na sio kusubiri mpaka maafa yatokee
Mkuu inauma sana! Wanajeshi tayri wamefika eneo la tukio lakini sasa hivi wanatoa watu waliofariki, inasemekana watu wanaokisiwa kufikia 30 ndo waliokolewa wakiwa wazima.Mungu awanusuru wenzetu jamani, sijui ni kipi kinaendelea huko, jamani hata helkopita za uokoaji kama zipo serikali wafanye haraka wakasaidie wenzetu, inauma ni hakuna mfn, kifo cha kukuua taratibu kinaua vibaya sana. Jamani nimeumia mno.