Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Siasa zile zile za kiafrika, zilizojaa malalamiko. Inapopitishwa bajeti ya mawasiliano na miundo mbinu wabunge wanatoka nje na kupinga.

Mungu kwa unyenyekevu mkubwa liondolee ujinga bara la Afrika, limeteseka na kuendelea kuteseka.
Kwa mtizamo wako unadhani wakisema bara la Afrika lina ujinga unafikiri ni swala na twiga wa serengeti? Au mapiramid ya Egypt? Yaweza kuwa wewe mwenyewe ukawa unaliongezea bara let asilimia kadhaa bila kulitambua hilo.

Ajali zinatokea mpaka kwenye nchi zilizoendelea, tatizo hapa lipo kwenye demand ya watu na kivuko husika, our government could have done better before yet they still have all what is required to sort it out
 
Kafungue radio yako upige nyimbo za dr Remmy...
We zwazwa kweli.. yaan mtu aache kufanya mambo mengine kisa meli imezama..?? Mv spice mlihitaji haya??
 
..una uhakika gani kama hizo "injini mpya" hazikuwa na matatizo?

..na pia kivuko kuwa na "injini mpya" haimaanishi kwamba hakina matatizo ktk maeneo mengine.

..kwa maoni yangu it is too early kujua chanzo cha ajali hiyo ni nini.

..Uchunguzi huru wa kitaalamu unatakiwa kufanyika kubaini kivuko kilipatwa na matatizo gani na kupelekea kizame/kupinduka.


Mmoja ya wadau amesema possible reason ni kuwa watu walihama na kusogea mbele ili kuwahi kushuka baada ya kivuko kukaribia nchi kavu, kwahiyo uzito ulisababisha kivuko kuelemewa upande mmoja
 
niseme tu poleni watanzania wenzangu.MUNGU atutie nguvu kipindi hiki kigumu na cha majonzi.
 
I received Putins condolences on behalf of the country [emoji37]
View attachment 873593View attachment 873594
Akiwa katika mapumziko yake kikazi
FB_IMG_1537168054756.jpeg
 
Tunaambiwa uwezo wa kivuko ni abiria 100, wakizidi sana 101, mizigo tani 25 na magari 3, hii inatupatia picha kwamba collections kwa siku zinaweza kuwa fixed au zikashuka au kuzidi kidogo kulingana na idadi ya watu wanaosafiri kwa siku husika.

Najiuliza swali, je mamlaka husika hazikuwa zinafanya monitoring kuona mauzo yakiwa juu sana ambayo ni kama mara nne zaidi ya kawaida, ikiwa na maana kwamba kama one way kivuko kilitakiwa kuingiza shilingi 100, kikaonekana kinaingiza shilingi 400 ka abiria peke yake ukiacha mizigo? hii ingewapa picha kuwa kuna mahali mambo hayako sawa na walitakiwa kuchukua hatua.
Kabisa kabisa mkuu, hasa kama hawa wahusika HAWAKUWA na DILI lolote, Hapo ndo wangeanzia kujiuliza.
Infact wengine muda huu wangekuwa wawewekwa ndani kupisha uchunguzi.
Huu ni uzembe na tamaa. Maswali kama haya yanafaa watu wajiulize..
 
Rais Magufuli atoa salamu za rambirambi


Tunaomba taarifa sahihi, Waziri Mkuu akiwa kwenye tukio anasema miili 136, na Rais anasema 131, je hiyo miili imepunguaje ukizingatia kuwa taarifa ya Rais imekuja baada ya ile ya PM?
 
Hiyo kauli ilikuwa furahisha genge ,sababu zilizo mtoa Mwigulu zipo nyuma ya Carpet
 
Nilitegemea kwa wakati huu KUB Mbowe angekuwa kisiwani Ukerewe kujumuika na mbunge wa jumbo hill ambaye ni wa Chadema pamoja na timu nzima ya viongozi wa serikali na vyombo vya dola. Kwanini Mbowe kamuacha mbunge wake akiwa mpweke katika wakati huu mgumu!
Mwenye nchi yeye yuko wapi?? Maana ni wananchi wake...
 
Hapana mimi natofautiana na wewe. Ajali ya MV Nyerere ni ajali kama ajali zingine ambazo zinaweza kutokea wakati wowote. Kama alivyoshauri Mhe. Rais na Mhe.Mbatia wakati huu tunatakiwa tuwe WAMOJA na baada ya mazishi ndo tukae pamoja na kuangalia nini chanzo chake na kuitafutia ufumbuzi wa kudumu.
 
Back
Top Bottom