Kitu kimepinduka mkuu.....unapataje boya hapo .......Hivi vivuko vinabeba sana kupita uwezo wake sio hicho tu kuna vivuko vinabeba mizigo na watu hadi vinakema.
Usimamizi na umakini unatakiwa kwenye vivuko vyote nchini, pia sijajua kama MV Nyerere haikuwa na maboya.
Kitu kimepinduka mkuu.....unapataje boya hapo .......
Inawezekana umesoma ila na wewe elimu yako haijakusaidia ovaBinafsi nimeskitishwa sana na baadhi ya wanasiasa Wa kitanzania juu ya walicho kizungumza kuhusiana na ajari ya kivuko iliyotokea Siku ya alhamis huko Mwanza na kupelekea watanzania wenzetu kupoteza maisha.
Ajabu ni kwamba wanasiasa wametumia tukio hili la ajabu kama sehemu ya kujinadi kisiasa kwa kuikejeri serikali bila hata kusubri angalau mda wa siku 4 za maombolezo kupata na report ya ajali kutoka ili kujua chanzo ni nini.
Ningependa wafahamu sio kila kitu ni siasa..mambo mengne niyakushauri na sio kuponda kila juhud inayofanywa
WANASIASA Tambueni kua nyakati zimebadrika..Kalibu nusu ya watanzania wamesoma na wanaweza kufanya maamuzi sahihi..punguzen unnecessary comments ..on everything.
Unatumia mabilioni ktk chaguzi zisizokuwa za lazima, huku watanzania zaidi ya 20O. Wakifa kwa uzembe.Binafsi nimeskitishwa sana na baadhi ya wanasiasa Wa kitanzania juu ya walicho kizungumza kuhusiana na ajari ya kivuko iliyotokea Siku ya alhamis huko Mwanza na kupelekea watanzania wenzetu kupoteza maisha.
Ajabu ni kwamba wanasiasa wametumia tukio hili la ajabu kama sehemu ya kujinadi kisiasa kwa kuikejeri serikali bila hata kusubri angalau mda wa siku 4 za maombolezo kupata na report ya ajali kutoka ili kujua chanzo ni nini.
Ningependa wafahamu sio kila kitu ni siasa..mambo mengne niyakushauri na sio kuponda kila juhud inayofanywa
WANASIASA Tambueni kua nyakati zimebadrika..Kalibu nusu ya watanzania wamesoma na wanaweza kufanya maamuzi sahihi..punguzen unnecessary comments ..on everything.
Ilishafanyiwa ukarabati na ikawekewa injini mbili mpya na mwezi July 2018 ikaanza kazi. Kama you are not informed you better ask!Makada wa CCM humu JF huwa mnatia huruma, yaani mpo busy kusifia rambirambi za Putin badala ya kufunika uso kwa aibu ya utendaji kazi mbovu wa serikali yenu. Mbunge wa Ukerewe alishatabiri haya na kuomba kivukio kirekebishwe lakini mkaziba maskio....
Duuh ww ungelipata???Yanapatikana inategemea na akili ya mtu mwenyewe.
Kumbuka kuna mizigo,magari na vitu vizitoNa wananchi pia tuko wazembe sana. Kuna vitu tunachukulia poa tu au tunaona ni sehemu ya starehe. KUJIFUNZA KUOGELEA. Watumiaji wengi wa hivi vivuko asilimia kubwa ni wakazi wa hayo maeneo, yaani kutumia vivuko ni sehemu ya maisha yao ya kila siku kama sio kila wiki. Maji ya ziwa, bahari ni sehemu yao, wajifunze kuogelea. Kuogelea ni kama kujifunza baiskeli, ukijua umejua. Hausahau hata usipoogelea miaka mingi kisha ghafla ukatupwa majini.
Watu wangepona wengi hapa kama wangekuwa wanajua kuogelea, umbali huo ni mfupi sana kupoteza watu wengi kiasi hiki.
Mnakula tu ruzuku!
News can be Fetched up from anything you nyangau Dic...ead, how on earth you calling Tanzanians fools!??Whats the big deal there..Tanzanians are fools how can this be news...Anyway let the affected Rest In Peace
So what?..u have never even boarded a bombadier and u claim u in moscowAm in Moscow you fool
Hivi hizi ajali za meli Tanzania huwa ni kafara au vipi? Yaani toka 8mchana mpaka Giza kinaingia hakuna hata helicopter ya kurandarandaKwa kweli huyu jamaa jana kaniudhi sana kwa kukosa ubunifu. Boti iliyozama iko mita 50 toka nchi kavu. Huyu mkuu badala ya kuwasha genereta hata nne tano na kuziweka kwenye boti na kuwasha taa na kuendelea na uokoaji. Kirahisi tu huyu mkuu linasema kuna giza tukalale turudi kesho asubuhi. Kweli ? Really ? Leo baada ya kuhakikisha hakuna mtu aliye hai zoezi linaendelea usiku.
Huyu atumbuliwe kwa kukosa ubunifu akaongoze zizi
Haswaa.lakini hapo kutakuwa na uwongo mwingine tunadanganywa sababu ukichukua 131+40=171 huku tunaambiwa kulikua na watu zaid ya 400 ina maana kuna watu wengne zaidi ya 270 wako chini ya maji au imekuaje..? tusipewe majibu marahisi kwamba chombo kimezama sababu ya overload tuambiwe ukweli labda ni ubovu wa chombo au ni nn?
Just imagineHivi hizi ajali za meli Tanzania huwa ni kafara au vipi? Yaani toka 8mchana mpaka Giza kinaingia hakuna hata helicopter ya kurandaranda