Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Hivi vivuko vinabeba sana kupita uwezo wake sio hicho tu kuna vivuko vinabeba mizigo na watu hadi vinakema.

Usimamizi na umakini unatakiwa kwenye vivuko vyote nchini, pia sijajua kama MV Nyerere haikuwa na maboya.
Kitu kimepinduka mkuu.....unapataje boya hapo .......
 
Binafsi nimeskitishwa sana na baadhi ya wanasiasa Wa kitanzania juu ya walicho kizungumza kuhusiana na ajari ya kivuko iliyotokea Siku ya alhamis huko Mwanza na kupelekea watanzania wenzetu kupoteza maisha.
Ajabu ni kwamba wanasiasa wametumia tukio hili la ajabu kama sehemu ya kujinadi kisiasa kwa kuikejeri serikali bila hata kusubri angalau mda wa siku 4 za maombolezo kupata na report ya ajali kutoka ili kujua chanzo ni nini.

Ningependa wafahamu sio kila kitu ni siasa..mambo mengne niyakushauri na sio kuponda kila juhud inayofanywa

WANASIASA Tambueni kua nyakati zimebadrika..Kalibu nusu ya watanzania wamesoma na wanaweza kufanya maamuzi sahihi..punguzen unnecessary comments ..on everything.
Inawezekana umesoma ila na wewe elimu yako haijakusaidia ova
 
Binafsi nimeskitishwa sana na baadhi ya wanasiasa Wa kitanzania juu ya walicho kizungumza kuhusiana na ajari ya kivuko iliyotokea Siku ya alhamis huko Mwanza na kupelekea watanzania wenzetu kupoteza maisha.
Ajabu ni kwamba wanasiasa wametumia tukio hili la ajabu kama sehemu ya kujinadi kisiasa kwa kuikejeri serikali bila hata kusubri angalau mda wa siku 4 za maombolezo kupata na report ya ajali kutoka ili kujua chanzo ni nini.

Ningependa wafahamu sio kila kitu ni siasa..mambo mengne niyakushauri na sio kuponda kila juhud inayofanywa

WANASIASA Tambueni kua nyakati zimebadrika..Kalibu nusu ya watanzania wamesoma na wanaweza kufanya maamuzi sahihi..punguzen unnecessary comments ..on everything.
Unatumia mabilioni ktk chaguzi zisizokuwa za lazima, huku watanzania zaidi ya 20O. Wakifa kwa uzembe.
 
Makada wa CCM humu JF huwa mnatia huruma, yaani mpo busy kusifia rambirambi za Putin badala ya kufunika uso kwa aibu ya utendaji kazi mbovu wa serikali yenu. Mbunge wa Ukerewe alishatabiri haya na kuomba kivukio kirekebishwe lakini mkaziba maskio....


Ilishafanyiwa ukarabati na ikawekewa injini mbili mpya na mwezi July 2018 ikaanza kazi. Kama you are not informed you better ask!
 
Na wananchi pia tuko wazembe sana. Kuna vitu tunachukulia poa tu au tunaona ni sehemu ya starehe. KUJIFUNZA KUOGELEA. Watumiaji wengi wa hivi vivuko asilimia kubwa ni wakazi wa hayo maeneo, yaani kutumia vivuko ni sehemu ya maisha yao ya kila siku kama sio kila wiki. Maji ya ziwa, bahari ni sehemu yao, wajifunze kuogelea. Kuogelea ni kama kujifunza baiskeli, ukijua umejua. Hausahau hata usipoogelea miaka mingi kisha ghafla ukatupwa majini.
Watu wangepona wengi hapa kama wangekuwa wanajua kuogelea, umbali huo ni mfupi sana kupoteza watu wengi kiasi hiki.
Kumbuka kuna mizigo,magari na vitu vizito
 
Ingetumika busara kuomba msaada Kenya tungeokoa zaidi ya walio okolewa.
Kawa wavuvi wasiokua na vifaa wala taaluma ya uokoaji waliokoa 37. Watu waliosomea na kubobea wangeweza kuongeza idadi ya walio hai mara nyingi tu. Tisione aibu kuazima kama hatuna watalam
 
Kwa kweli huyu jamaa jana kaniudhi sana kwa kukosa ubunifu. Boti iliyozama iko mita 50 toka nchi kavu. Huyu mkuu badala ya kuwasha genereta hata nne tano na kuziweka kwenye boti na kuwasha taa na kuendelea na uokoaji. Kirahisi tu huyu mkuu linasema kuna giza tukalale turudi kesho asubuhi. Kweli ? Really ? Leo baada ya kuhakikisha hakuna mtu aliye hai zoezi linaendelea usiku.
Huyu atumbuliwe kwa kukosa ubunifu akaongoze zizi
Hivi hizi ajali za meli Tanzania huwa ni kafara au vipi? Yaani toka 8mchana mpaka Giza kinaingia hakuna hata helicopter ya kurandaranda
 
lakini hapo kutakuwa na uwongo mwingine tunadanganywa sababu ukichukua 131+40=171 huku tunaambiwa kulikua na watu zaid ya 400 ina maana kuna watu wengne zaidi ya 270 wako chini ya maji au imekuaje..? tusipewe majibu marahisi kwamba chombo kimezama sababu ya overload tuambiwe ukweli labda ni ubovu wa chombo au ni nn?
Haswaa.
Kama mpaka sasa waliopatikana hai na waliokufa jumla yao ni 176, na serikali inasema kile kivuko kilibeba watu zaidi ya 400, hiyo ina maana kuna zaidi ya miili 234 bado ipo ndani ya maji, otherwise tunachezewa akili.
 
Tanzania inachosha tu, mita 50 ziue watu wote hao!
Mm nadhani hilo litakuwa kafara LA wao!
 
Back
Top Bottom