Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Kuna kitu kwenye hizi updates sijakielewa. Kuna taarifa mbili kuwa, Nahodha anashikiliwa kwa kumpa deiwaka ambaye amesababisha ajali; taarifa ya pili inasema Nahodha Mkuu ni moja ya waliofariki! Hapa, sijaelewa.
Sio kwamba msimamizi Mkuu Wa kivuko ndio aliyefariki pamoja na huyo "deiwaka" ?
 
Mkuu huko sawa kabisa. Kwa maoni yangu ni lacky of qualified skilled personnel ndiyo chanzo cha ajali kwani walishindwa kubalnce mzigo kulingana na centre of gravity ya hicho chombo. Kama issue ni watu kujiandaa kushuka ambapo ni mbele ya chombo basi kingelianza kuingiza maji mlangoni (kunywa maji)
 


Labda alichukulia mfano wa ungo unapoelea kwenye maji ukawekewa jiwe upande mmoja unabinuka kuelekea liliko jiwe
 
Only in Tanganyika,kivuko kinaendeshwa na kishoka,badala ya capten.
 
Mbowe kasha waambia hataki mumjue jue mbona hamuelewi?
 
Kwa mtazamo wangu,ajali ni ajali lakin katika hili tunaambiwa wazi kua kuna ukiukwaji wa idadi ya watu katika kivuko,ni wazi hilo swala sio la juzi tuu yani itakua Mara zote linafanyika ,swali je wahusika wako walikua wapi kuzuia ujwazaj wa abiria kupitiliza,adi Maafa yatokee??? Mkurugenzi wa TAMESA anapaswa kwajibika haraka sana,kushindwa kuwimamia kwa watu wake,RPC mkoa wa mwanza,,Na mkuu wa police wa ukerewe,mkuu wa kikosi cha maji cha mwanza,mkuu wa TRA mwanza,mkuu wa mkoa Na wa wilaya husika,hawa wote wanapaswa kuwajibika..Hawakua wakfatlia,haina Aja ya kukamata watu wadogowadogo,emu jiulize RPC hajawah kufatlia kuusu ukiukwaj with a Sheria???? Yani unauma sana..hawa wakuu wa wilaya inamana hajawah kufatlia juu ya kivuko hiki??? Swali la ziada je tungevamiwa na adui usiku wanajeshi wasingeenda vitani kwa sababu ya Giza???? Yani watu wanaona nchi kavu pale Na anakufa?? Kiukweli imeuma sana.hiv yy kwel mongela alienda kwake akalala wakati wananchi wake zaid ya 100 wamelala majini???
 
Mkuu nadhan ungejipa muda wa kuyasoma maelezo yangu vzr,huenda ingekusaidia unijibu vzr zaidi. Mimi sipo kupingana na overloading,na wala sijajielekea kudhania uchawi...but apart from overloading there was another cause. Hata hivyo nikuulize labda,Bugorola ilikoanzia safari hadi Bwisya ilikozamia pengine umewahi kuwahi kufika huko au? Ukiwa unapajua vzr,basi changia bila muhemko na ikiwa hupajui tafuta taarifa.
 
Jaribu kuwa mtulivu wakati mwingine unapotaka kuandika jambo, usiwe unasukumwa na ushabiki usio na maana.Kuitisha mkutano na waandishi ilpaswa kuwa hatua za mwanzo za serakali ili watuambie ni hatua gani za haraka zinatekelezwa kuokoa maisha ya walala hoi. Baadala yake zoezi lilisitishwa sababu ya giza, tambua hii ni karne ya 21, miaka 57 baada ya uhuru.
 
kawa muungwana, si vizuri kutafuta kiki kwenye misiba, hayo ni mambo ya CCM!!
 
Sio kwamba msimamizi Mkuu Wa kivuko ndio aliyefariki pamoja na huyo "deiwaka" ?
Kwa jinsi nilivyoelewa Captain hakuwa amesafiri na hiyo ferry na ndiyo maana kakamatwa. Aliyepoteza maisha ni huyo umempa jina "day waka"
 
Alichosema mbowe ni wale wote wanaohusika wachkuliwe hatua kali
Kwani kuna kosa gani mtu ksema hvyo!

Ova
 
kwa wenyeji wa huko, hivi kutoka huko kivuko kilipotoka (bugolola) mpaka ukara kuna umbali gan?. na kivuko hutumia wastani wa masaa mangapi?. tujuzane wakuu.
 
Kama Mheshimiwa angepiga marufuku chaguzi zisizo na vichwa wala miguu za watu kujiudhuru kimakusudi halafu tena wanagombea haohao..nafikiri wangesave hata kiwango fulani cha fedha wakaongezea na kikingine wakasaidia maeneo kama haya...
Ona sasa watu wamerisk maisha kuwahi wakajirundika wengi matokeo yake vifo....mamlaka husika zinapaswa ziwe makini zaidi na maisha ya watu.....
Ni sawasawa na magari ya mwendo kasi manake jinsi yanavyoruhusiwa kushona watu..siku lilkitokea la kutokea haponi mtu....naongelea mwendo kasi maana ni rahisi kucontrol kuliko hizi daladala nyingine...
Pili kwa namna watu wanavyoongea kuhusu vyombo uokozi ulivyokua bado ni changamoto juu ya changamoto...
Nyie CCM nchi yetu bado ni changa sana na inahitaji pesa kwa ajili ya maendeleo ya wananchi maskini..kama kutengeneza vivuko vya maana na vikubwa,zana za uokozi etc....MUACHE KUPOTEZA PESA ZA UMMA KWA CHAGUZI AMBAZO watu wanaweka maslahi mbele....
 
Tuna vipaumbele vya hovyo. Kutumia mabilioni kujenga uwanja wa ndege na mpira Chato.

Kupanga ni kuchagua. Ukiwa na mipango ya hovyo na matokeo pia ni hovyo.

Ushamba ni mzigo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…