Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshangaa sana ujueHivi punde kuwa mkweli, Sita tu! acha mabo ya ajabu. Haiwezekani kivuko kikawa upside down ukasema only 6 are dead! Au ni maagizo ya Jiwe kuwa isemwe idadi ndogo
angalia hii upside down walikufa over 1000..mv bukoba
View attachment 872448
Eti ni jiwe!
!
Niliona Picha Kikiwa Juu Chini Chini Juu, Nikamuwaza Yule Mpumbavu Aliitoboaga MV Bukoba Ikazama Mazima. Wamzuie Akijitokeza Tena.
Kwani ulonisikia nikisema mimi ni kichaa kama huyo mungu wako?.Baki mirembe milele walahi
HatariPoleni
Ndo hii?Hali tete View attachment 872283
Mm naishi huku visiwani, wakuu hivi vivuko vinajaza sana watu kupita maelezo. Kwa mtazamo wangu vivuko vinazidiwa na hitaji la watu kusafiri
Hata kama tiketi zipo hakuna mfumo wa kurekodi, nadhani ni kama pale feri magogoni
Hawajapata idadi kamili ya watu waliokuwemo?kwani hicho kivuko ni sawa na daladala la kariakoo ambalo watu hupanda tu?
Wanahitajika wazamiaji siyo helikopta.Tukio jirani na ufukwe wa ziwa.Ziko Dar tena zote mbovu,huijui nchi yetu wewe,na mapilot wake wako likizo
hahaa haaaSi utani ngoja nikutajie listi
1. Kingunge alitembelewa mwishowe akavuta
2. Maria na Consolata mwishowe akavuta
3. Samuele Sita mwishowe kavuta
4. Yule aliyechora nembo ya taifa mwishowe kavuta
5. Mzee Majuto naye alivuta
6. Mzee mmoja wa CCM (jina nimelisahau) naye kavuta
7. Wengine niliowasahau nao wamevuta
Yaani hawaponi kabisa!
Duh nimeaanza kumuogopa kwa kweli ata nikiumwa nikimsikia anakuja ntakimbia na dripu zangu maana maisha matamu
Kila sehemu mnataka kuleta siasa, Watu sita sio kweli
hahaa eti capanic kabisaa ",watu wengine bwanaKha! Kwani wewe kimekuuma nini hadi umwage matusi kama m.sng.e huyo Jiwe ni baba yako au mumeo?