Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Mkuu jibu hoja ya Mongela!
 
Mimi sioni kama waliyopakia watu wanatatizo lolote kwasababu akuna abiria ata mmoja aliyelazimishwa kupanda hiyo feri ikiwa imejaa mimi mwenyewe nikiona kitu hiki ni hatari siwezi kufanya kwasababu natambua kuishi ni mara moja tu siwezi kubet maisha yangu ila waliyopanda feri ikiwa imejaa walikuwa na akili timamu kabisa wala awakulazimishwa kupanda iweje walaumiwe wao
 
Una utaalam wa masuala ya Diving mkuu!?
Au unajaza server za JF na wewe uonekane! Kuna masuala ni ya kitaalam na hayahitaji Siasa na mihemko.
Mkuu wa mkoa alishauriwa na wataalam (Divers) kusitisha zoezi hilo kutokana na hali iliyojitokeza ndani ya maji.
Hayo masuala ya mke wako sijui mke wa jirani yaache huko huko kwenye vijiwe vya kahawa.
 
Je, pesa zinazotumika kununua ndege zinazopandwa na wenye pesa, zingetumika kununua kivuko kikubwa hali ingekuwaje huko Ukara?
 
Maagizo ya serikali hayawaruhusu viongozi wa upinzani kufanya shughuri zozote kwenye majimbo ambayo si yao, tukumbuke mhe. Zitto licha ya kuwa mwenyekiti wa taifa wa ACT lakini alikamatwa Morogoro kwa kufanya siasa eneo ambalo si mbunge!
 

Kwani sasa hivi kushinda uchaguzi hapa Tz kuna hitaji usomi? au ni kuwa na madaraka ya kuagiza tume ya uchaguzi imtangaze umtakaye kwani unamlipa mshahara na kumpa gari, kisha jeshi la polisi lisimamie hiyo dhuluma? Bahati nzuri wananchi wako digital hawapigi kura tena, huku viongozi wamebaki analogue wakitumia nguvu na kupika matokeo ya uchaguzi.
 
bila kumsahau mhonga nyumba..
aliyezoea kuchezea maisha ya watanzania..
ni desturi yake kupiga dili kodi zetu na kutununulia vitu vibovu..
MV Nyerere ishaua..
MV Dar es salaam huko mafya chukueni tahadhari
..
hostel mpya za udsm zinakarabatiwa kila siku..
 
Hicho ndo cha kushukuru wangeitoboa kama MV bukoba, ingezama Jumla ikawa kaburi la milele
Nami ndo nilichoshukuru..... ila kwenye rescue mission bado tunatatizo hasa kwa nchi zote za africa..
 
Kama nchi ilitakiwa ijifunze kutoka ajali ya Mv bukoba. Amaizing ni kwamba toka 1996 bado tu.. hatuna team ambayo iko standby kwa maafa kama haya. Simlaumu RC mongela maana amefanya upande wake kama yeye..
Ila serikali ilitakiwa iwe na vifaa, technologia ya kutosha , na kikos maalumu toka 1996 .
 
UPUUZI MTUPU ,MARA GIZA MARA HALI MBAYA CHINI YA MAJI , TANGU LINI CHINI YA MAJI KUKAWA NA HALI NZURI?
 
Kwa mara nyingine CCM imenunua msiba ambalo ulitarajiwa ufanyike kiserikali bila jezi za kijani. Kwenye eneo la maziko nguo za kijani zimeanza kutawala na ni za haohao wanaoshauri tuache tofauti za kiitikadi za kisiasa! Hali hii ndiyo inayotufarakanisha watanzania na lawama wanapewa wanaotengwa!
 
Maagizo ya serikali hayawaruhusu viongozi wa upinzani kufanya shughuri zozote kwenye majimbo ambayo si yao, tukumbuke mhe. Zitto licha ya kuwa mwenyekiti wa taifa wa ACT lakini alikamatwa Morogoro kwa kufanya siasa eneo ambalo si mbunge!
Kumbe alikuwa anafanya siasa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…