Sawa engineer!Engine ha
Engine haina uhusiano wowote na kuzama au kupinduka kwa meli
Dah..pole sana kiongozi.Nishapoteza wajomba zangu wawili [emoji24][emoji24][emoji24]
Ajali ni mbaya sana_tumepoteza jamaa,rafiki zetu wengiView attachment 872499View attachment 872501
Shetani ni akili yako inavyokutuma#UPDATES:Zoezi la uokoaji wa abiria waliokuwemo katika kivuko cha MV Nyerere limesitishwa kutokana na giza, na litaendelea kesho alfajiri.ambapo hadi sasa waliyookolewa wakiwa hai ni 37, waliokufa 44.
Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella.
Hivi hii si aibu hivi kwa dunia ya sasa unaweza kutoa kauli za kijinga namna hii yaani watu walale kwenye maji hadi asubuhi hii ni nchi au ni genge la shetani
ππππππkesho tutarushwa mapema bbc[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ivi kumbe majeshi yaukozi nayo yanaogopa giza hahahah
Hatuna vifaa mkuu..Giza tutaliwa na Mamba !!
Ni wasukuma ? R. Γ. P
Hauna uchungu na uhai wa Watu.Shetani ni akili yako inavyokutuma