Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

#UPDATES:Zoezi la uokoaji wa abiria waliokuwemo katika kivuko cha MV Nyerere limesitishwa kutokana na giza, na litaendelea kesho alfajiri.ambapo hadi sasa waliyookolewa wakiwa hai ni 37, waliokufa 44.

Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella.

Hivi hii si aibu hivi kwa dunia ya sasa unaweza kutoa kauli za kijinga namna hii yaani watu walale kwenye maji hadi asubuhi hii ni nchi au ni genge la shetani
Tunaunga mkono juhudi za Dr.magu tutarudi kesho kuokoa wahanga

Zimechotwa tril. 1.5 kuua upinzani lakini tumeshindwa kutuma kikosi maalum cha waokoaji pia tunakosa hela ya kunua spotlight ili kumulika eneo LA ajali ili tuwaokoa wapigakura,
 
Serikali hii kipaumbele chake ni kupambana na akina mbowe na chama chake, hayo mambo ya majanga hayana umuhimu kwetu ndio maana hata fungu la fedha za maafa hakuna
 
😀😀😀😀😀😀kesho tutarushwa mapema bbc
Acha kabisaaa ivi hatuna i kitengo cha wanamaji??? Au ndo zana zote zipo Dalesalama???

Jaman mtusameheee
[emoji117]Ziwa vikitoria lina mawimbiiiiii hayooo nyie achen[emoji3]

[emoji117]Kuna mamba haooooooo wee acha[emoji3]

[emoji117]Alafu kuna mashetani hahha[emoji3][emoji3]

[emoji117]alafu ili gizaaaaaa[emoji3][emoji3]
 
#UPDATES:Zoezi la uokoaji wa abiria waliokuwemo katika kivuko cha MV Nyerere limesitishwa kutokana na giza, na litaendelea kesho alfajiri.ambapo hadi sasa waliyookolewa wakiwa hai ni 37, waliokufa 44.

Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella.

Hivi hii si aibu hivi kwa dunia ya sasa unaweza kutoa kauli za kijinga namna hii yaani watu walale kwenye maji hadi asubuhi hii ni nchi au ni genge la shetani
Aisee hii ni aibu!!
Hakuna uwezekano wa kuwa na taa kali ambazo zinafungwa kwenye helicopter au boti za uokoaji?
Hakuna tochi kali za kutumika underwater?

Ifike wakati sasa serikali iwekeze vifaa kazi kitengo cha uokoaji. Tulipaswa kujifunza kupitia MV Bukoba na ile ajali ya Nungwi.
 
Kuna tetesi kuwa uokoaji umesitishwa hadi kesho asubuhi kisa giza limeingia.

Mkuu wa mkoa wa Mwanza katangaza, hii ndio serikali yetu.
Dah...ungeshauri wafanye nini chief? Ukirejea vifaa na utaalam walio nao..[emoji41]
 
Serikali itoe kifuta machozi kwa wafiwa na majeruhi na walipwe bima. Wafiwa waing'ang'anie serikali ikibidi hata kwenda mahakamani waende ili wapate haki yao. Maana tatizo ni ubovu wa kivuko. Please wanasheria baada ya msiba mtoe msaada wa kisheria kwa hao wafiwa ili kufanikisha jambo hilo. Uzembe umekuwa too much.
Pesa zote tumeelekeza kununua madiwani na wabunge wa chadema
 
Kuna tetesi kuwa uokoaji umesitishwa hadi kesho asubuhi kisa giza limeingia.

Mkuu wa mkoa wa Mwanza katangaza, hii ndio serikali yetu.
Ni aibu sana hiyo.
Hukuna tochi maalumu za underwater kwa watu wa Navy au kwa jeshi la uokoaji?
Haiwezekani kutumia taa za kufunga kwenye vyombo vingine kwa mazingira ya nje?
 
Acha kabisaaa ivi hatuna i kitengo cha wanamaji??? Au ndo zana zote zipo Dalesalama???

Jaman mtusameheee
[emoji117]Ziwa vikitoria lina mawimbiiiiii hayooo nyie achen[emoji3]

[emoji117]Kuna mamba haooooooo wee acha[emoji3]

[emoji117]Alafu kuna mashetani hahha[emoji3][emoji3]

[emoji117]alafu ili gizaaaaaa[emoji3][emoji3]
😀😀😀😀😀 nahis hatuna!labda kichaa ameomba msaada usik huu kwa madiba
 
Back
Top Bottom