Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
We jinga kama wenzio ivi maendeleo ya ccm ni kuuwa upinzani na hao walipa kodi wafe tu hadi asubuhiShetani ni akili yako inavyokutuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jinga kama wenzio ivi maendeleo ya ccm ni kuuwa upinzani na hao walipa kodi wafe tu hadi asubuhiShetani ni akili yako inavyokutuma
Hapana ni wakara
Tunaunga mkono juhudi za Dr.magu tutarudi kesho kuokoa wahanga#UPDATES:Zoezi la uokoaji wa abiria waliokuwemo katika kivuko cha MV Nyerere limesitishwa kutokana na giza, na litaendelea kesho alfajiri.ambapo hadi sasa waliyookolewa wakiwa hai ni 37, waliokufa 44.
Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella.
Hivi hii si aibu hivi kwa dunia ya sasa unaweza kutoa kauli za kijinga namna hii yaani watu walale kwenye maji hadi asubuhi hii ni nchi au ni genge la shetani
hhhhhhahah anatunyoosha!mwite atakuitika!yaan miaka 50 ya uhuru hatuna vitendea kazi!shenzy sanaMwenyezi Mungu waja wako tunaangamia, je na wewe uko "helpless" kama tulivyo sisi viumbe wako?
Dah..pole sana kiongozi.
Pole sana Mkuu!
Usbshane na cheap wasted spermsHauna uchungu na uhai wa Watu.
Bora ungekaa kimya tu kuliko na kuonesha ujinga wako humu
Kwa namna ilivyo tokea hii ajali ni aidha walijaza sana watu au mizigo au kulikuwa na hali ya hewa mbaya sana, ile wanaita dhoruba.Utasikia Serikali haikuleta hii ajali.
Poleni sana mliofikwa na hilo janga!
Kuna tetesi kuwa uokoaji umesitishwa hadi kesho asubuhi kisa giza limeingia.Kwa namna ilivyo tokea hii ajali ni aidha walijaza sana watu au mizigo au kulikuwa na hali ya hewa mbaya sana, ile wanaida dhoruba.
Huwezi pata majibu kwa hii nchiKwa namna ilivyo tokea hii ajali ni aidha walijaza sana watu au mizigo au kulikuwa na hali ya hewa mbaya sana, ile wanaida dhoruba.
Acha kabisaaa ivi hatuna i kitengo cha wanamaji??? Au ndo zana zote zipo Dalesalama???😀😀😀😀😀😀kesho tutarushwa mapema bbc
Aisee hii ni aibu!!#UPDATES:Zoezi la uokoaji wa abiria waliokuwemo katika kivuko cha MV Nyerere limesitishwa kutokana na giza, na litaendelea kesho alfajiri.ambapo hadi sasa waliyookolewa wakiwa hai ni 37, waliokufa 44.
Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella.
Hivi hii si aibu hivi kwa dunia ya sasa unaweza kutoa kauli za kijinga namna hii yaani watu walale kwenye maji hadi asubuhi hii ni nchi au ni genge la shetani
Dah...ungeshauri wafanye nini chief? Ukirejea vifaa na utaalam walio nao..[emoji41]Kuna tetesi kuwa uokoaji umesitishwa hadi kesho asubuhi kisa giza limeingia.
Mkuu wa mkoa wa Mwanza katangaza, hii ndio serikali yetu.
Pesa zote tumeelekeza kununua madiwani na wabunge wa chademaSerikali itoe kifuta machozi kwa wafiwa na majeruhi na walipwe bima. Wafiwa waing'ang'anie serikali ikibidi hata kwenda mahakamani waende ili wapate haki yao. Maana tatizo ni ubovu wa kivuko. Please wanasheria baada ya msiba mtoe msaada wa kisheria kwa hao wafiwa ili kufanikisha jambo hilo. Uzembe umekuwa too much.
Ni aibu sana hiyo.Kuna tetesi kuwa uokoaji umesitishwa hadi kesho asubuhi kisa giza limeingia.
Mkuu wa mkoa wa Mwanza katangaza, hii ndio serikali yetu.
😀😀😀😀😀 nahis hatuna!labda kichaa ameomba msaada usik huu kwa madibaAcha kabisaaa ivi hatuna i kitengo cha wanamaji??? Au ndo zana zote zipo Dalesalama???
Jaman mtusameheee
[emoji117]Ziwa vikitoria lina mawimbiiiiii hayooo nyie achen[emoji3]
[emoji117]Kuna mamba haooooooo wee acha[emoji3]
[emoji117]Alafu kuna mashetani hahha[emoji3][emoji3]
[emoji117]alafu ili gizaaaaaa[emoji3][emoji3]
Bora niendelee kuokota makopo...hio ngoma siiwesi kabisa😀😀😀😀😀 nahis hatuna!labda kichaa ameomba msaada usik huu kwa madiba