Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Haujaona Mada ilivyokuwa ya kipumbavu? Umeona majibu yangu sio,

Kuuliza ushiriki wa CDM ni upumbavu? Kuuliza kwa nini CDM wanatoa maneno ya kejeli na uzushi ni upumbavu? Jimbo lipo chini ya CDM tena tangu 2010 kuzidi majimbo mengi tu ya Arusha na Moshi ila mmewadharau sana wana Ukerewe. 2020 CDM yyte akiniomba kura nitamtemea mate kuonyesha dharau yangu kwake pia.
 
Viongozi wa upinzani wamekasilishwa sana na tamko la mbunge wa Ukerewe (CDM) kuwa, mapungufu aliyowasilisha Bungeni, serikali iliyafanyia kazi! Viongozi wake wamechukulia kuwa amewazodoa kwa kiki waliyotarajia kuipata kupitia msiba huu.
Msema ukweli ni mpenzi wa Mola walahi
 
Swafiiii sana walahi
 
Uongozi nzima wa mkoa wa Mara ukiongozwa na RC Malina ulikuwepo pia kasoro Bulaya, Rioba, Matiko na Heche, yaani Chadema MNA roho ngumu sana!
Sio Roho ngumu ni wabaguzi wangekufa wachaga hapo uone Kila mbunge , diwani ofisi zote za Chadema Tanzania zingetakiwa kuchangia rambirambi Na kutuma watu kwenye Mazishi Na viwango wangepangiwa.Lazima wafikishe.Wakerewe watajijua wao Na serikali.
 
 
Kwenye msiba wa wanafunzi wa Lucky Vincent Arusha walishiriki ila msiba wa wana Ukerewe Mwanza hauwahusu zaidi ya kutoa kejeli na uzushi, hawa jamaa ni wabaguzi sana.
Wasubiri 2020 tutawanyoosha hawatapata hata kiti kimoja huku! Masikini Mbunge wao wa Ukerewe amekuwa mkiwa ila CCM ndiyo wapo mbele kumfariji lakini chama chake hata mbunge mmoja hajafika huko mmmh
 
Kwa matumizi hayo mimi Nikitoa mchango mnipeleke mirembe hospitali ili jiwe pombe aniteue niwe RC au DC mkosa hata tochi
 
Msiba ni wa Chadema au Watanzania ? Jiulize Watanzania ni nani na setikali ni nani, jibu utapata.
 
Sio Roho ngumu ni wabaguzi wangekufa wachaga afe hapo uone Kila mbunge , diwani ofisi zote za Chadema zingeyakiwa kuchangia rambirambi Na kutuma watu kwenye Mazishi Na viwango wangepangiwa.Lazima wafikishe.Wakerewe watajijua wao Na serikali.
Umeona ehh!
Hovyo kabisa hii michadomo walahi
 
Wangekuja kingebadilisha nini?
Inafahamika hii ajali ni sababu ya awamu hii kuleta ubishi wa kipumbavu.
 
Wasubiri 2020 tutawanyosha hawatapata hata kiti kimoja huku! Masikini Mbunge wao wa Ukerewe amekuwa mkiwa ila CCM ndiyo wapo mbele kumfariji lakini chama chake hata mbunge mmoja hajafika huko mmmh
Duh jamani
 
Wameshindwa kwakuwa kijani wametamalaki kule. Umekuwa msiba wa kijani kuliko wa taifa
 
Mbona hamumulze mzee Baba (mimi kutokwenda na huwa siendag tuu)
Hilo swali hawawezi kukujibu.
Msiba wa watanzania 200+ lakini Rais amejifungia ikulu tuu.

Hajafanya chochote licha ya wateule wake kusema wanasitisha zoezi la 'UOKOAJI' sababu ya GIZA
 
Uzuri wa awamu hii wanafanya bila kificho
Yaani hawaogopi watu mtasemaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…