Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Hadi jana around miili 40 ilikuwa haijatambuliwa na ndugu, hivyo walichimba hapo jana, sasa ndugu wamefika na kuchukua ndugu zao, makaburi yamebaki tupu leo. Japo hao wengine wataopatikana wanaweza zikwa hapo pia.
 
Ujumbe murua sana kutoka kwa mh mbunge kwa serikali yetu tukufu inayolenga kuwatetea wanyonge
 
Watu wanakiri kabisa kuwa ilikuwa kawaida kufanya uzembe ulioleta janga kama hili!
 
Serikali imesema hao 265 ndio miili iliyookolewa na kuopolewa, na uokoji/uopoji unaendelea mpaka miili yote ipatikane.

Sasa huyo mbunge ana Listi nzima ya waliokuwemo kwenye hicho kivuko.

Naona Chadema mmeanza kumlisha maneno mbunge kisa kashiriki shughuli nzima ya leo.
 
Sawa atuorozeshee majina yao
Chadema wanatafuta namna ya kumchonganisha mbunge na serikali, kitendo cha kushiriki shughuli nzima ya leo huenda uongozi Taifa haujaridhika.
 
Ulitaka iweje, kwani nani aliyekuambia mfuko wa maafa kazi yake ni kujenga mnara wa kumbukumbu! Tanzania kwani tuna wapinzani…tuna wapinga yote…aibu yao! Hao wahanga watapewa mkono wa pole!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…