Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Walioaga dunia ni 224 lakini waliohaga dunia ni 217
Wasinge Died wote hao uzembe wao ndiyo umechangiaSamahani kidogo,.hivi ccm ndio imesababisha hili janga kutokea??!
"Cosmopolitan citizen"
matumizi ya rambirambi ni kutatua yatokanayo na msiba, na kama mnara ni moja wapo ya yatokanayo basi itatumika pia kwa hilo.Jibu hoja kwa hoja, siyo kuleta viroja! Hili ni suala la kitaifa!
Kama serikali inataka ichangiwe pesa za mnara na uzio iseme tutachanga na siyo kugeuza matumizi ya rambirambi!
Nakupa like zote[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]ukiwaza na kufikir kwa kutumia ubongo utafaham ni kiaje ccm ndio chanzo
Walioaga dunia ni 224 lakini waliohaga dunia ni 217
kwa Tanzania....sio ajabu.Inavyojulikana ni kuwa rambirambi ni kwa ajili ya wafiwa ili kuwapunguzia machungu na kuwafuta machozi!
Haya mengine inabidi serikali iyabebe na kuyafanyia kazi!View attachment 875701
HahahahahaHapo hujavunja sheria ya Takwimu kweli? Ha! Ha! Ha! Ha! Kweli ushamba ni mzigo.
aiseee !!!watu wanatoa kwa moyo shida ni kwamba hazifiki kwa walengwa
Ila mbunge aliwahi kutahadharishs bungeni na jambo hilo likapuuziwaView attachment VID-20180922-WA0022.mp4Concept yako imekaa kisiasa na imepoteza maana. Janga hili haliko kisiasa wala halina hata chembe za siasa ndani yake; chuki binafsi hizo.
R.i.p wote waliofikwa na mauti katika ajali hiyo.
nchi ya ajabu sana!Wana pesa za kununua bombardier na wanasiasa lakini pesa za kujenga uzio na mnara hawana wanasubiri rambirambi za wananchi.. Shameless!
Samahani kidogo,.hivi ccm ndio imesababisha hili janga kutokea??!
hapa wala huhitaji imagination yoyote ww mwerevu, hao wote waliokutwa na majanga kama hayo jamii inayozunguka itawatambua na watasaidiwa kwa utaratibu mwingine…sio wa rambirambi! tangu nimezaliwa mpaka sasa sijawahi sikia wao shuhudia rambirambi zikamtoa mtu kimaisha zaidi ya kusaidia vitu vidogovidogo vinavyohusu maziko na msiba husika! hapa tunaongelea misiba zaidi ya mia mbili kwa mpigo…hako kaufahamu kako finyu kameji'fix' kwenye rambix2 tu na hivyo unajikuta ukitoa povu la haja! Kuna maisha zaidi ya rambix2!Kabla hujaandika ujinga wako, fikiria kuwa wewe ulipokuwa na miaka mitatu ama minne, una wadogo zako wawili hapo, baba na mama yako ndio wamebeba vimizigo wameelekea sokoni. Unasubiri giza linaingia, hujala, akili za kujitambua zaidi ya kulia huna, hujui ndugu, unawafahamu baba na mama pekee, unalia, watoto wanalia hadi sauti hazitoki tena, hakuna wa kwenda kuwatambua wazazi wako ambao huenda wameshahesabiwa kuwa ni wale ambao hawajatambulliwa, na wamezikwa tayari......
JUST IMAGINE, KISHA ANDIKA TENA ULICHOANDIKA.