Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Atawachaje wakati ndiyo ajira yake?Acha ushirikina!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atawachaje wakati ndiyo ajira yake?Acha ushirikina!
Serikali ya Ccm imeonyesha udhaifu mkubwa sana.
Hana hayo majina ni kubwa bwaja tu chadrama walahiSawa atuorozeshee majina yao
Wanasema hivyo kupunguza lawamaKuna miili itakuwa imenasa kwenye magari na ma mizigo itapatikana kivuko kikinyanyuliwa ni suala la muda tu... yaani serikali ishabalance eti kilibeba abiria 265 waliokufa 224,waliopona 41 kwa tuliokulia ziwani na kwenye ajali km hiyo bado ni mapema kuhukumu lazima kuna miili zaidi imenasa chini
Kwa kweli chadomo ovyo kabisa walahiWaambie hao wasaka tonge
Hana hayo majina ni kubwa bwaja tu chadrama walahi
Kwa kweli
Mimi sio serikali, kaiulize yenyewe.Serekali nayo ilibariki hii ajali. Unakusanyaje hela nyingi kuliko idadi ya abiria kwa safari moja na huchukui hatua?
Sasa kama bado wanaendelea na zoezi la kuopoa maiti atathibitishaje kabla ya zoezi kukamilika? Halafu huo ujinga wa kusema kwamba CDM wanapinga kila kitu sijui mmeutoa wapi?Mkuu mimi sio wakupinga tu bora nimepiga kama mnavyofanya cdm. Hao watu 300 anaosema mbunge wenu, athibitishe.
Hivi serikali kivuli kazi yake ni nini? Mpaka sasa walikuwa na mkakati mbadala gani?Serikali ya Ccm imeonyesha udhaifu mkubwa sana.
Kukosa akili hata ktk mambo kama haya ni mbaya sana, ni bora ungekaa kimya kufucha upumbavu wako. Serikali ilichotangaza ni kile walichokiona, miili iliyopatikana plus waliookolewa. Mbunge anasema watu ni wengi zaidi ya hao na taarifa anapata kwa watu waliopotelewa na ndugu zao pia bado kivuko bado kipo ktk maji na huenda miili zaidi ipo huko.. hebu tumia akili kdg tu ulizojaaliwa kufikiri!Mkuu serikali imesema waliookolewa na kuopolewa jumla ni 265 na imesema inaendelea kutafuta miili mingine mpaka yote ipatikane kwa maana hiyo inaweza kufika 300 na ama zaidi.
Na mbunge amesema walikuwa zaidi ya abiria miatatu, japo sina hakika na takwimu zake.
Lakini ukiangalia kauli zote mbili hazipingani.....
Ila chadema wanaripotiwa kama mbunge na serikali wanapingana...
Mkuu siyo kutuma mtu wa kuwakilisha, ni kwamba Makao Makuu yote ingehamia huko.Jimbo la Ukerewa lipo chini ya CDM ila ndani ya CDM kuna ubaguzi wa kijinga sana. Na uhakika hili balaa lingetokea Arusha au Kilimanjaro CDM makao makuu wangetuma mtu wa kuwawakilisha kwenye msiba.
Kuna impact yoyote kama waliobebwa sio idadi iliyotajwa na waziri bali ni 300 idadi inayotajwa na mbunge?Ila tukumbuke kuwa mbunge ndie anaweza kupata taarifa kamili za watu waliokuwa ktk kivuko kuliko hata hao viongozi. Ni vyema akasikilizwa kwani taarifa nyingi anapata toka kwa wapiga kura wake.
Yaani unachanganya mambo kabisa. Mbwa wa Nasari ni mambo binafsi wakati kuzama kwa kivuko ni suala la watanzania wote!Kwani ile michango ya Msiba wa Mbwa wa Nassari mliiipeleka wapi mkuuu, hebu leta mchanganuo basi.
yule akisema ndio kabisa,Sasa bado hajasema yule kubwa lao !