silver_back
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 833
- 813
Kwa nini hao wapinzani wananunulika? Hivi umejifunika kitambaa cheusi usoni huoni kuwa hili ni tatizo pia?Wapinzani wataendelea kuikosoa na kuielimisha Serekali ila kiburi cha serikali ya Ccm mavuno yake ndio hayo.Hela wanazotumia kununua Wapinzani zingeweza kununua vivuko hata viwili.