Hasira za kukosa nafasi ya kuwadhalilisha.
How often wakiwa katika maeneo yao (kama mlivyowaamulia) mmewadhalilisha na kutowapa heshima zao?! Sembuse huko mbali na maeneo yao ya kibunge??
Wote tunajua kuwa the moment wangetia team lazima hata gathering ndogo tu ya kusalimiana yangeitwa maandamano.
Kila mzt aliyeguswa na msiba huu amekuwa na MTU wa kulaumu au kunyooshea kidole kama mzembe- ndio maana mkuu sana kavunja bodi ya temesa- but viongozi wa upinzani walipotoa mtazamo wao immediately imeonekana ni kutafuta kick za kipolitic, sasa ulitaka waje mseme zaidi??!!. Kuhani msiba huwa hakuishi- watakuja siku nyingine na wengine.
Au watamsindikiza mkuu sana atakapoenda kuwasalim na kuwapa kivuko kingine.
Above all, ukerewe wala samaki- akili kubwa wale. Hawana utapia mlo, hizi propaganda za ovyo haziwafanyi kitu.
Wana uwezo was kudeal nazo na kujua pumba ni IPI na mchele ni UPI.