Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wafiwa wanafarijika kwa kunywa pombe ni sawa kabisa rambirambi zikanunuliwa pombe uli kuwafariji wafiwaMlitaka rambi rambi ikanunulie pombe?
Hona hoja mbaguzi mkubwa!!!!!Jimbo la Ukerewa lipo chini ya CDM ila ndani ya CDM kuna ubaguzi wa kijinga sana. Na uhakika hili balaa lingetokea Arusha au Kilimanjaro CDM makao makuu wangetuma mtu wa kuwawakilisha kwenye msiba.
Waziri kaorodhesha?acha usukuleSawa atuorozeshee majina yao
Hujakuwa bado una miaka 29 tuYah, mama yangu akiwa na akili ya kutumia misiba kutoa kejeli, uzushi, uongo atakuwa si mjinga tu bali mpumbavu pia kama viongozi wa CDM.
Huwa hawaonekani wanapokisanyika mbele ya vyombo vya habari na kutoa kejeli?Wakienda kuwazika wataambiwa wanafanya maandamano yasiyokua ya halali...
Chadema haipaswi kuonekana inakusanyika kwa namna yoyoyte ile...
Cc: mahondaw
Walikuwepo, ila hawakuoneshwa kwenye TV pekee ya taifa.Bila shaka Mbowe alitegemea Mbunge atetee uongo na uzushi wake, ila kwa aibu angetuma hata mwakilishi, si wana viongozi wa kanda hawa? Kweli kutoka Mwanza hadi Ukerewe wameshindwa?
7000Wenyewe wana amini wanapendwa tu, hata wafanye ujinga gani wananchi wata endelea kuwapenda tu, dawa ni kutoa somo 2020, yoyote atakayenisogelea kuomba kura kutoka CDM nitamtemea mate tu, mtu gani una kejele vifo vya watu ?
2020 watakaoichagua cdm ni nyumbu wahenga tuuKawatishe vichaa wenzako huko cdm siyo salama kwako
"Consultant, akili zako zinakutosha wewe tuAliyeagiza wazamiaji kwenda kulala na wake zao kwa kuwa kuna giza tororo bila kutumia bongo yake kufikiria other alternatives no matter how expensive they were, awe wa kwanza kuachia kiti.
Sasa jamaa yangu assume Rais angemuacha Waziri wetu yule wa Maji kwa sasa alafu ndio anamtumbua..kungekuwa na ukanda au hakuna.Huyo Waziri Eng.Kamwele kiutendaji kaja juzi tu kutoka kwenye Wizara ya Maji.Nadhani kauli zake tu huenda ndio zinawachanganya baadhi yenu..ila utambue asilimia kubwa ya viongozi wetu wazee kiswahili hawakiwezi kwa lafudhi na lugha ya kupoza kwa kiasi fulani,kama we ni Kijana Jaribu kutazama wazee ata watatu hapo mtaani kwenu..Porojo hizi, responsibility inaanza kwa waziri, kwa tanzania ya sasa ukanda una priority kila mtu anajua
Mbona mbunge wao hakupewa nafasi ya kuongea wala kuweka shada la maua badala yake wakapewa akina Lubingas.Jimbo la Ukerewa lipo chini ya CDM ila ndani ya CDM kuna ubaguzi wa kijinga sana. Na uhakika hili balaa lingetokea Arusha au Kilimanjaro CDM makao makuu wangetuma mtu wa kuwawakilisha kwenye msiba.
mita 100 na kilicho ua wengi ni mvutano watu kila mtu alitaka amfanye mwenzie kama boya.Wanaume wa mwanza mnashindwa kuogelea 50m?
Sasa nyie mnaweza nini???
CCM mna lenu jambo, tafsiri ya kutumia msiba kisiasa inabaguaje kuhudhuria msiba? Wamekatazwa hao, Unatagemea Mhe. Mbowe angekuwepo angekosa kukemea uzembe ambao hata serikali imekiri umekuwepo? Kama serikali imeisha wakamata watuhumiwa wa uzembe huo haikufanya siasa? Kuvunjwa kwa bodi ya wakurugenzi katikati ya msiba sio siasa? Kwanini hawakusubiri mazishi na kumaliza maombolezo? Mna lenu jambo nyie, lakini ipo siku, janja ya nyani itagundulika.Nimejiuliza sana ili swali hasa baada ya kusoma katika gazeti la Chadema liitwalo Tanzania Daima kwamba uongozi unakaribia kumsajili maalim Seif katika chama chao. Ndiposa najiuliza mgombea urais mtarajiwa ndio kipaumbele cha Chadema kiasi cha kumtelekeza mbunge wa Ukerewe my Joseph Mkundi?!!!
Ndio mkuu vyombo vyote vya usafiri majini vya serikali viko chini ya Temesa na haviusiani kabisa na sheria zozote za marine ambazo ni merchant shipping act au ferry act wao kanuni zao ni tofauti nadhani wanazijui wanao fanya kazi huko