Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ni sahihi. Kuna muokoaji wa kwanza kabisa kufika amenitonya
 
Zimamoto na uokoaji ndo idara mbofu kuliko majshi yote, hawana vifaa, maslahi duni na wanadharaulika hata mkuu wao hatembei na msafara gari angalau 2
 
Angekua Lissu hii taarifa angeiita UVCCMorial rubbish!!

Makosa kibao: Bugorara, Ukala , "safari zake ZA kati ya..."
 
Afu Siku unamsikia jiwe anasema " kwani serikali ndio ilisababisha kivuko kuzama"[emoji27] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
That is possible. Sasa kulitokea na shifting of the cargo na kufanya centre of gravity kushift hivyo metecentric height kubalika na kupelekea negative G. Hapo mpinduko ni lazima
 
Ni ngumu sana kujua kivuko kimebeba wangapi, hata kwa kutumia ticket hawawezi jua kimezama na wangapi

Tutegemee kuna watanzania wengine hawataokolewa

Ingejulikana idadi kamili yeah ila haijulikani
Miili itandelea kuokotwa kwenye fukwe za Nansio na wavuvi watavua sana watu coz hakuna vyombo vya uhakika ni mitumbwi tu
 
Hivi ugumu wa kujua watu waliokuwemo hata kwa makidirio unatoka wapi!?

Si waangalie vitabu vya risiti au rekodi za risiti za kieletroniki kama zinatumika huko wataweza kukadiria watu walikuwa wangapi
 
serikali imeelekeza bajeti zake kununua wapinzani badala ya kusaidia wananchi
Bro huu sio muda wa lawama tuwaombeeni wenzetu wapate usalama na mikono ya mungu ipate kuwasimamia siku katika hali waliyonayo
 
Business as usual: Kwa sababu aliyetoa hoja ya kutengenezwa kwa kivuko hiki ni Mbunge wa CDM, basi alijibiwa kimkakati na likapita. Ila leo tunaendeleza unafiki wetu wa kupost picha za mishumaa na kuandika kimombo R.I.P.
Najua fika kuwa hiyo RIP yenu sio ile ila mlimaanisha Return if possible. Ndio, si ni ile kauli mbiu yetu ya kutopeleka maendeleo kwa wale waliochagua upinzani sasa inazaa matunda.
Nawaona mlivyokaa kimya leo. Tujifunze kupitia hili na tuanze upya sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…