faceoff007
Member
- Jun 3, 2018
- 62
- 141
Madhara ya sheria mpya ya takwimu... Tusubiri wenye mkono wao waje na takwimuInasemekana kivuko cha watu 100 kilikuwa na watu zaidi ya 400,hakuna takwimu sahihi kwa chombo nyeti kinachobeba maisha ya watu.
Waafrika bado tuna safari ndefu sana
Nikukumbushe tu 90% ya wavuvi wanaingia ziwan usiku na kutekeleza shughuli zao usiku,,,na tecnologia ya kuzuia Giza mkuu inakua tatizo?.. Boti za kuwasaka wavuvi haramu zipo kibao na zinafanya kazi 24HRS ,,ila za kuokoa watu ambao na hakika baadhi walikua hai hazipo
Sasa hivi tunaomboleza wenzetu wamekumbwa na maafa. I'm serious. Sema viongozi wetu ndio wanafanya comedy kwenye mambo serious as if nothing happened.we una ucomedy kila txt ako nnajikutta nacheka!
Nimesema wote waliohusika kusitisha zoezi hata hao wataalamu waliomshauri watasema nini kilishindikana.Nafikiri tusimlaumu mkuu wa mkoa pasi kujua vizuri sababu.kwanza tatizo limeanzia kwa wafanyakazi wa kivuko yamkini kupakia watu wengi kuzidi kiwango cha kivuko,shughuli ya uokozi inawatazama wataalamu wa majanga hayo na mkuu wa mkoa utakuta yeye hana taaluma hiyo,inawezekana giza lilipoingia wataalamu walimuomba kusitisha zoezi labda hata kwa kuepusha vifo vingine ambavyo ni vya waokozi wenyewe kwa uhaba wa vifaa yamkini vya kumulikia eneo husika na chini ya maji.zaweza kuwepo sababu nyingi hata wao na mkuu ni watu hawawezi kusitisha tu zoezi bila sababu na mle ndani kuna watu.sasa tukianza kumlazimisha Rais na kuweka uchochezi hapa wa kutamani kuona mkuu wa mkoa kafukuzwa kazi sioni kama ni sawa sana.
kama hii nchi ingekuwa kiungo ktk mwili wa binadamu, unadhani kingekuwa kiungo gani?Hii nchi ya ajabu sana
Mkuu hiyo nilisema kinyume chake, kuna mambo mengine yanatia hasira sana, afu ukute kuna na askari wa jkt wasimamia ulinzi km kigamboniSerikali itakwepaje hapo, serikali ina vyombo vyake vya kudhibiti usafiri na usafishaji wa nchi kavu na majini, kuna Sumatra, Msimamizi wa bandari, polisi wa doria wote hao ni serikali walishindwa kujua kuwa kivuko kumezidisha abiria.
bora basi kama alienda kulala, usishangae ukija skia alikuwa bar ama kwa kimada, kama sio alikuwa busy kubet mechi za uropa!Wakati wa uchaguzi RC yupo radhi kukesha akizunguka kulinda vituo usiku kucha ili wakala wa Chadema asiingie kituoni mapema ila kuokoa wananchi anakwenda kulala kwanza.
Hii kitu nimejiuliza sana, nilitaka kuanzisha uzi ahsante umenisaidia mkuu. Nimewaza au lile tukio la kuzama nalo limeweka "pause" nalo linasubiri kupambazuke ndo liendelee?Akili za viongozi wa awamu hii ni Mungu tu ndiye anayezijua, hivi utasitishaje kuokoa mtu anayetapatapa kujiokoa kwenye maji, mtu ambaye ukichelewa hata kwa dakika moja tu anazama, halafu useme subiri nitakuja kesho asubuhi, inaingia akilini kweli?
Ningekuwa mimi Magufuli wote waliohusika na kusitisha kazi ya kuokoa leo wasingeingia ofisini.
RIP waliotangulia mbele ya haki, ugua pole majeruhi.
View attachment 872858
Kusema ukweli ile kauli haikupaswa kutamkwa na kiongozi wa umma...ambaye mshahara wake na malupu lupu yake vinategemea kodi za umma!!!...
Mkuu na hiki ndiyo watu wanachojadili, Ni kwanini hadi sasa pamoja na Majanga ya 1996Mv Bukoba, Zanzibar.. nk mpaka Leo hatuna uwezo wa kuokoa Gizani?NB: Sijasema haiwezekani kabisa kufanya uokozi hadi usiku, la hasha, bali nimesema kwa TEKNOLOJIA YA NJIA ZETU TUNAZOZITUMIA KUOKOA, jana tusingeweza kuokoa hadi usiku (giza ni kikwazo), vinginevyo tutawapoteza waokoaji.
Mkuu unapovukaGundu anayo baba na mama yako ndo maaana hadi Leo unaishi kwa shemeji yako
yule mpumbavu hivi alikuwa ni mwanajeshi au mfanyakazi wa hao wajinga temesa au alikuwa mvuvi tu aliyejiongeza?ila ujue kuna marine kabisa wanalipwa mishahara kuhusu mambo ya uokoaji.!
!
Niliona Picha Kikiwa Juu Chini Chini Juu, Nikamuwaza Yule Mpumbavu Aliitoboaga MV Bukoba Ikazama Mazima. Wamzuie Akijitokeza Tena.
Kwahiyo maiti haina thamani? mtu hata akifia shimo la choo lazima atolewe azikwe kwa heshima, huwezi kumuacha ndani au kulifukia shimo kwa vile tayari ameshakufa.Labda wangebaki ili kufurahisha watu kuwa bado wanaendelea na zoezi la uokoaji. Hivi kivuko kilichozama chote toka muda huo ndani ya maji, kuna mategemeo ya kumtoa mtu akiwa bado anapumua baada ya masaa takriban kumi?
Uokoaji ni fani pia, siasa ziwekwe kando. Na baada ya masaa kadhaa kupita, halikuwa zoezi la uokoaji tena. Maiti haiokolewi.