Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Watanzania ni waoga sana ndiyo mana tupo hapa, mimi nimeshachoka maneno maneno, we need to take action siyo maneno matupu na kuwalau kijani wakati wanazidi kuleta uovu na kuharibu nchi
 
"TUJITEGEMEE, post: 28457702, member: 31026"]1.
Tahadhari nadhani ambayo haijazingatiwa itakuwa ni uwezo halisi wa kivuko kubeba mzigo na mzigo halisi uliobebwa. Hata hivyo kuhusu uwezo wa kivuko unaweza kutupa elimu maana kwa jinsi ulivyokokotoa uwezo wa vivuko unaweza kutusaidia kivuko hiki kilikuwa na uwezo kiasi gani. Kwani kwenye pointi hii ulikazia kabisa kuwa " haiwezekani"!
Mkuu ninajitahidi sana kuepusha malumbano na wewe , kwa hili naomba kwanza usome habari nii
"sifi leo, post: 28448625, member: 75839 ;Kivuko cha MV. NYERERE kilinunuliwa na kuanza kutoa huduma mwaka 2004. Kilifungwa injini mbili mpya zenye thamani ya shilingi milioni 191 JULY 2018. Kivuko cha MV. Nyerere kina uwezo wa kubeba tani 25 sawa na abiria 100 na magari 3 kwa wakati mmoja.
[Habari ipo mwanzoni kabisa mwa bandiko(rejea bandiko namba 1), sijaitafuta mahali na wala sijasema imetoka mamlaka yoyote.Nimeangalia uhalisia wa mtoa taarifa hiyo

Nikasema hivi, kivuko kina uwezo wa tani 25 kwa mujibu wa mtoa mada hapo juu
Kina uwezo wa kuchukua watu 100 na magari 3, kwa mujibu wa mtoa mada hapo juu

Kisha nikafanya tathmini yangu kwa kutumia namba hizo.
Nikakifanya assumptions,wastani wa uzito wa abiria ni Kg 70,abiria 100 ni kilo 7,000 au tani 7

Nikauliza, magari 3 yenye uzito gani?uzito wa saloon, Van, truck n.k. vinatofautiana.
Kisha nikafanya assumption ya tani 4 kwa magari 3 ni sawa na tani 12
Ukijumlisha ni sawa na 7+12 ambazo ni tani 19, chini ya tani 25

Namba alizoweka mleta mada(bandiko 1) kauli ya `tani 25 ni sawa na watu 100 na magari 3 ina waakini, ndipo asili ya neno haiwezekani, namba hazikubali nikimjibu mleta mada

Soma bila prejudice uelewe nini kinazungumziwa.Nasema prejudice kwa sababu hii uliyoandika
Nimakosa kuingiza masuala ya kisiasa tena ambayo hayana ushahidi kwenye masuala ya majanga kama haya. Vinginevyo, ieleweke kuwa unakusudia kuhujumu utawala sa serikali ya sasa kwa kuigombanisha na wananchi kwa malengo " maalumu"
Wapi kuna siasa katika hayo niliyoeleza hapo juu?
Kama tathmini yangu kwa mleta mada si sahihi mambo unayosema yanaingiaje?

Unaposema ninahujumu una maana gani, sijasema lolote kuhusu mamlaka yoyote kutoka namba zilizowekwa na mleta mada. Nilichofanya ni kumjibu mleta mada

Dhamira yako si nzuri hasa unaposema kuna lengo la kuchonganisha wananchi au malengo maalumu, umenisikitisha. Unaeleza kitu kisichokuwepo kwa prejudice.

Unachukua maneno ``out of contents and context just to suit you ill intention``
Chuki hii inaletwa na nini! Kwa asiyefuatilia au kusoma details za hii mada, kauli zako ni za hatari,naichukulia serious. Nimejifunza ,ume clear doubt.Nimethibitisha shaka niliyokuwa nayo

Kwa muda nimejiepusha katika mijadala na wewe,naomba radhi kukujibu nimelazimika kutokana na kauli zako hatarishi kwa maisha ya mtu.
Hata hivyo nashukuru kwa kunitahadharisha,wachache wanapata bahati hii ya kuonywa

Kama una reservations nyingine it's ok usitumie hili ku infiltrate na kutengeneza `mazingira` Nadhani utafurahi sana nikipatwa na majanga ya aina yoyote ile. Hii ni serious
 
Juha ni juha tu miccm siku zote ipo kukazania kuwanunua kinachapombe waitara Mungu sikia kuomba kwetu tuondolee hili janga hapa nchini kwetu borahata jeshi lichukue hatam
 
Kwahiyo maiti haina thamani? mtu hata akifia shimo la choo lazima atolewe azikwe kwa heshima, huwezi kumuacha ndani au kulifukia shimo kwa vile tayari ameshakufa.
Sijasema hivyo. Naona neno maiti haiokolewi limechanganya baadhi ya watu.
Point yangu ni RESCUE vs RECOVERY. Maiti inakuwa recovered, not rescued (okolewa). Thamani iko palepale.
 
Mwenye Enzi Mungu awape amani mliopatwa na majanga walahi!
Rip 44 people jamani!
 
Hivi unawezaje kulala Ndugu yako au mtoto au mzazi wako akiwa amefunikwa na meli

Je angekuwepo waziri mkuu humo amezama au makamu au kiongozi yeyote maarufu, wangesitisha uokoaji ?

Hii nchi CCM na mamluki wake ni Certified zéro brain
Wakiongozwa na le general lunatic
 
Samahani kwa kusema hivi ila ninadhani kwa namna fulani waokozi walikua sahihi kusitisha zoezi kwenye mazingira yafuatayo:-

Kama teknolojia na njia zetu za uokozi si fanisi kwa wakati wa usiku, hivyo kuendelea na uokozi inakua si salama kwanza kwa waokoaji wenyewe na pia mafanikio yake ni madogo mno, ni afadhali kusitisha zoezi hadi kutakapokucha.

Hakuna anayenufaika na vifo vya ndugu zetu, sitaki kuamini kwamba zoezi lilisitisishwa "JUST FOR LEISURE", kwa sasa bado hatuna uwezo mkubwa sana wa kufanya uokozi wakati wa usiku, na isingekua habari njema leo hii kusikia kwamba tumefanikiwa kuokoa wawili na tumepoteza waokozi nane.

Mwenyezi Mungu atupe nguvu na roho ya ustahimilivu watanzania katika kipindi hiki kigumu. Amen
Pumbavu mkubwa wewe na waliyokutuma, mbwa koko wewe, mimi nimeshindwa kukusambehe kwa upumbavu wako nyau wewe
 
Nimemskia mmoja wa viongozi wetu wanoishi kwa kodi zetu, akihojiwa na BBC Leo asubuhi kwamba kwanini walisitisha uokoaji. Utumbo aliojibu ndo ulio nichosha.


Kwamba, waaliingia kwenye meli na kujiridhisha kwamba hakuna alie hai ambae anahitaji msaada, isitoshe pia waokoaji walikuwa wamechoka kutokana wanatumia mitumbwi kubeba maiti hivyo tukaamua kusitisha uokoaji mpaka kesho.

Huu uongozi wa awamu hii naona kila mtu kichaaa.
Ingekuwa mwenge au uchaguzi wangekesha kwa vyovyote !!
Lakini maisha ya wananchi eti wamechoka!!!

R I P wakerewe.
 
mkeo akiwa leba tu hulali sembuse ndugu yako kulaliwa na meli kwenye maji? tuna shida na huu uongozi wa sasa. mtaelewa tu maana muda huwa hauna ghilba.
 
Daah aisee [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Tutafika tu
 
Back
Top Bottom