Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walishalaaniwa akili za mambo ya maana hawana.Hapa kwetu wanakesha kwa mambo ya hovyo kama
Mkesha wa mwenge, Uchaguzi dhidi ya vyama pinzani wanakesha nk.
Uokozi wanataka break!!
Mkuu ninajitahidi sana kuepusha malumbano na wewe , kwa hili naomba kwanza usome habari nii"TUJITEGEMEE, post: 28457702, member: 31026"]1.
Tahadhari nadhani ambayo haijazingatiwa itakuwa ni uwezo halisi wa kivuko kubeba mzigo na mzigo halisi uliobebwa. Hata hivyo kuhusu uwezo wa kivuko unaweza kutupa elimu maana kwa jinsi ulivyokokotoa uwezo wa vivuko unaweza kutusaidia kivuko hiki kilikuwa na uwezo kiasi gani. Kwani kwenye pointi hii ulikazia kabisa kuwa " haiwezekani"!
[Habari ipo mwanzoni kabisa mwa bandiko(rejea bandiko namba 1), sijaitafuta mahali na wala sijasema imetoka mamlaka yoyote.Nimeangalia uhalisia wa mtoa taarifa hiyo"sifi leo, post: 28448625, member: 75839 ;Kivuko cha MV. NYERERE kilinunuliwa na kuanza kutoa huduma mwaka 2004. Kilifungwa injini mbili mpya zenye thamani ya shilingi milioni 191 JULY 2018. Kivuko cha MV. Nyerere kina uwezo wa kubeba tani 25 sawa na abiria 100 na magari 3 kwa wakati mmoja.
Wapi kuna siasa katika hayo niliyoeleza hapo juu?Nimakosa kuingiza masuala ya kisiasa tena ambayo hayana ushahidi kwenye masuala ya majanga kama haya. Vinginevyo, ieleweke kuwa unakusudia kuhujumu utawala sa serikali ya sasa kwa kuigombanisha na wananchi kwa malengo " maalumu"
Sijasema hivyo. Naona neno maiti haiokolewi limechanganya baadhi ya watu.Kwahiyo maiti haina thamani? mtu hata akifia shimo la choo lazima atolewe azikwe kwa heshima, huwezi kumuacha ndani au kulifukia shimo kwa vile tayari ameshakufa.
Wakiongozwa na le general lunaticHivi unawezaje kulala Ndugu yako au mtoto au mzazi wako akiwa amefunikwa na meli
Je angekuwepo waziri mkuu humo amezama au makamu au kiongozi yeyote maarufu, wangesitisha uokoaji ?
Hii nchi CCM na mamluki wake ni Certified zéro brain
Pumbavu mkubwa wewe na waliyokutuma, mbwa koko wewe, mimi nimeshindwa kukusambehe kwa upumbavu wako nyau weweSamahani kwa kusema hivi ila ninadhani kwa namna fulani waokozi walikua sahihi kusitisha zoezi kwenye mazingira yafuatayo:-
Kama teknolojia na njia zetu za uokozi si fanisi kwa wakati wa usiku, hivyo kuendelea na uokozi inakua si salama kwanza kwa waokoaji wenyewe na pia mafanikio yake ni madogo mno, ni afadhali kusitisha zoezi hadi kutakapokucha.
Hakuna anayenufaika na vifo vya ndugu zetu, sitaki kuamini kwamba zoezi lilisitisishwa "JUST FOR LEISURE", kwa sasa bado hatuna uwezo mkubwa sana wa kufanya uokozi wakati wa usiku, na isingekua habari njema leo hii kusikia kwamba tumefanikiwa kuokoa wawili na tumepoteza waokozi nane.
Mwenyezi Mungu atupe nguvu na roho ya ustahimilivu watanzania katika kipindi hiki kigumu. Amen
Ingekuwa mwenge au uchaguzi wangekesha kwa vyovyote !!Nimemskia mmoja wa viongozi wetu wanoishi kwa kodi zetu, akihojiwa na BBC Leo asubuhi kwamba kwanini walisitisha uokoaji. Utumbo aliojibu ndo ulio nichosha.
Kwamba, waaliingia kwenye meli na kujiridhisha kwamba hakuna alie hai ambae anahitaji msaada, isitoshe pia waokoaji walikuwa wamechoka kutokana wanatumia mitumbwi kubeba maiti hivyo tukaamua kusitisha uokoaji mpaka kesho.
Huu uongozi wa awamu hii naona kila mtu kichaaa.
Ninyi ni majinga kwani mtamfanyaje???Kusema ukweli ile kauli haikupaswa kutamkwa na kiongozi wa umma...ambaye mshahara wake na malupu lupu yake vinategemea kodi za umma!!!...
Weweee. Nahodha ni waziri kiongozi.Mkuu ruban.
Hahaha haha dah anaitwa nahodha ruban anaendesha ndege