Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Taarifa nilizozipata haraka sasa hivi ni kuwa watu wengi sana wanahisiwa kufa maji baada ya kivuko kubinuka juu chini, chini juu katika kisiwa cha UKALA wilayani Ukerewe.

Chanzo cha kuzama kwa mujibu wa DC wa Ukerewe
DC Ukerewe amesema kivuko kilikuwa kimebeba zaidi ya abiria 400, kilivyokaribia kufika mwaloni(kupiga nanga) nahodha akapunguza spidi hivyo abiria wakakimbilia upande wa kutokea ili wawahi kutoka, kivuko kikazidiwa uzito na kupinduka.

View attachment 872210
View attachment 872806
Wakazi wa Ukelewe wakiwa mita chache kutoka kivuko kilipozama​

====
Taarifa Kwa Umma Kutoka Wakala wa Ufundi na Umeme-TEMESA Kuhusu Kuzama Kwa Kivuko Cha MV.Nyerere

View attachment 872340

Kivuko cha MV Nyerere kinachofanya safari zake kati ya Bugorara na kisiwa cha Ukala katika ziwa Victoria kimezama huku taarifa za idadi ya watu waliokuwemo ndani ya kivuko hazijajulikana.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Jonathan Shana amesema kivuko hicho kimezama wakati kikielekea katika Kisiwa cha Ukara. Kiliondoka saa 6 mchana na ilipofika saa nane kamili mchana kilipinduka.

Amesema bado hawajapata idadi kamili ya waliokuwemo kwenye kivuko hicho.

Meneja wa Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa), Hassan Karonda amekiri kuzama kwa kivuko hicho na yuko njiani kulekea huko na watatoa taarifa baadaye.

Kivuko cha MV. NYERERE kilinunuliwa na kuanza kutoa huduma mwaka 2004. Kilifungwa injini mbili mpya zenye thamani ya shilingi milioni 191 JULY 2018. Kivuko cha MV. Nyerere kina uwezo wa kubeba tani 25 sawa na abiria 100 na magari 3 kwa wakati mmoja.



UPDATES: 1900HRS

=> Watu watano wamekufa na wengine 32 wameokolewa mpaka sasa ila hali zao ni mbaya kufuatia ajali ya kivuko cha MV Nyerere.

=> "Mtu Hajalipwa Mshahara Halafu Anasikia Trilion 1 Imepotea Inauma" -Joseph Mkundi

Mbunge Joseph Mkundi akitahadharisha kuhusu kivuko cha MV Nyerere Apr 24, 2018

Alikuwa akichangia hoja ya bajeti ya Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano iliyopo chini ya Waziri wake, Profesa Makame Mbarawa.

UPDATES:

Rais Magufuli atuma salamu za Rambirambi

"Nimeshtushwa na kusikitishwa sana na ajali ya MV Nyerere, nawapa pole wote waliopoteza jamaa zao na nawaombea wote walionusurika kupona haraka, kwa wakati huu nawaomba tutulie wakati juhudi za uokoaji zinaendelea"

AJALI YA KIVUKO CHA MV NYERERE: WATU 44 WAMEFARIKI, ZOEZI LA UOKOAJI LASITISHWA HADI KESHO

Mbali na idadi hiyo ya waliofariki, Watu 37 wameokolewa katika ajali huku hali zao zikiwa mbaya

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella amesema zoezi la uokoaji limesitishwa kutokana na giza kuingia


10:40 - MIILI 86 IMESHAOPOLEWA MPAKA SASA
Idadi ya vifo katika ajali ya kivuko cha MV Nyerere, Mwanza imefika watu 86 huku uokoaji ukiendelea, RC John Mongella amethibitisha

11:41 - IDADI YA WALIOOPOLEWA YAKIFA 94
Idadi ya vifo katika ajali ya kivuko cha MV Nyerere, Mwanza imefika watu 94 huku uokoaji ukiendelea, RC John Mongella amethibitisha
Hii ni aibu?! Kuna generator za kuwekwa kwenye mashua zikatoa mwanga. Ni matokeo ya wanasisa kusimamia operations kama walivyo amuru kuitoboa MV bukoba .
 
Taarifa nilizozipata haraka sasa hivi ni kuwa watu wengi sana wanahisiwa kufa maji baada ya kivuko kubinuka juu chini, chini juu katika kisiwa cha UKALA wilayani Ukerewe.
View attachment 872210
View attachment 872806
Wakazi wa Ukelewe wakiwa mita chache kutoka kivuko kilipozama​

====
Taarifa Kwa Umma Kutoka Wakala wa Ufundi na Umeme-TEMESA Kuhusu Kuzama Kwa Kivuko Cha MV.Nyerere

View attachment 872340

Kivuko cha MV Nyerere kinachofanya safari zake kati ya Bugorara na kisiwa cha Ukala katika ziwa Victoria kimezama huku taarifa za idadi ya watu waliokuwemo ndani ya kivuko hazijajulikana.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Jonathan Shana amesema kivuko hicho kimezama wakati kikielekea katika Kisiwa cha Ukara. Kiliondoka saa 6 mchana na ilipofika saa nane kamili mchana kilipinduka.

Amesema bado hawajapata idadi kamili ya waliokuwemo kwenye kivuko hicho.

Meneja wa Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa), Hassan Karonda amekiri kuzama kwa kivuko hicho na yuko njiani kulekea huko na watatoa taarifa baadaye.

Kivuko cha MV. NYERERE kilinunuliwa na kuanza kutoa huduma mwaka 2004. Kilifungwa injini mbili mpya zenye thamani ya shilingi milioni 191 JULY 2018. Kivuko cha MV. Nyerere kina uwezo wa kubeba tani 25 sawa na abiria 100 na magari 3 kwa wakati mmoja.



UPDATES: 1900HRS

=> Watu watano wamekufa na wengine 32 wameokolewa mpaka sasa ila hali zao ni mbaya kufuatia ajali ya kivuko cha MV Nyerere.

=> "Mtu Hajalipwa Mshahara Halafu Anasikia Trilion 1 Imepotea Inauma" -Joseph Mkundi

Mbunge Joseph Mkundi akitahadharisha kuhusu kivuko cha MV Nyerere Apr 24, 2018

Alikuwa akichangia hoja ya bajeti ya Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano iliyopo chini ya Waziri wake, Profesa Makame Mbarawa.

UPDATES:

Rais Magufuli atuma salamu za Rambirambi

"Nimeshtushwa na kusikitishwa sana na ajali ya MV Nyerere, nawapa pole wote waliopoteza jamaa zao na nawaombea wote walionusurika kupona haraka, kwa wakati huu nawaomba tutulie wakati juhudi za uokoaji zinaendelea"

AJALI YA KIVUKO CHA MV NYERERE: WATU 44 WAMEFARIKI, ZOEZI LA UOKOAJI LASITISHWA HADI KESHO

Mbali na idadi hiyo ya waliofariki, Watu 37 wameokolewa katika ajali huku hali zao zikiwa mbaya

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella amesema zoezi la uokoaji limesitishwa kutokana na giza kuingia


10:40 - MIILI 86 IMESHAOPOLEWA MPAKA SASA
Idadi ya vifo katika ajali ya kivuko cha MV Nyerere, Mwanza imefika watu 86 huku uokoaji ukiendelea, RC John Mongella amethibitisha

11:41 - IDADI YA WALIOOPOLEWA YAFIKA 94
Idadi ya vifo katika ajali ya kivuko cha MV Nyerere, Mwanza imefika watu 94 huku uokoaji ukiendelea, RC John Mongella amethibitisha

11: 43 Chanzo cha kuzama kwa mujibu wa DC wa Ukerewe
DC Ukerewe amesema kivuko kilikuwa kimebeba zaidi ya abiria 400, kilivyokaribia kufika mwaloni(kutia nanga) nahodha akapunguza spidi hivyo abiria wakakimbilia upande wa kushukia ili wawahi kutoka, kivuko kikazidiwa uzito na kupinduka.
toooba mkuu wa wilaya kazi hana hapa, kataja hiyo idadi
 
mkuu samahani sana kama utakuwa umenielewa vibaya.... hizi uzi mods wameziunganisha mimi hyo coment sikutoa kwenye uzi huu niliitoa kwenye uzi mwingine kabisa ambao hayo maelezo yangu yalikuwa yanaingia
ok
 
Mkuu najaribu waza kwa sauti kwa utawala huu mkuu wako akitoa order hata kama ni ya hovyo huna Budi kutekeleza hivo naanza hisi kabisa kuna uwezekano haya maamuzi yakipuuzi yalitolewa Na mkubwa Fulani wengine wote wakaitikia japo ni jambo la kipumbavu Na aibu kubwa......
Ni juzi tu tumeona Thailand ilivyopigania maisha ya wale watoto waokoaji hawakulala usiku Na mchana walipiga Kambi pale mpaka walipo fanikiwa Sasa apa kwetu hili limechafua sana taifa
Viongozi wa nchi wako busy na kununua madiwani na wabunge ili iwe nchi ya viwanda, huku watu wanakufa kwa kukosa huduma. Bajeti za kurudia uchaguzi zingenunua vivuko hao watu wasingekufa.
 
Taarifa nilizozipata haraka sasa hivi ni kuwa watu wengi sana wanahisiwa kufa maji baada ya kivuko kubinuka juu chini, chini juu katika kisiwa cha UKALA wilayani Ukerewe.
View attachment 872210
View attachment 872806
Wakazi wa Ukelewe wakiwa mita chache kutoka kivuko kilipozama​

====
Taarifa Kwa Umma Kutoka Wakala wa Ufundi na Umeme-TEMESA Kuhusu Kuzama Kwa Kivuko Cha MV.Nyerere

View attachment 872340

Kivuko cha MV Nyerere kinachofanya safari zake kati ya Bugorara na kisiwa cha Ukala katika ziwa Victoria kimezama huku taarifa za idadi ya watu waliokuwemo ndani ya kivuko hazijajulikana.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Jonathan Shana amesema kivuko hicho kimezama wakati kikielekea katika Kisiwa cha Ukara. Kiliondoka saa 6 mchana na ilipofika saa nane kamili mchana kilipinduka.

Amesema bado hawajapata idadi kamili ya waliokuwemo kwenye kivuko hicho.

Meneja wa Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa), Hassan Karonda amekiri kuzama kwa kivuko hicho na yuko njiani kulekea huko na watatoa taarifa baadaye.

Kivuko cha MV. NYERERE kilinunuliwa na kuanza kutoa huduma mwaka 2004. Kilifungwa injini mbili mpya zenye thamani ya shilingi milioni 191 JULY 2018. Kivuko cha MV. Nyerere kina uwezo wa kubeba tani 25 sawa na abiria 100 na magari 3 kwa wakati mmoja.



UPDATES: 1900HRS

=> Watu watano wamekufa na wengine 32 wameokolewa mpaka sasa ila hali zao ni mbaya kufuatia ajali ya kivuko cha MV Nyerere.

=> "Mtu Hajalipwa Mshahara Halafu Anasikia Trilion 1 Imepotea Inauma" -Joseph Mkundi

Mbunge Joseph Mkundi akitahadharisha kuhusu kivuko cha MV Nyerere Apr 24, 2018

Alikuwa akichangia hoja ya bajeti ya Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano iliyopo chini ya Waziri wake, Profesa Makame Mbarawa.

UPDATES:

Rais Magufuli atuma salamu za Rambirambi

"Nimeshtushwa na kusikitishwa sana na ajali ya MV Nyerere, nawapa pole wote waliopoteza jamaa zao na nawaombea wote walionusurika kupona haraka, kwa wakati huu nawaomba tutulie wakati juhudi za uokoaji zinaendelea"

AJALI YA KIVUKO CHA MV NYERERE: WATU 44 WAMEFARIKI, ZOEZI LA UOKOAJI LASITISHWA HADI KESHO

Mbali na idadi hiyo ya waliofariki, Watu 37 wameokolewa katika ajali huku hali zao zikiwa mbaya

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella amesema zoezi la uokoaji limesitishwa kutokana na giza kuingia


10:40 - MIILI 86 IMESHAOPOLEWA MPAKA SASA
Idadi ya vifo katika ajali ya kivuko cha MV Nyerere, Mwanza imefika watu 86 huku uokoaji ukiendelea, RC John Mongella amethibitisha

11:41 - IDADI YA WALIOOPOLEWA YAFIKA 94
Idadi ya vifo katika ajali ya kivuko cha MV Nyerere, Mwanza imefika watu 94 huku uokoaji ukiendelea, RC John Mongella amethibitisha

11: 43 Chanzo cha kuzama kwa mujibu wa DC wa Ukerewe
DC Ukerewe amesema kivuko kilikuwa kimebeba zaidi ya abiria 400, kilivyokaribia kufika mwaloni(kutia nanga) nahodha akapunguza spidi hivyo abiria wakakimbilia upande wa kushukia ili wawahi kutoka, kivuko kikazidiwa uzito na kupinduka.
Kivuko kinaendshwa na kusimamiwa na wataalamu au chokoraa! Mbona kwenye ndege abiria wanaelekezwa wakati wa kupanda na kushuka? Kwenye meli mnawaacha abiria wajiswage kama ng'ombe zizini?
 
nimeongea na watu wa ukara hii habari ni ya ukweli na hali ni mbaya sana kwani watu walikuwa wanatoka gulioni bugorora na kurudi ukara kisiwani, hivyo meli ilikuwa imeshona sana, waliopatikana ni wachache sana
Hapo lazima stealing from the dead....itokee
 
Ingekua nchi za wenzetu hii ajali ingeondoka na kiongozi ,lakini kwakua tupo Tanzania basi tutaambiwa tuchange rambirambi
 
Huu ni msiba mkubwa sana na nafikiri ktk awamu hii ndo wa kwanza mkubwa kabisa! Nategemea kumuona Rais wetu mpendwa na makamu wake na ikiwezekana na waziri husika wawe Mwanza kujionea wenyewe ikiwemo kuwawajibisha wahusika wote ikiwezekana na mkuu wa Mkoa kuwekwa pembeni!
 
Hahahaaaa, mkuu vitu vingine vinatia hasira sana, hiyo post ya kwanza nimeandika kwa hasira nikiwa na maana ya kinyume chake.
Hahahaha Nimekupata mkuu! Hii serikali haina namna ya kujiepusha na lawama, viongozi kila wakati wanaharibu tu
 
Back
Top Bottom