Watu wengi tuna tabia ya kuwa na hamu ya kuwafahamu baadhi ya watu maarufu kutokana na mambo waliyoyafanya.heshima kwako mkuu.
Ila na wewe bana unaonana na mijitu ya ajabu si ungempotezea tuu
Waziri mkuu ajiuzulu tu hakuna namna.125 people ni wengi sana kwakweli
Waziri Mkuu anahusika vp kwenye hili?Waziri mkuu ajiuzulu tu hakuna namna.
Kwa hili hapana.Tatizo awamu hii viongozi hawathamini utu na uhai wa watu wengine.....wahusika wote bado wapo ofisini mpaka muda huu japo source ni uzembe wa mamlaka husika.....
Umenifanya nicheke muda wa huzuniiIngekua wanahesabu kura za ubunge wangeiba mpaka usiku na mwanga ungepatikana hata ingekua wanahesabia baharini hawa jamaa wanauzi sana sana...
Unafahamu sababu za kivuko kuzama?Waziri mkuu ajiuzulu tu hakuna namna.
Achana na mizembe hii walahiWaziri Mkuu anahusika vp kwenye hili?
Hata ukimweleza halita elewa walahi!Unafahamu sababu za kivuko kuzama?
We jamaa ni mpuuzi mwingine,kuna watu wanakuwa stuck tu na mavyuma,kuelekeza watu kutumia maboya,yaani mnasubiri maiti zimetoka ndio mseme mnaokoa,au msubiri mtu ajisave mwenyewe,alafu kuna budget kabisa ya UOKOAJI,watu wako trained pssssMlikopeleka akili zenu nyie watu Mungu ndo anajua, hivi kwelikuna binadamu anaweza kukaa ndani ya maji tokea saa nae mchana hadi usiku akawa hai? anapumua kwa matamvua? kivuko kimepinduka karibuna ufukweni ho watu waliokuwa wakitapata usiku kucha uliwaona pekeako? according to you ni hekima kurisk uhai wa walio hai (waokoaji)ili kurecover maiti?!!! upuuzi wa hali ya juu.
Waziri mkuu ajiuzulu tu hakuna namna.