Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,943
Nategemea kusikia naodha naye amefariki maana nasikia naodha lazima awe mtu wa mwisho kutoka chomboni.
Sasa mpk watu wote hao wamekufa nategemea naye amefariki otherwise ajibu maswali yote yatakayo husisha kuzama kwa kivuko hiki.
Well said walahiMlikopeleka akili zenu nyie watu Mungu ndo anajua, hivi kwelikuna binadamu anaweza kukaa ndani ya maji tokea saa nae mchana hadi usiku akawa hai? anapumua kwa matamvua? kivuko kimepinduka karibuna ufukweni ho watu waliokuwa wakitapata usiku kucha uliwaona pekeako? according to you ni hekima kurisk uhai wa walio hai (waokoaji)ili kurecover maiti?!!! upuuzi wa hali ya juu.
Akijiuzulu ..Rais ajiuzulu tu kulinda utu wake na atasamehewa kwa yote.
Hii ndio fursa oohoooo!
Na ndo tabia ya Mtanzania.Abiria wenyewe walilalamika kudaiwa vitambulisho. Jana majibu yakapatikana.
Kwa kweli walahiUsitutafutie mabalaa, kuna viongozi wa kujiuzulu sio waziri mkuu
Hovyo kabisa walahiRais ajiuzulu tu kulinda utu wake na atasamehewa kwa yote.
Hii ndio fursa oohoooo!
Ni chadema na anaitwa Joseph MkundiAtakuwa wa chadema..
Aisei pole sana! Kifo cha maji kibaya sana.Amefariki. Inauma sana.
Ulitaka waokoaji nao wafe kwa kukosa vifaa vya kuokolea usiku hyo ndipo ujue walikuwa na uchungu wa watu waliozama, Na wewe jitafajari umeteleza [emoji102] [emoji102]Jamani mlitaka sfanye nini wakati hakuna vifaa vya kuokolea muda huo?? Na sio kwamba atakuwa alijiamulia tu mwenyewe, hao wazamiaji hawana vifaa vya kufanyia kazi kwenye mwanga itakuwa gizani?? Ni aibu kwa nchi, hatuko tayari kwenye majanga!! Ya nchi kavu tu yanatushinda itakuwa ya majini??
Watu 600 pamoja na mifuko ya cement!Acheni hizo chanzo cha ajali ni kuelemewa kwa kivuko kivuko cha watu 100 kikabebe zaidi ya watu 200 na mizigo unategemea nini?
tatizo ni kuwa tuna watu maofisini ambao sio pro active. yaani hawawezi kufanya jambo mpaka waambiwe. na pia kuna viongozi maofisini (maboss) sio pro active na wapo rigid wanapenda kufanya kazi kwa namna ile ile as long as hakuna ubaya uliowahi kutokea. pia hatupendi kujifunza kwa wenzetu walioendelea wao huko kwao mbona hakuna matatizo kama kwetu? tukijifunza tutajua namna ya kukabiliana na matatizo. watu kama sumatra/polisi wawe na utaratibu wa kukagua chombo chochote kile kinachohudumia raia. tena kwa kushtukiza. afsa atakaekutwa hafati utaratibu apelekwe mahakamani na akidhibitika afukuzwe kazi. kuna watu wengi wanapenda kuajiriwa na wana weledi ila nafasi ni chache. mtu akilijua hilo hatafanya masihara kwenye sehemu yake ya kazi.Ndio hapa tunapoongelea kila siku uwepo wa system imara itakayokuwa inasimamia mambo kama haya na kumaliza maujinga kama haya ili watu makini na maisha ya watu. Tuna mawaziri, makatibu, RC's ,DC's, DED, RAS nk woote hawa wanafanya nini kushindwa kusimamia mambo serious kama haya?
UmenenaIla hii ishu ya kuuana kwa makusudi au sijui nimeseme kuuana na kujiua wenyewe sijui itaisha lini, hata mv bukoba tatizo lilikuwa ni kuzidisha watu, na hii nayo hivyo hivyo, hivi kweli kivuko cha kubeba watu 100 kinabeba watu 400? hakuna ukaguzi kwenye hivyo vituo?
Aisei pole sana! Kifo cha maji kibaya sana.
Vifaaa vyakukesha kulinda kura za chama penda vipo lakin?Jamani mlitaka sfanye nini wakati hakuna vifaa vya kuokolea muda huo?? Na sio kwamba atakuwa alijiamulia tu mwenyewe, hao wazamiaji hawana vifaa vya kufanyia kazi kwenye mwanga itakuwa gizani?? Ni aibu kwa nchi, hatuko tayari kwenye majanga!! Ya nchi kavu tu yanatushinda itakuwa ya majini??