Rugaiyulula
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,524
- 1,705
Usahihi n kwamba zoezi la oujkoaji lilisitishwa jana na mkuu wa mkoa. Kinachoendelea ni uopoaji wa maiti.Kuzama kwa kivuko cha MV Nyerere kumemlazimu Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndugu Kheri Denice James kusitisha ziara yake ya siku tano ya kukagua uhai wa Jumuiya na utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya CCM 2015-2020 katika maeneo yanayowahusu vijana ili kushiriki zoezi la uokoaji.
View attachment 873271
Mkuu Kweli Tupo Kwenye MtanzikoSio picha ya tukio mkuu.
Wanahabari wetu ni wavivu sana,sijui ndivyo wanavyofunzwa huko vyuoni?
Au ndio tabia ya kupenda kuwa wakwanza kutoa taarifa.
Kwi! Kwi! Kwi! uokozi bila nyenzo si bora wajipumzikie tu .Uamuzi wa busara,nampongeza
Taarifa naipokea lakini ingekuwa na maana sana kama wangeshulikia tatizo la kivuko baadala ya kusubiri utaratibu wa maziko ya waTZ wenzetu. Waziri hicho kivuko kilishalalamikiwa bungeni kitambo sana. Ona sasa unakuja na habari ya kuzika watu!!!!!!! Please step back and rethink.Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe amesema mazishi ya watu waliopoteza maisha katika ajali ya Mv.Nyerere iliyotokea Septamba 20 huko kisiwani Ukara, Ukerewe mkoani Mwanza yatakuwa ya kitaifa ambapo viongozi wakuu wa kitaifa wanatarajia kushiriki mazishi hayo.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe.
Akiongea na ITV Mhandisi Kamwelwe amesema shughuli za mazishi hayo zitagharamiwa na Serikali na kwamba utaratibu kamili wa eneo yatakapofanyika mazishi hayo utatolewa baadaye.
Hata hivyo Mpaka sasa zoezi la uokoaji na uopoaji wa miili ya watu waliokuwa kwenye kivuko cha MV.Nyerere linaendelea ambapo miili 94 ya watu imeopolewa na waliookolewa wakiwa hai wanazidi 40.
Vikosi vya uokoaji mkoa wa Mwanza vimeongezewa nguvu na vikosi vya mkoa wa Mara katika eneo la tukio ili kuongeza kasi ya kuopoa miili ya watu waliopinduka na kivuko hicho.
Aidha uongozi wa wakala wa meli mkoa wa Mwanza umetambua wafanyakazi wa kivuko watano ambao wamepoteza maisha akiwemo nahodha, fundi, Karani, mlinzi na mkuu wa kivuko, Kivuko hicho kilikuwa na wafanyakazi wanane.
Mamia ya wakazi wa Ukerewe wamekusanyika nje ya kituo cha afya cha Bwisya kutambua miili iliyoopolewa kwenye ajali ya kivuko cha MV.Nyerere iliyotokea wakati wakisafiri kutoka kisiwa cha Bugorora kwenda Ukara kwenye gulio.
Mwandishi wetu aliyepiga kambi katika eneo hilo ametueleza kuwa wengi wa walioopolewa hadi sasa ni wanawake.
Ni chadema na anaitwa Joseph Mkundi
na vifaa vya kulinda ule moto afu asubuhi eneo la tukio, unakuta pamejaa condomsVifaaa vyakukesha kulinda kura za chama penda vipo lakin?
utawala huu haujawahi kumjali mtanzania. achana na tamthilia za kwenye tvDah majuzi waziri mmoja alipata ajali ilipatikana helicopter ya fasta kumuwahisha muhimbili, Jana mamia ya ndugu zetu maskini wanaangamia taa tu ya kumulika ili kuendelea kuwaokoa ndugu zetu maskini inakosekana na zoezi la uokoaji linasitishwa tukiwa hatujui hatma ya ndugu zetu...nawaza kama hawa voingozi wetu wanajali maskini au wanajaliana wao kwa wao
Lakini pesa za kuwanunua akina Waitara na Mtatiro zipo, si ndio?Jamani mlitaka sfanye nini wakati hakuna vifaa vya kuokolea muda huo?? Na sio kwamba atakuwa alijiamulia tu mwenyewe, hao wazamiaji hawana vifaa vya kufanyia kazi kwenye mwanga itakuwa gizani?? Ni aibu kwa nchi, hatuko tayari kwenye majanga!! Ya nchi kavu tu yanatushinda itakuwa ya majini??