Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Usahihi n kwamba zoezi la oujkoaji lilisitishwa jana na mkuu wa mkoa. Kinachoendelea ni uopoaji wa maiti.
Naomba ikibidi barua ifanyiwe masahihisho.
 
Ni jambo jema kila lakheri.Wapatikane vijana wenye sifa,kuogelea na ukakamavu,sio mradi vijana wa kufanya selfie.
 
Kazi ya uokozi haijakamilika unatangaza namna ya kufanya mazishi na yawe ya namna gani huyu waziri bana nilidhani angekuwa field akishughulikia namna ya kuokoa habr za mazishi atoe hata waziri wa habari kuonyesha hata kwa kufake kuwa alisaidia yeye anaandaa mazishi na viongozi gani wahudhurie

Hizo gharama za mazishi kwanini mchana wa jana wasingenunua taa ili zisaidie kuondoa giza walilodai kuwa kikwazo kwa wao kuokoa sijui mawaziri wetu wapo kujibu tu maswali bungeni au vipi maana kwenye vitu vya msingi ambapo tungeona uwajibikaji wao hatuuoni kabisa kwa waziri makini hii ilikuwa sehemu ya kushughulika kwelikweli habari za mazishi angetangaza hata mkuu wa mkoa
 
Sio picha ya tukio mkuu.
Wanahabari wetu ni wavivu sana,sijui ndivyo wanavyofunzwa huko vyuoni?
Au ndio tabia ya kupenda kuwa wakwanza kutoa taarifa.
Mkuu Kweli Tupo Kwenye Mtanziko
Hadi Picture Jamani
Bora Umetufumbua Macho
Nimeona Television Zetu Zote Zimeingia Kwenye Mtego
 
Taarifa naipokea lakini ingekuwa na maana sana kama wangeshulikia tatizo la kivuko baadala ya kusubiri utaratibu wa maziko ya waTZ wenzetu. Waziri hicho kivuko kilishalalamikiwa bungeni kitambo sana. Ona sasa unakuja na habari ya kuzika watu!!!!!!! Please step back and rethink.
 
Kuwajibika kwa uzembe ni lazima siyo ombi kwa ajali ya mita 50 kabla ya kutia nanga ''Ajali inatokea saa 8 uokoaji usio kamilifu uanze rasmi saa 12 ni aibu
 
utawala huu haujawahi kumjali mtanzania. achana na tamthilia za kwenye tv
 
Vijana ni tanuru LA fikra na jeshi la akiba, hongera UVCCM kwa uamuzi mzuri, mwacheni olesosopi awe propaganda machine na kibaraka wa mbowe. Mmeonyesha njia, wale waachane na vipressconference vyao
 
Lakini pesa za kuwanunua akina Waitara na Mtatiro zipo, si ndio?
 
Hahahaha nimecheka sana,yaani hawa UVCCM kwasasa kazi yao ni kuokoa na kuwatakia la heri wanafunzi wanapofanya NECTA,hawana jipya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…