Hii awamu imetuletea utamaduni mpya wa kubadili rambi rambi kuwa michango kwa serikali. Sijui kama itaaminika tena!Aise imenikumbusha wimbo wa Marijani Rajabu.........Dunia ya sasa imani imekwisha mioyo ya watu imebadilika wala hakuna uaminifu tena.............
Na hakuna aliekuzuia kutoa,fisi wa kijani.Hamja lazimishwa kutoa.
Mbunge alitoa maonoNilichokiona ni kwamba Mbunge wa jimbo husika alikwisha toa tahadhari mapema kwa Serikali, Kwa kilichotoea ni dhahiri Serikali ilishindwa kuwajibika. Haitumiki kisiasa ila ni hali halisi.
Imagine dunia ya sasa with all up to date techno, sisi bado hata kuweka data za namba ya idadi ya wasafiri hatujaweza.
Halafu usafiri kama huu usiokuwa na uhakika wa usalama wa maisha ya watu.
We're talking about human lives, kitu kilichotakiwa first priority.
Lakini ona jinsi mpaka mkuu wa mkoa ana jikanyaga tu. He has no idea about anything.
Hii ya pili.....!!!!Kuna rafiki zangu Yohana Makomeo na Mshori Mboga mnawaharibia jamani!
Mbowe ni RAIA wa kawaida?!Sasa unamuulizia mbowe raia wa kawaida, nlitegemea utauliza kama raia namba moja kaenda ukerewe
Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
Kumbe Janali alikuwa anawaimba akina Yohana na Mboga wa ArshaAise imenikumbusha wimbo wa Marijani Rajabu.........Dunia ya sasa imani imekwisha mioyo ya watu imebadilika wala hakuna uaminifu tena.............
Hekima hutuleta pamoja hususan ktk matukio kama haya kwa kuweka itikadi zetu pembeni, HEKIMA.Sitaki kusikiliza, naweka muziki au nazima. Akanunue wapinzania
Mbowe yumo katika kamati ya maafa ya taifa?Nilitegemea kwa wakati huu KUB Mbowe angekuwa kisiwani Ukerewe kujumuika na mbunge wa jumbo hill ambaye ni wa Chadema pamoja na timu nzima ya viongozi wa serikali na vyombo vya dola. Kwanini Mbowe kamuacha mbunge wake akiwa mpweke katika wakati huu mgumu!
Sasa hapa ni Marekani...teknolojia yetu na yao ni sawa!!Kwa Wamarekani kukitokea janga kama hili huwa muda wote vyombo vya habari vinatumia muda mwingi kutoa upadate ya tukio na sio kupiga KIOKOTE!
Nadhani hajuiMbwiga unayajua majukumu ya KUB?
Vifaa havikuwepoHilo gari kwanini hawakulitupa humo kwenye maji kabla meli kuzama