Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Kwahiyo umeona siasa? Aliyewahi kukosoa na kuelekeza alikuwa na malengo ya kisiasa. Kukosa taa hata tochi za kusaidia kunusuru uhai nazo siasa et. Mstarini kwa mamba kenge hawakosi.
 
Kuna mbinu za kumtanguliza,acha mwenyekiti ajifiche,tabia yenu ya kutanguliza watu Mungu hapendi
 
mavi mkanye nyinyi , ahangasike mbowe, why?! Mnapoteza 80 bn Tsh kununua wapinzania badala ya vivuko 6! Rubbish! Mwifwa
 
Hivi vivuko vinabeba sana kupita uwezo wake sio hicho tu kuna vivuko vinabeba mizigo na watu hadi vinakema.

Usimamizi na umakini unatakiwa kwenye vivuko vyote nchini, pia sijajua kama MV Nyerere haikuwa na maboya.
 
Mbona bendera hazipepei nusu mlingoti.Kuna nini kinaendelea Tanzania.
Kwa HEKIMA yake rais amelizunguzia LIVE TBC na kutangaza siku za maombolezo likiwemo hilo ulilolitaja!
 
Reactions: Gut
sasa kama

sasa kama serikali ni makini kama wanavyojitapa kupata idadi ya abiria inaweza kuchukua muda gani. Sema ni visasi vt=ya chama tawala kwa ambao hawakuwapigia kura , maana ndo yamekuwa maneno yao na leo yanatokea

Ukisema ni visasi vya chama tawala unakuwa unakosea.

Tuangalie zaidi wasimamizi wa kivuko je walikuwa wanafanya kazi yao kwa kufuata sheria na kanuni za uchukuzi?

Mbona daraja la kivukoni linasimamiwa vizuri tu?
 
May be ajali ingekuwa imetokea kanda yake!! Yuko busy anaongea na waandishi wa habari.
 
Kwanini mkuu wa nchi naye hayupo huko kuwafariji wananchi wake?
 
hapo pele ni mbunge tu aliyetoa tahadhari mapema wengine wote vidampa tu hadi magufuli mwenyewe
 
Tatizo serikali, wote tunaishi kwa kuangalia serikali inasema nini.!
 
Tukamate na yeye, maana ni serikali yake ndio ina jukumu la kuhakikisha miundombinu ya KISASA ya uokozi pamoja na wataalamu waliofuzu kwa hilo. Mbona pesa za kununua waungao mkono juhudi pamoja na madege zipo?? KARNE HII uokozi unasitishwa eti sababu ya GIZA!!? Kwani tume ngapi zilishaundwa tangu MV Bukoba na vifo vya KIZEMBE kabisa vimeendelea.
 
Nimesikitika sana,sikutarajia kabisa hadi nikawaza labda jana ilikuwa ndoto tu kuhusu ajali kwani si TBC ,star TV na wengine ni mziki wala hakuna hata updates,

"Labda vyombo vya habari vimezuiliwa kufanya lolote kuhusiana na ajali hii" hapa ndo nilipoamua kutune BBC .
 
Lile zuio la kutokutoka dar bila kibali maalum mmelisahau???

Mbowe ndio mwenye kikosi cha uokoaji???

Yule aliegonga twiga mlikimbizana usiku na mchana na machopa Leo hawa mnakosa taa za kuwaokolea ???


Vichaa on fleek
 
Chief comforter ndiye anatakiwa kuwa kule. Mbowe hana serikali wala dola walioathirika ni wananchi wa.vyama mbali mbali na wasio na vyama wala siyo CHADEMA tu na ni msiba wa kitaifa siyo wa mbunge!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…