Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

sumatra inapaswa kuvunjwa ili kuwe na mamlaka tofauti za kudhibiti usafiri. anga wajitegemee, maji wajitegemee, reli wajitegemee na magari pia wajitegemee,sumatra wana mzigo mkubwa hawawezi kuregulate kote huko
 
Ndugu wanabodi:
Hivi sisi Watanzania nano katuloga? TBC na vyombo binafsi vimeshindwa kujiunga mubashara kwenye shughuli ya uopoaji maiti lakini hats kupiga nyimbo za maombolezo imeshindikana kweli?

Nimesema shughuli ya uopoaji kwa sababu serikali ingekuwa serious na maisha ya Watanzania wenzetu ingepeleka jenereta jana ili shughuli ya uokoaji iendelee Jana usiku.

Watanzania zaidi ya 126 ni msiba mkubwa wa taifa lakini radio na luninga ya taifa wameshindwa kujiunga mubashara hatua kwa hatua badala yake wanaendelea na mambo yao yasio na maslahi kwa Taifa.

Naamin kwa Wazungu habari ingekuwa ndio hiyo kuwa mubashara muda wote kwa kila kituo cha luninga na redio.Na wasingekubali kusitisha shughuli ya uokoaji eti kisa giza

Tumeshindwa kuthamini uhai wa wenzetu, kweli ngozi nyeusi ni wabinafsi haijapata kutokea
Kwani Jimbo la Ukelewe lina Mbunge wa chama gani? "AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO MBAYUWAYU"
 
Sasa ukioneshwa live kipi kinaongezeka kwako? Watanzania mbona mna viherehere hivyo...kama umeguswa sana si uende eneo la tukio ukasaidie uokoaji?
Watu 126 wasimamishe shughuli za watu wengine 50m?
Ebu kuwa serious mkuu...
[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Hopeless comments ever!!
ZIMETUMIKA 80 BILLION TSH KUNUNUA WAPINZANIA/(CHAGUZI ZA WABUNGE) NA MADIWANI BADALA YA VIVUKO SITA, JIBU HILI , TRY AS MUCH AS YOU CAN TO AVOID AD HOMINEN ARGUMENTS!
 
Hekima hutuleta pamoja hususan ktk matukio kama haya kwa kuweka itikadi zetu pembeni, HEKIMA.

Pasipo na matukio ndiyo mtengane na kutukanana sana...kwa hiyo unataka kusema unaombea nchi ikumbwe na matukio mengi zaidi ili tuletwe pamoja?
 
Hoja ya kup.umbavu kabisa.

Jambo la muhimu ilikuwa kuzuia maafa.

Mbunge wa Ukerewa amelalamika sana Bungeni. Alieleza jinsi alivyohangaika na alivyoonana na viongozi mbalimbali wa serikali kuelezea hali ya hatari iliyokuwa ikiwanyemelea watumiaji wa kivuko cha Nyerere lakini serikali haikuwahi kufanya chochote.

Leo wakati watu wamekwishakufa ndiyo wanajikusanya kwenda kisiwa cha Ukara. Unafiki mkubwa! Msaidie mtu kulinda uhai wake na siyo kubeba jeneza lake
 
Back
Top Bottom