ZEE LA HEKIMA
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,420
- 1,842
Tunataka waziri husika hadi sasa awe amefukuzwa kazi na anaadaliwa mashitakaNilitegemea kwa wakati huu KUB Mbowe angekuwa kisiwani Ukerewe kujumuika na mbunge wa jumbo hill ambaye ni wa Chadema pamoja na timu nzima ya viongozi wa serikali na vyombo vya dola. Kwanini Mbowe kamuacha mbunge wake akiwa mpweke katika wakati huu mgumu!
NAKUUNGA KWA HAYO,MENGINE LAKINI haya ya kuonyonga nyoga ni kuongeza MISIBA juu ya MISIBA.Ifike mahalaa watu waheshimu uhai wa watu wengine, mimi ningekuwa na mamlaka ningeamua hivi;
Kwakuwa watu wengi wamepoteza maisha, kujiudhuru ama kuachishwa kazi kwa viongozi sio suruhisho tosha, mm ningeongezea hivi: Viongozi ambao ningeamuru wanyongwe hadi kufa;
1. Uongozi wa meli hiyo, nyonga hadi kufa
2. wahudumu waliohudumu siku ya ajari, nyonga hadi kufa
3. Kiongozi aliyesitisha waokoaji na kuwaruhusu wakalae hadi siku inayofuata angefungwa jela miezi sita. Huwezi ukapata usingizi wakati roho za watu zipo ziwani, uchungu wa hiyo ajari nadhani wanaujua zaidi ndugu wa wahanga na wahanga manusura, sijui kama wamepata usingizi. Najua kungekuwa na watu wenye moyo wa huruma wangekesha kuhangaika kutafuta ndg zao majini hadi kuna kucha kuliko hivyo walivyotaarifiwa wapumzike.
4. Mawaziri na watendaji wote hadi ngazi ya chini wangeadhibiwa hata kwa kukaa masaa 48 mahabusu, wao wameshindwa kusimamia uendeshaji bora wa kivuko hadi kufikia kuzidisha mizigo na kinaruhusiwa kuendelea na safari.
Ningenyonga wengi, moyo wangu ungefurahi hata km namimi ningehukumiwa hivo. Lakini huwezi cheza na shida za watu kiasi hicho, ndio kuna shida ya usafiri lakini mamlaka husika inatakiwa kuwa kifua mbele kudhibiti hali hizi ili kuepusha majanga. Mkiwaonea huruma watu na mkawaruhusu kuenda hivo hivo haya ndio matokeo yake sasa. Nasema ningenyonga watu!!!
Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni na sio kikosi cha kuokoa watu katika majangaMbwiga unayajua majukumu ya KUB?
Nilitegemea kwa wakati huu KUB Mbowe angekuwa kisiwani Ukerewe kujumuika na mbunge wa jumbo hill ambaye ni wa Chadema pamoja na timu nzima ya viongozi wa serikali na vyombo vya dola. Kwanini Mbowe kamuacha mbunge wake akiwa mpweke katika wakati huu mgumu!
Kumbe ni nani????Mbowe ni RAIA wa kawaida?!
Kwahiyo mmemtelekeza mbunge wenu katika kipindi hili kigumu?!.......akikimbilia CCM mtasema kanunuliwa?!!!!!!!!!mavi mkanye nyinyi , ahangasike mbowe, why?! Mnapoteza 80 bn Tsh kununua wapinzania badala ya vivuko 6! Rubbish! Mwifwa
Lumumba mnakatisha tamaa sana, ni vijana wa hovyohovyo
Ni KUB!Kumbe ni nani????
Na angeenda ataambiwa anatumia maafa kisiasaNilitegemea kwa wakati huu KUB Mbowe angekuwa kisiwani Ukerewe kujumuika na mbunge wa jumbo hill ambaye ni wa Chadema pamoja na timu nzima ya viongozi wa serikali na vyombo vya dola. Kwanini Mbowe kamuacha mbunge wake akiwa mpweke katika wakati huu mgumu!
Kwa nini a resign?Siyo hao tu Mkuu, hata Rais mwenyewe anayakiwa a resign amwachie makamu wake amalizie miezi hii 26 iliyobaki!
Kichaa akili zitamrudi mabalaa yatamuandama karma inaanza kupiga mzigoMabavicha yanang'aka likitajwa jina la Mbowe, halafu yanakuwa makali hayo balaa.
Kama Mbowe sivyo?Unahamisha goli?!!
Dua la kuku.Kichaa akili zitamrudi mabalaa yatamuandama karma inaanza kupiga mzigo
Jmn hiloo walishaliona wametangaza siku 4 za maombolezo bendera nusu mrimgotiSerikali haikuleta tetemeko/kuzama kivuko! Huyo eti ni kiongozi. Ilibidi kuomboleza angalau kwa leo!