Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

INAUMA SANA SANA SANA ! Ilishindikana kuleta diving equipment kutoka Dar na Zanzibar ziletwe kwa ndege na zipelekwe Ukara kwa helikopta? Mawaziri na viongozi wengine akiwemo IGP wapo eneo la tukio. Hizo ndege zilizowaleta zingeshindwa kupeleka vifaa vya uokozi kwenye eneo la tukio? Na kama mchangiaji mwingine alivyosema ni kweli ilishindikana kutafuta taa ili uokoaji uendelee usiku?
 
Nilitegemea kwa wakati huu KUB Mbowe angekuwa kisiwani Ukerewe kujumuika na mbunge wa jumbo hill ambaye ni wa Chadema pamoja na timu nzima ya viongozi wa serikali na vyombo vya dola. Kwanini Mbowe kamuacha mbunge wake akiwa mpweke katika wakati huu mgumu!
Tunataka waziri husika hadi sasa awe amefukuzwa kazi na anaadaliwa mashitaka
 
Ifike mahalaa watu waheshimu uhai wa watu wengine, mimi ningekuwa na mamlaka ningeamua hivi;
Kwakuwa watu wengi wamepoteza maisha, kujiudhuru ama kuachishwa kazi kwa viongozi sio suruhisho tosha, mm ningeongezea hivi: Viongozi ambao ningeamuru wanyongwe hadi kufa;
1. Uongozi wa meli hiyo, nyonga hadi kufa
2. wahudumu waliohudumu siku ya ajari, nyonga hadi kufa
3. Kiongozi aliyesitisha waokoaji na kuwaruhusu wakalae hadi siku inayofuata angefungwa jela miezi sita. Huwezi ukapata usingizi wakati roho za watu zipo ziwani, uchungu wa hiyo ajari nadhani wanaujua zaidi ndugu wa wahanga na wahanga manusura, sijui kama wamepata usingizi. Najua kungekuwa na watu wenye moyo wa huruma wangekesha kuhangaika kutafuta ndg zao majini hadi kuna kucha kuliko hivyo walivyotaarifiwa wapumzike.
4. Mawaziri na watendaji wote hadi ngazi ya chini wangeadhibiwa hata kwa kukaa masaa 48 mahabusu, wao wameshindwa kusimamia uendeshaji bora wa kivuko hadi kufikia kuzidisha mizigo na kinaruhusiwa kuendelea na safari.

Ningenyonga wengi, moyo wangu ungefurahi hata km namimi ningehukumiwa hivo. Lakini huwezi cheza na shida za watu kiasi hicho, ndio kuna shida ya usafiri lakini mamlaka husika inatakiwa kuwa kifua mbele kudhibiti hali hizi ili kuepusha majanga. Mkiwaonea huruma watu na mkawaruhusu kuenda hivo hivo haya ndio matokeo yake sasa. Nasema ningenyonga watu!!!
NAKUUNGA KWA HAYO,MENGINE LAKINI haya ya kuonyonga nyoga ni kuongeza MISIBA juu ya MISIBA.
 
Makofulii yeye keshafika?
Nilitegemea kwa wakati huu KUB Mbowe angekuwa kisiwani Ukerewe kujumuika na mbunge wa jumbo hill ambaye ni wa Chadema pamoja na timu nzima ya viongozi wa serikali na vyombo vya dola. Kwanini Mbowe kamuacha mbunge wake akiwa mpweke katika wakati huu mgumu!
 
Tena weka ndani wote.
Yan haiwezekani usjue kivuko kilibeba watu wangapi kwahiyo hao watu walipanda katikati ya maji.
Yan wanafanya kazi bila data. Hata ng'ombe zizin huwa mchungaji anawahasabu anapowarudisha.
Mkuu wa sumatra mwanza angekuwa tayr saiz kajiuzur yan.....
 
Wite your reply...
mpumzike kwa amani watoto wa mama Tanganyika. mmepoteza uhai wenu mkiwa ktk harakati zenu za kupiga vita umaskin na kujipatia riziki. so sad
 
Hivi Jiwe amemaliza ziara huko kanda ya ziwa?zimetokea ajali ngapi ktk misafara kabla ya Mv Nyerere?Mana hili la MV Nyerere naloooo,mmmhhh
 
Serikali haikuleta tetemeko/kuzama kivuko! Huyo eti ni kiongozi. Ilibidi kuomboleza angalau kwa leo!
Jmn hiloo walishaliona wametangaza siku 4 za maombolezo bendera nusu mrimgoti
 
Back
Top Bottom