Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Hivi vivuko vinabeba sana kupita uwezo wake sio hicho tu kuna vivuko vinabeba mizigo na watu hadi vinakema.
Usimamizi na umakini unatakiwa kwenye vivuko vyote nchini, pia sijajua kama MV Nyerere haikuwa na maboya.
Akienda mtasema anatumia msiba kisiasa. Asipoenda nako shida. Hujasikia mkuu kasema asisikie mtu yeyote angeolea suala la msiba? Kama wana ushahidi waende mahakamani. Hii nchi hii!!!Nilitegemea kwa wakati huu KUB Mbowe angekuwa kisiwani Ukerewe kujumuika na mbunge wa jumbo hill ambaye ni wa Chadema pamoja na timu nzima ya viongozi wa serikali na vyombo vya dola. Kwanini Mbowe kamuacha mbunge wake akiwa mpweke katika wakati huu mgumu!
Kichaa kapona???Vyovyote vile.
KichaaaNani amefurahi?
Taifa limepoteza nguvu kazi.Hata kama huwapendi watu wa ukerewe huu si muda muafaka wa kufurumusha matus.Nani amefurahi?
Imagine dunia ya sasa with all up to date techno, sisi bado hata kuweka data za namba ya idadi ya wasafiri hatujaweza.
Halafu usafiri kama huu usiokuwa na uhakika wa usalama wa maisha ya watu.
We're talking about human lives, kitu kilichotakiwa first priority.
Lakini ona jinsi mpaka mkuu wa mkoa ana jikanyaga tu. He has no idea about anything.
Nafikiri nimekupata mkuu1Nifafanue mara ngapi?
Hicho ndicho nilichosema ama ulichosema wewe! Fanya vile ambavyo wewe unaona inafaa.Pasipo na matukio ndiyo mtengane na kutukanana sana...kwa hiyo unataka kusema unaombea nchi ikumbwe na matukio mengi zaidi ili tuletwe pamoja?
Yanafanana na waziri mkuu ambaye naye hayupo huko ukara kwani huko siyo sehemu ya utawala wao! Mbona jirani yao msukus hajafika? Au dirimulaina haina wese? Pathetic! Unauchua mkia wa mbuzi ulingane na wa mbwa? Huyo kub hatembei na king'ora cha kumtangazia kuwa anapita ili tugeuze shingo kuiangalia suti!Mbwiga unayajua majukumu ya KUB?
Mkuu ajali nyingine hazipangwi na Mungu wala shetani!!![emoji24] [emoji24] [emoji24] .Tuombee roho za marehemu zilale mahala stahiki.Hakika nimesikitishwa sana na ajali ya Mv Nyerere.
Masikitiko zaidi ni katika utendejai wa zoezi zima la uokoaji, unawezaje kusitisha zoezi kisa giza , as if kuna namna hao watu wanakungoja.
Let say Familia yake au yeye binafsi angelikuwamo ni mmoja wa wahusika wale aliowaacha usiku na kuwaambia atarudi asubuhi kuendelea na kuwanusuru.
John jitafakari kwenye hilo, umeteleza tena umeteleza pabaya sana.
Kwaiyo na mbowe aende akaopoe kwakuwa ana rescue team???Serikali nzima iko Ukerewe kuungana na mbunge wa Chadema ambaye wapiga kura wake wamepatwa na maafa ya ajali mbaya ya kivuko!
Kwa staili kama hii Tanzania itakuja kujengwa rasmi karne moja ijayoKwahiyo mmemtelekeza mbunge wenu katika kipindi hili kigumu?!.......akikimbilia CCM mtasema kanunuliwa?!!!!!!!!!
Kwa hiyo?Kichaaa
Waziri husika inabidi asiwepo kwenye payroll ya serikali hadi kipindi hikiNi KUB!
Matusi yako wapi?Taifa limepoteza nguvu kazi.Hata kama huwapendi watu wa ukerewe huu si muda muafaka wa kufurumusha matus.
Kwaiyo na mbowe aende akaopoe kwakuwa ana rescue team???Serikali nzima iko Ukerewe kuungana na mbunge wa Chadema ambaye wapiga kura wake wamepatwa na maafa ya ajali mbaya ya kivuko!
HAPANA BUJORO, LIFE HAS TO GO ON ON TOP OF THIS DISASTER WE ARE ALL MOURNING!Angalua ww nmekuelewa
Litakupata wewe shetaniDua la kuku.