Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Haya naona mlikuwa mnasubiri kutumia salamu za rambirambi na kujifanya mnaongea kwa majonzi kuamuru bendera zipande nusu, kwani huo ndio UZALENDO wenyewe, mnafurahi kuona wasiomudu kupanda bombedia wanakufa kama siafu, naona sasa mmefurahi kama mlivofurahi jana kuacha watu wakiwa wanakata roho eti kisa GIZA!!!! , haya fanyen sherehe ya kujipongeza sasa na kusifia na kuunga mkono juhudi za rais kufanikisha kuzama kwa kijiti
 
Ni lini watanzania tutajifunza na kisha kuchukua hatua ili majanga kama haya yasitokee?

tunaweza tukamlaumu shetani kumbe ni ujinga wetu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…