Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Halafu mbona kwenye mazoezi ya kujiweka tayari tunakuwa na mbwembwe nyingi, au huwa tunajichulia?
Hoja yako ni ya msingi na maana sana. Zile kumbe huwa ni mbwembwe tu

RIP waliututangulia, pole nyingi ziwafikie wote waliopoteza ndugu na jamaa zao
 
zoezi limeitishwa mpaka kesho kisa giza.....duuh ina maana hatuna namna ya kupambana na giza?
 
Dah...ungeshauri wafanye nini chief? Ukirejea vifaa na utaalam walio nao..[emoji41]
Awamu hii ya Utawala, uhai wa watu si chochote, si lolote.

Pesa nyingi zinapotea kwa marudio ya chaguzi fake lakini mambo kama haya hazingatiwi.

Yaani nchi kubwa kama hii inakosa tochi za kumulika.

Hata ajali ile ya juzi Rusumo hadi Helkopita ilitoka Rwanda kwenda kuokoa uteketeaji wa mali kwenye ajali ya moto.

Kitengo cha usalama hasa cha dharura na uokoaji kinatakiwa kilichokamilika sio hichi cha kusitisha kazi kisa giza.

Kwa serikali hii tutapiga kelele leo, kesho na kesho kutwa halafu jambo litasahaulika hadi itokee ajali nyingine tena maana utekelezaji wa makosa haupo kabisa
 
kesho ni kwenda kuokota miili ya marehemu sio kuokoa.
 
Acha kabisaaa ivi hatuna i kitengo cha wanamaji??? Au ndo zana zote zipo Dalesalama???

Jaman mtusameheee
[emoji117]Ziwa vikitoria lina mawimbiiiiii hayooo nyie achen[emoji3]

[emoji117]Kuna mamba haooooooo wee acha[emoji3]

[emoji117]Alafu kuna mashetani hahha[emoji3][emoji3]

[emoji117]alafu ili gizaaaaaa[emoji3][emoji3]
Imagine una mtt hafu unaskia hzi habar ndugu ... Inasikitisha
 
Siyo kila kitu ni kulaumu tu, unakumbuka wale vijana 12 na mwalimu wao waliozingirwa na maji Thailand ilichukua muda gani kuwaokoa? Na kwa hali ilivyo humo hakuna mtu aliye hai labda kwa miujiza tu.Kwenye mafunzo ya huduma ya kwanza unashauriwa kujilinda kwanza wewe mtoa mhuduma ndiyo utoe huduma kwa mhusika.
Unakuta mtu kakatwa mapanga anavuja damu wewe kwa kujiona umepitia mafunzo ya huduma ya kwanza unamvamia tu bila hata gloves, utaenda na maji.Hapo wamesitisha zoezi kwa kuhofia maafa zaidi.
 
Kila kitu Magufuli duuu nyie watu hamuwezi kujadili jambo bila kumuhusisha Magufuli? Halafu kabla hujalaumu je umetathmini ni kwa namna gani wanaweza kuingia kwenye maji usiku huu na kufanya uokoaji? Umelinganisha risk zinazoweza kujitokeza kabla ya kukaa tu na kuponda kila kitu?
Kwa kusitisha uokoaji sababu ya giza namlaumu Mh.Raisi na wale waliomtangulia isipokuwa Mwinyi na Nyerere.

Kwa yaliyo tokea wakati wa MV Bukoba na kule ajali ya Nungwi Zanzibar tulipaswa tuwe na vifaa vya kuokolea watu ktk ajali kama hizi hata usiku kwenye bahari na maziwa makuu yote nchini kwetu.

Kwanini tufanane na zama za meli ya Tatinic hadi karne ya 21? Namaanisha vifaa duni vya uokozi majini nyakati za usiku?
 
Imagine una mtt hafu unaskia hzi habar ndugu ... Inasikitisha
Acha kabisa ...Hasira zilizopo mioyon mwa wahanga sio ndogo.

Alafu nn... Mambo engine yanatia hasira san yaan sanaa, IVI WASIMAMIZI WAUSALAMA WA IKO KIVUKO WALILALA MPAKA WATU WAKAINGIA NAMIZIGO KUPITA KIASI???????????????????????
 
Mungu azilaze PEMA PEPONI roho za Marehemu
IMG-20180920-WA0062.jpeg
 
Wanasitisha kuokoa kisa giza kweli hii nchi bado haijawa serious kabisa siasa siasa na matamko ya kipumbavu hadi kwenye majanga makubwa kama haya. Vipi hao ambao huenda bado wapo hai watasurvive vipi kwenye maji hadi alfajiri na miili hio si itasukumwa mbali na mawimbi usiku huu, inasikitisha kuona viongozi wanafikiri kutumia mat*ko badala ya ubongo. Mungu awalaze mahali pema.(M.A.P)
 
Kila kitu Magufuli duuu nyie watu hamuwezi kujadili jambo bila kumuhusisha Magufuli? Halafu kabla hujalaumu je umetathmini ni kwa namna gani wanaweza kuingia kwenye maji usiku huu na kufanya uokoaji? Umelinganisha risk zinazoweza kujitokeza kabla ya kukaa tu na kuponda kila kitu?
kweli wewe kichwa chako ni kama mkebee
 
Kwenye uzembe kama huu kuna viongozi hawapaswi kusubiri kufukuzwa kazi bali wajiuzuru tu kama sehemu ya kuwajibika.

Mkuu utamaduni wa kujiuzulu mara ya mwisho nchi hii ni lini uliona?
 
KigTE="Aleppo, post: 28449505, member: 170541"]Si utani ngoja nikutajie listi

1. Kingunge alitembelewa mwishowe akavuta

2. Maria na Consolata mwishowe akavuta

3. Samuele Sita mwishowe kavuta

4. Yule aliyechora nembo ya taifa mwishowe kavuta

5. Mzee Majuto naye alivuta

6. Mzee mmoja wa CCM (jina nimelisahau) naye kavuta

7. Wengine niliowasahau nao wamevuta

Yaani hawaponi kabisa!

Duh nimeaanza kumuogopa kwa kweli ata nikiumwa nikimsikia anakuja ntakimbia na dripu zangu maana maisha matamu[/QUOTE]
Kigwa ajiandae
 
Back
Top Bottom