Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Kwa hiyo ulitaka waokoaji wafe kisa tu wanaopoa maiti usiku kucha? Je wewe una uwezo wa kukaa kwenye maji zaidi ya nusu saa ukiwa hai?
 
Lakin ndo mnaowapenda hao na chama chao tukisema tuwatoe mnasema sisi tumezoea kulalamika...kile kivuko mbunge wake alishakilalamikia lakin kwakuwa waupinzani wakampuuza leo mnatuma rambirambi

Tuwekee nukuu ya huyo Mbunge
 
ila ukumbuke kinachofanyika hapo siyo uokoaji... ni uopoaji wa miili nahisi sidhani kama ningesema niliyoyasema kama bado kungekuwa na zoezi la uokoaji... wamejiridhisha hakuna aliye hai ndio maana wakahairisha zoezi hadi siku inayofuata (hakuna aliye hai) pointi yangu ipo hapo
Waliingia na vipimo gani kwa mfano? Mbona unajitoa ufahamu kirahisi hivi? Huo muda wa kupima kila waliyemuona ndani ya meli na kujiridhisha amekufa ungekuwa mfupi kiasi hicho? Walioingia kwenye kivuko ni waokoaji/wazamiaji au Madaktari?
 
Ila watanzania ni wapumbavu Sana Wote mngekua Kama mm tungeshamchoa Huyo k hapo magogoni na tungemtatua Marinda Nina hasira nae sana
Usipopigwa ban na hii kauli yako basi nitaamini kabisa wakina Maxence Melo wote ni chadema. Hii sio kauli ya kuitoa wewe mtoto wa kiume mwwnye akili na utashi wako. Pole sana mkuu.
 
Daah afu linatokea lijitu ambalo vivu la kufikia na kusema wanaoishi Dsm wanapoteza muda wakati maisha ya mikoani yana risk sn hasa inapotokea maafa makubwa
jaman mmemuelewa huyu?
 
Engine zilifungwa mwezi mmoja uliopita mpya kabisa
hawa tutawalaumu bure niliwahi kumsikia Mbunge wao akiomba Engine Mbili mpya za kufungwa kwenye hicho kivuko maana zilizopo zinazima Mara kwa Mara na walilipotezea wakati abiria wanalipia ila kuweka mazingira ya usalama wao yapo chini kabisa
kivuko sijaona hata maboya yakielea kwa ajili ya kusaidia abiria waliomwagwa...
 
uwa wanazuiwa aseee umesahau lile tukio la daladala iliyopitiliza na kuzama kule kigongo ferry??wanainchi wanaojua kuogelea walizuiwa kabisa na waliomba wajitokeze wakaokoe watu wakawa hao wenyewe temesa sijui nini na walizidiwa. na hapo si mbali kabisa kwa watu wa kanda ya ziwa wanaojua kuogelea wengi wao,pia ona iyo mitumbwi ya wavuvi sasa lazima wasitize zoezi usiku hakuna hata boti lenye taa ili kuendelea na zoezi,pia shida ingine kubwa ni MABOYA YA UOKOZI jamani yanafungiwa kwenye grill na zinga la komeo na hamna shoka lililo karibu useme wakati kinapinduka mmoja aliekua hajataharuki agonge komeo atoe maboya..sielewi kabisa
Umenena mkuu.
 
Yaliyotokea wakati wa tetemeko Kagera mwanzo mwisho tunayafahamu, tuko makini juu ya hili pia ili tushushe mzani wetu
 
Usipopigwa ban na hii kauli yako basi nitaamini kabisa wakina Maxence Melo wote ni chadema. Hii sio kauli ya kuitoa wewe mtoto wa kiume mwwnye akili na utashi wako. Pole sana mkuu.
Kila sehemu mnataka kuzuia Watu kusema bungeni ndugai mtaani Siro hujarizika na huku unataka nipigwe ban ili mchangie Ccm peke yenu matako ww peleka ulimbukeni huko lumumba kasifie huko achana na chadema
 
Waliingia na vipimo gani kwa mfano? Mbona unajitoa ufahamu kirahisi hivi? Huo muda wa kupima kila waliyemuona ndani ya meli na kujiridhisha amekufa ungekuwa mfupi kiasi hicho? Walioingia kwenye kivuko ni waokoaji/wazamiaji au Madaktari?
layman katika ubora wake
 
hawa tutawalaumu bure niliwahi kumsikia Mbunge wao akiomba Engine Mbili mpya za kufungwa kwenye hicho kivuko maana zilizopo zinazima Mara kwa Mara na walilipotezea wakati abiria wanalipia ila kuweka mazingira ya usalama wao yapo chini kabisa
kivuko sijaona hata maboya yakielea kwa ajili ya kusaidia abiria waliomwagwa...

Tuko busy tunanunua ndege new brand kabisa, tunajenga standard gauge, hivi vivuko vyote alinunua huyo huyo rais wenu, acha vipinduke tu, tuna vipaumbele vingi lkn sio vivuko
 
Nilitegemea kuona life jackets nyingi sana zimezagaa hapo ziwani baada chombo kupinduka, nilitegemea kuona pia hao waokoaji wakiwa wamevaa life jackets na proper gears for diving lakini picha zote ninazoona ni za wavuvi na raia waliojitolea wasio na uzoefu wala ujuzi wa uokozi, hakuna hata picha moja niliyoona special rescue boats na team yake zaidi ya hizo boat za wakerewe na wakala, JIBU NI KWAMBA ENEO HILO HALINA RESCUE TEAM,DIVERS WALA VIFAA MAALUMU VYA UOKOZI, wakwapi coast guard ambao wanatakiwa wawe na speed boats na in patrol ziwani kiasi cha kuyaona au kusikia matukio kama haya kwa haraka na kurespond?

TUJIPANGE..
 
.."George Nyamaha, the head of Ukerewe district council, of which the island is a part, said: “There were more than a hundred passengers on board when the ferry sank. It is feared that a significant number have lost their lives.”

However, it was hard to establish the precise number of passengers since the person dispensing tickets had also drowned with the machine recording the data lost.."


-Boat imebeba waay more than its capacity..
-Hawajui idadi ya walioingia..
-Na sababu ni kuwa mkata ticket amezama pamoja na machine ya kukatia, kwa hiyo hakuna data kamili.

Haya ni maajabu sana, kwa hiyo mkata tiketi naye alikuwa ndani na kaefd machine yake. Huku nchi kavu hakuna data iliyobaki?? Kweli tunaishi stone ages..
 
kwahyo wewe ulitaka atoe jibu gani kwa mfano?

waokoaji wameingia kwenye kivuko wakajiridhisha hakuna aliye hai.. na zoezi likabadilika kutoka uokoaji kuwa uopoaji

kuendelea na zoezi ilikuwa ni kuhatarisha usalama wa hao waopoaji .. sidhani kama kungekuwa na watu walio hai ndni ya kivuko zoezi lingesitishwa sema tu lisitishwa kwa sababu wanejiridhisha hakuna akiye hai

sema kuna watu mnajifanya mnajua kuongea na kuongoza nchi wakati hata familia ya kuiongoza bado hujaipata..

embu basi sema ulitaka waendelee kutoa maiti hadi usiku wa manane? unajua changamoto za uokoaji majini?
WALIKUWA NA IDADI SAHIHI YA WALIOKUWEPO KWENYE PANTONI?
MPAKA WASEME HIVYO.
 
Kivuko kilishatengenezwa Boss. Hakina hata mwezi toka kitoke matengenezo. Hivyo tatizo sio mechanics za kivuko.
Mkuu kuzima kwa Engine kunaashiria kivuko kilikua kibovu na ndio maana kikiwa kimezima kinapoteza balance kupinduka hiyo idadi ya watu ndio walikua wanabeba kila siku ila ubovu wa machine umefanya ipinduke kwa navyojua matengenezo ya vivuko au meli kubwa yawe kama kupigwa X ray na kucheki balance ya line sidhani kama tuna dry dock ya kufanya haya yote ndio maana nasema hicho kivuko kilikua kibovu...
 
Back
Top Bottom