Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado kunhitajika data zaidi ili kujibu swali lako. Huenda hayo magari matatu yalikuwa malori mawili yenye uzito wa tani 15 kila mojaNanukuu " Kivuko cha MV. Nyerere kina uwezo wa kubeba tani 25 sawa na abiria 100 na magari 3 kwa wakati mmoja."
Swali langu je ndani ya kivuko cha MV nyerere kulikuwepo na hayo magari matatu na watu mia.
Je na kama magari hayakua matatu kuna uwezekano wa kuongeza abiria iki kufika lengo la tani 25?
Maana naona idadi ya waliopo hai na waliokufa imevuka mia.
Huwezi kunipangia cha kuandikaDuh maisha ya kutawaliwa na siasa kichwani ni hatari sana...yani mada nzima imegeuka kuwa jukwaa la siasa
Hujui aliandikaje, baada ya kumwambia akarekebisha kwa hiyo kaa kimya au soma vizuri nilichomnukuuSo what!? This is news bana!!!
kaka tupo kwenye majonzi siasa za nini hapa, chadema imefikajeUsipopigwa ban na hii kauli yako basi nitaamini kabisa wakina Maxence Melo wote ni chadema. Hii sio kauli ya kuitoa wewe mtoto wa kiume mwwnye akili na utashi wako. Pole sana mkuu.
hahahaha, nacheka utadhani ni mazuri walah, mmiliki si serikali banaAkikujibu na mie unikumbuke
Mkuu ningependa mjua huyu engineer tafadhali?Sisi uwa mara nyingi tunaopoa siyo kuokoa hasa linapokuja suala la ajali za majini. Nakumbuka kwenye ajali ya MV Bukoba, vifaa na wapiga mbizi ilibidi watoke S.a na bahati mbaya wakakuta jamaa aliyekuwa anajiita Engineer ashawashauri waitoboe meli ili kuokoa watu, huku mvuvi asiye hata na certificate ya physics aliwabishia kuwa waakiitoboa itazama kabisa chini.
Mkuu najaribu waza kwa sauti kwa utawala huu mkuu wako akitoa order hata kama ni ya hovyo huna Budi kutekeleza hivo naanza hisi kabisa kuna uwezekano haya maamuzi yakipuuzi yalitolewa Na mkubwa Fulani wengine wote wakaitikia japo ni jambo la kipumbavu Na aibu kubwa......Kuna hatari ya watu kutmbuliwa.
Mnashindwa kkuleta taa mkaendelea na uokoaji, huku mkuu wa kikosi cha uokoaji yupo, mkuu wa mkoa upo, mkuu wa majeshi upo, boat na meli zipo.
We cannot entertain this. Lazima watu wachukuliwe hatua
natengua............................
daah ni kweli mkuu nilikuwa ukerewe mwezi wa 6 nikavuka ukerewe kivuko cha rugezi kwenda kisorya ya bunda, nilishangaa kuona yule kaka aliyenikatia ticket ukerewe na ndio huyo huyo anakata ticket kisorya kurudi ukerewe, mkataji ticket ana mashine kama ya efd au maxi malipo kufika kisorya ni huyo huyo anakatisha kwani tulivuka nae, nikashangaa, lakini hiyo sio sababu kwani efd au maxi malipo si ipo networked, hivyo waliokata ticket tunaweza tukawajua vile vile idadi yaoDah hii nchi ni ngumu sana.
"Et mkata tiketi alizama kwenye maji pamoja ma mashine aliyokatia tiketi kwahio hatuwezi kujua idadi kamili iliyokuwemo kwenye kivuko"
nimemsikia bbc akisema anasubiri maagizo kutoka juu, sasa sijui maagizo gani na roho za watuYule bwege alosema wasitishe uokoaji bado kakalia kiti chake tu?
Haki ya nani hii Serikali hii basi tu
Wacha ninyamaze
[emoji115] [emoji116]Alafu kuna watu watakuja kutoa povu kuilaumu serikali
Hii kauli imeleta kichefuchefu sana, atumbuliwe huyo mkuu wa mkoa
mkuu samahani sana kama utakuwa umenielewa vibaya.... hizi uzi mods wameziunganisha mimi hyo coment sikutoa kwenye uzi huu niliitoa kwenye uzi mwingine kabisa ambao hayo maelezo yangu yalikuwa yanaingiamkuu sio hivyo na hayajakukuta, si tunalo jeshi la majini, kweli jeshi la majini linashindwa kuwa na vifaa vya kuokolea usiku, hata kama wameshakufa, hii ni aibu, na jeshi la majini lipo, achana na wale wavuvi waliokuwa wanasaidia kutoa miili wakiwa hawana zana zozote zaidi ya mikono yao, imenisikitisha sana
Yeyote aliyehusika kuruhusu ubebaji huo wa abiria awajibishwe.11: 43 Chanzo cha kuzama kwa mujibu wa DC wa Ukerewe
DC Ukerewe amesema kivuko kilikuwa kimebeba zaidi ya abiria 400, kilivyokaribia kufika mwaloni(kutia nanga) nahodha akapunguza spidi hivyo abiria wakakimbilia upande wa kushukia ili wawahi kutoka, kivuko kikazidiwa uzito na kupinduka.