Tatizo hapo siyo mashine kwani zilifungwa mwezi wa nane mwaka huu!! tatizo hapa ni very clear, kama ni mali ya serikali yaani kama mashua/mtumbwi ni mali ya serikali na capacity yake kisheria ni kubeba abiria 101 na sasa ilibeba abiria 400 it means wafanyakazi walichukua cha juu yaaani nauli za abiria 299 ziliingia mifukoni mwao na nauli za abiria 101 ndo iliingia kwenye mfuko wa serikali!! The workers are not honest, they have all long been defrauding the government and have been leading a life not commensurate with their monthly income. They should all be sacked and face court of law - go to jail! I strongly believe the President Dr Magufuli will not stomach such incompetent, greedy, merciless employees!!if the boat was supposed to carry 101 travelers, why overload it to the tune of four times (400) over the total number is supposed to be on board?if it is a private business, the license should be revoked, all families be compensated, likewise if it is a government owned vessel, the families must be compensated, orphans be given free education up to University level!