Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

RC wa mwanza bora angekaa kimya kuliko kutoa kauli ya kishenzi vile eti Giza limeingia tukalale tuendelee kesho.....huyu ni popoma kabisa yan tukalale wakati kuna ndugu zetu wanalala ndani ya maji kweli.....!!!

JPM huyu RC ukute anahusika na hii ajali si bure, labda aliona wakiokolewa watu wengi mission yake itafeli.....
Ulikuwa kwenye eneo la Tukio? Si uendelee tukuone ulivyo jasiri
 
Tatizo unachukulia picha ya dsm ndio iko pote?? Hivi unapafahamu huko ukara palivyo mkuu!!! Kidogo ingekuwa mwanza mjini afadhari, kuna vifaa hata vya kuokoteza huku na huko, tatizo ni kutokuwa na kitengo maalum cha uokoaji kwani hata zima moto wanategemea kikosi cha marine kilichopo mwanza, wakati nao ndio hivyo vifaa vya kuunga unga!!!
Ila magari ya washawasha wameyajaza nchi nzima mkuu, wanahofia Nini Kama wanakubalika na watanzania...
 
Sijawahi panda kivuko,ina maana mle ndani mpaka kufika muda wanasitisha zoezi maji yalikuwa hayajaingia?
 
si bure

kuna malighafi wanatafuta

Li Putin lina maajenda mengi mno duniani kujali pole kwa ka nchi ambako most all russians hawajawahi kukasikia


v4.jpg

In-Situ Leaching wells at Mkuju River uranium mine test site, Tanzania. Source: IUCN/Roger Porter.

Hawa hapa Rosatom (Russian State Nuclear Corporation) maeneo ya Mkuju, Namtumbo, wanafukunyua Uranium za kutengenezea ma nuclear weapons. Kuna siku Rais atatuambia "mabepari wamemaliza Uranium yetu" as if wanakuja usiku na bunduki ka majambazi
 
Mwanga Wa karabai huwezi penya ndani ya maji wenyew unasambaa nje ya maji ndio maana dagaa wanaibuka kuufata, kama ungekuwa unafucha chini ya maji dagaa wasinge ufata juu,,,,pia hiyo spotlight ya helicopter nadhan ingekuwepo ingefanya kazi, nadhani ni suala la uelewa mcwe n mawazi ya funza
RC sema unatania tu au unalinda ugali wako other way kila kitu kingekua sawa, hadi kufika hapo ulipo physics ulisoma kidogo hata ile basic ya form one na kinachofanya samaki atoke ni huo mwanga unapenya kwenye maji kungekua giza samaki wasingeweza kupanda
 
Tatizo hapo siyo mashine kwani zilifungwa mwezi wa nane mwaka huu!! tatizo hapa ni very clear, kama ni mali ya serikali yaani kama mashua/mtumbwi ni mali ya serikali na capacity yake kisheria ni kubeba abiria 101 na sasa ilibeba abiria 400 it means wafanyakazi walichukua cha juu yaaani nauli za abiria 299 ziliingia mifukoni mwao na nauli za abiria 101 ndo iliingia kwenye mfuko wa serikali!! The workers are not honest, they have all long been defrauding the government and have been leading a life not commensurate with their monthly income. They should all be sacked and face court of law - go to jail! I strongly believe the President Dr Magufuli will not stomach such incompetent, greedy, merciless employees!!if the boat was supposed to carry 101 travelers, why overload it to the tune of four times (400) over the total number is supposed to be on board?if it is a private business, the license should be revoked, all families be compensated, likewise if it is a government owned vessel, the families must be compensated, orphans be given free education up to University level!

Well said, lakini kama ilivyo kwenye nchi zote Afrika, we are very reactionary, tunakurupuka kwa matukio.
Haiwezekani kosa la kuwajaza abiria kupita kiwango ndio juzi limejulikana kana kwamba halifanywi kote kila siku.
 
Vifaaa vyakukesha kulinda kura za chama penda vipo lakin?
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Hakuna kitu kilihuzinisha kama Mhe. RC kusitisha zoezi la uokozi kwakweli. Ina maaana uwezo wake wa kufikiri ulikomea pale......
Temesa kutumia Jenereta na kununua SportLight za 240,000/= ambazo zingefanya eneo hilo kuwa mwanga wa kutosha alishindwa???
Alishindwa kuitisha karabai 50 za wavuvi wa dagaaa eneo zima lingegeuuka mchanaaaaa na Uokozi ungeeendelea vizuri.
Ktk hili ningekuwa mwenye mamlaka RC wa aina hiii HAPANA.
Laana inawatafuna!
 
na vifaa vya kulinda ule moto afu asubuhi eneo la tukio, unakuta pamejaa condoms
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
 
Tatizo unachukulia picha ya dsm ndio iko pote?? Hivi unapafahamu huko ukara palivyo mkuu!!! Kidogo ingekuwa mwanza mjini afadhari, kuna vifaa hata vya kuokoteza huku na huko, tatizo ni kutokuwa na kitengo maalum cha uokoaji kwani hata zima moto wanategemea kikosi cha marine kilichopo mwanza, wakati nao ndio hivyo vifaa vya kuunga unga!!!
Hii sehemu naifahamu sana maana mwaka 2003 nimeishi hapo na hapa kisiwa cha nyuma kabla hujafika ukara ukiwa unatokea ukerewe, kisiwa cha kweru mkungu(mita 400) kwenda ukara)/japo kweru mto ipo mbali kidogo ila cyo kivile (km kilomita 1 au 1.5) (kisiwa ambacho mwaka huo hakikuwa na wanawake, ilikuwa ukimuona mwanamke ujue kuna mtu kamleta kwa oda) kwa hiyo uwezo Wa kupata hzo spotlight ililuwa in rahisi sana kupatikana
 
si bure

kuna malighafi wanatafuta

Li Putin lina maajenda mengi mno duniani kujali pole kwa ka nchi ambako most all russians hawajawahi kukasikia


v4.jpg

In-Situ Leaching wells at Mkuju River uranium mine test site, Tanzania. Source: IUCN/Roger Porter.

Hawa hapa Rosatom (Russian State Nuclear Corporation) maeneo ya Mkuju, Namtumbo, wanafukunyua Uranium za kutengenezea ma nuclear weapons. Kuna siku Rais atatuambia "mabepari wamemaliza Uranium yetu" as if wanakuja usiku na bunduki ka majambazi

Are you serious? Ni kweli awamu ya nne waliuza hata Uranium kienyeji? Kweli Mwl alikuwa na wanafunzi wendawazimu kwani mikataba yote ilisamiwa na wanafunzi wa Nyerere ambao walisoma bure kutoka kindergarten mpaka Chuo kikuu(wale wote wa umri ambao haukuzidi 65 as at 2008 A. D.!!!
 
Najiuliza huyo RC alitumia logic gani kwamba kwa jinsi hicho kivuko kilivyobinuka hadi wakati huo hakuna aliye hai. Alikujaje na hiyo judgement ilhali ameshindwa kuitumia the same judgement kurule out uokozi uendelee by any means.
 
Nidhamu ya usafiri hakuna kabisa nchii hii.

Kuanzia kwenye maji, daladala, mabasi, bajaji, bodaboda, na magari ya kubeba wanafunzi.

Sitashangaa baada ya muda kuona watu wanadandia kwenye mabawa ya bombadia au dreamliner.

Si ajabu ukiwahoji watakwambia katengeneze ndege yako upande kwa raha.
Huu ni ukweli,

Kinachotuponza ni ujuaji mwingi.
 
Back
Top Bottom